Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kazini waenda?
Don't make a promise you can't fulfill...
Bado mkuuEbana umenunua toilet paper lakini? [emoji1]
We panick a lot. Shida ni kwamba wanaorecover hawatangazwi bali wanaokufa tuView attachment 1390469
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kama ilikuwa mission yao kubalance nature iwazoe wenyewe.Corona ukizingatia stats zake utaona kitu kikubwa ni kwamba ina enea kwa haraka ila effect yake kwenye maisha ya binadamu (fatality rate) ni ndogo sana japo hakuna tiba rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona ukizingatia stats zake utaona kitu kikubwa ni kwamba ina enea kwa haraka ila effect yake kwenye maisha ya binadamu (fatality rate) ni ndogo sana japo hakuna tiba rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly yan kupitia hii hofu waamrisha dunia the way wanatakaHofu ni biashara kubwa sana, lazima kucreate panic buy ili kuondoa mzigo uliokuwa haununuliki sokoni
Inaweza ikafika huko kama waki maintain hii panic walio ileta kwenye jamiiBiashara ya online money inachukua nafasi ya makaratasi kama utani vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dujnia inaendeshwa na watu wenye akili sanaInaweza ikafika huko kama waki maintain hii panic walio ileta kwenye jamii
Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu nilizo zisikia mpaka leo asubuhi ni kuwaHuoni hiyo ni koraboresheni ya magonjwa!!
Tuliyonayo yote linaongezeka na jengine!
Mi nafikiri kuna vyakula dunia kiujumla ingekataza kuvila,mtu Wala popo kwa lile jisura lake na umbo utadhani ALIEN [emoji89][emoji89]
Mkuu ile haikuzwi inajikuza we fatilia takwimu za vifo utaona nini ni nini!!