Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

Korona ni janga aiseee

Waswahili tuombe Mungu isituathiri kama inavyowafanya watu wa ulaya huko

Ninyi wabongo mnazusha mambo mengi tu mara oooh mmarekani ndio aliitengeneza ili kumdhoofisha mchina, lakini kwa sasa korona inamtafuna mmarekani na nchi washirika wake bila huruma
Korona ni jabari kweli, linatesa na unakufa
 
Nipo kwenye daladala ghafla macho yanawasha kinyama, naogopa kujikuna hadi nifike sehemu ninawe mikono.... haya maisha haya..!!
 
Kuna magonjwa hatari (yanaua) kuliko korona inavyoua, kuna magonjwa tiba yake ni ngumu mno na ukiyapata huinuki kama Ebola.

Malaria huua maelfu kila siku, sukari, Blood pressure huua makumi elfu kila siku. Je, corona ni mradi mpya ndio maana inakuzwa sana, au kwakuwa imeanzia huko ng'ambo?

Je, ni hofu ya siku za mbeleni? Kama mgonjwa wa Corona anaweza kupona kwa tiba ya kawaida tu bila shaka mwarobaini wake utapatikana soon.

Au wameleta makusudi ili kupunguza idadi ya watu kulingana na rasilimali na kubalance nature? kwamba washajua mission nzima that's why wanaweka watu tension ya hali ya juu?

KUSINI mwa Jangwa la Sahara UKIMWI na malaria vinaua watu kikatili hao wazungu wanachukulia simple tu kama vile wanaokufa ni mbwa badala yake wanaleta misaada ya kupambana na hayo majanga na si kukomesha!

People dying daily in Africa for hunger, malaria and HIV but white people and our black leaders take it easy. Nani yuko nyuma ya corona?.
Note: Dunia inaendeshwa na watu wachache waliojificha na wenye akili kubwa.
Upo sawa but corona inaonekana ni tishio kwasababu inauwa watu wengi kwa muda mfupi.
lkn pia ni muhimu ku tek note kwamba kuna magonjwa ya kikanda kama ebola/ugonjwa wa watu weusi hususan bara la Africa hasa Africa ya kati....
corona una cut accross/ugonjwa wa dunia
 
Watanzania kwa kupenda kuiga. Sasa mtu anaenda kununua pedi kwa foleni hivi siku ukizuka vita ya dunia si tutaenda kununua hata nyembe za kukatia kucha wakati wa vita.

Presha ya Corona tunaitengeneza wenyewe na kwa hili linaenda kupandisha bei ya bidhaa kwa hamaki za kijinga.
 
Watu wamejaa raia wa nje na wa ndani wananunua bidhaa kwa foleni isiyo ya kawaida, watu wamejaza vyakula, pedi, na vitu vingine vingi kwa pamoja na si kawaida, wafanyakazi wamevaa mask gloves. Mashelf yana magepu daah

Sent using Jamii Forums mobile app
waache mambo ya uzungu super maketi unanunua nini cha maana? wakat ukinunua gunia lako la mahind waenda kusaga unga wahifadh ndani,maharage tandika hapo,mchele na ndoo ya mafuta chumvi sukari na ngano plus sabuni habari imeisha...hzio tailet pepa watanywea chai?
 
Back
Top Bottom