ighalamu
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 393
- 643
Yani hapo pigo linalo fuata ni mdororo wa uchumi na watu kuanza kuishi maisha kama mashetaniHii dujnia inaendeshwa na watu wenye akili sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hapo pigo linalo fuata ni mdororo wa uchumi na watu kuanza kuishi maisha kama mashetaniHii dujnia inaendeshwa na watu wenye akili sana
Kutangulia kujiunga jf sio umahiri wa hoja....Nani mtoto hapa?View attachment 1390400View attachment 1390402
Tafadhali mtake radhi Ngabu, umemkosea sana.
Upo sawa but corona inaonekana ni tishio kwasababu inauwa watu wengi kwa muda mfupi.Kuna magonjwa hatari (yanaua) kuliko korona inavyoua, kuna magonjwa tiba yake ni ngumu mno na ukiyapata huinuki kama Ebola.
Malaria huua maelfu kila siku, sukari, Blood pressure huua makumi elfu kila siku. Je, corona ni mradi mpya ndio maana inakuzwa sana, au kwakuwa imeanzia huko ng'ambo?
Je, ni hofu ya siku za mbeleni? Kama mgonjwa wa Corona anaweza kupona kwa tiba ya kawaida tu bila shaka mwarobaini wake utapatikana soon.
Au wameleta makusudi ili kupunguza idadi ya watu kulingana na rasilimali na kubalance nature? kwamba washajua mission nzima that's why wanaweka watu tension ya hali ya juu?
KUSINI mwa Jangwa la Sahara UKIMWI na malaria vinaua watu kikatili hao wazungu wanachukulia simple tu kama vile wanaokufa ni mbwa badala yake wanaleta misaada ya kupambana na hayo majanga na si kukomesha!
People dying daily in Africa for hunger, malaria and HIV but white people and our black leaders take it easy. Nani yuko nyuma ya corona?.
Note: Dunia inaendeshwa na watu wachache waliojificha na wenye akili kubwa.
😂😂😂Huku kwetu ni vituko tupu, mtu anajifunga likitenge mdomoni dah😀
Daaah kwaio baada ya kuona zile video za wazungu kwenye super market zao na sisi wabongo ndo tumesanuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha je ?Watu wamejaa raia wa nje na wa ndani wananunua bidhaa kwa foleni isiyo ya kawaida, watu wamejaza vyakula, pedi, na vitu vingine vingi kwa pamoja na si kawaida, wafanyakazi wamevaa mask gloves. Mashelf yana magepu daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacheki hawaWamepata wapi nguvu hizo kwani mshahara umetoka..??
waache mambo ya uzungu super maketi unanunua nini cha maana? wakat ukinunua gunia lako la mahind waenda kusaga unga wahifadh ndani,maharage tandika hapo,mchele na ndoo ya mafuta chumvi sukari na ngano plus sabuni habari imeisha...hzio tailet pepa watanywea chai?Watu wamejaa raia wa nje na wa ndani wananunua bidhaa kwa foleni isiyo ya kawaida, watu wamejaza vyakula, pedi, na vitu vingine vingi kwa pamoja na si kawaida, wafanyakazi wamevaa mask gloves. Mashelf yana magepu daah
Sent using Jamii Forums mobile app