Kisa cha binti aliyebakwa na Wazungu wanne na mbwa wao

wewe nyamaza ulikuwa ujazaliwa au ulikuwa bado unaishi vichakani huko
 
Yaani watu wafanye ukatili hivyo halafu wakaachiwa kirahisi hivyo..kma ni kweli nchi zetu za kimaskini hazitakaa tuendelee. Piga picha mtz angekuwa amefanya Ukatil dizain hyo huko ujeruman, USA ingekuwa vipi? Je wangejali chochotee...
walifukuzwa nchini awakuachiwa kuwa muelewa alafu utambua kuwa wazungu ndio wenye nchii wewe kama muhamiaji tu
 
Nimekumbuka mbali sana hii ilikuwa skendo. Kubwa sana hadi wanawake wakipita kwenye kundi la wanaume walikuwa wakipigiwa milio ya kubweka kwa mbwa.
 
Enzi za Mwinyi mtu ulikuwa unaweza kufanya chochote ili mradi tu, wewe una pesa. Ndio maana akaitwa Mzee Ruksa
muda wate miaka yote mzungu anaweza kufanya atakavio na serikali isimfanye lolote kama waleweza kuwakata vichwa watemi wetu na kuvipeleka kwao itakuwa kumbaka mwanamke
 
hiyo ni kweli opeleishini vijiji imefanya na mwinyi mwinyi ndie alie mua soko 4 mwinyi ndie alie alibu uchumi kuingia vitani uganda mwainyi ndie mwinyi ndie alie leta umasikini baada ya kuwataifisha watu mali zao kisa uujumu uchumi, unapo sema akupendwa na waisilamu wenzake huo ni upunguani wako wa akili waisilamu hapa wanaingiaje
 
Hao mashoga walikuwepo na walikuwa wanajulikana kabisa mitaani.

Enzi za Nyerere hakukuwepo uhuru wa vyombo vya habari, ni vya serikali tu au umesahau?
huyu jamaa yuko na chuki na mzee mwinyi ukimchunguza zaidi ni mtu wa mapolini huko habari za mwinyi atazijua wapi?
 
kuna wazungu fulani pia walimlalisha mbwa wao kwa binti kule Mwanza au Geita kama sikosei. inavyosemekana, kwa maneno ya mahakamani, ati mbwa vile anavyokwamaga si huwa anatengeneza furushi limejaa mbegu linajaa na linazuia pale mlangoni asichomoke hadi zimwagikie ndani. sasa watu wanasema wakati mbwa anachomoa kilitoka hadi kizazi.

watu waongo sana, kwa kizazi cha mwanamke mtu mzima kwamba kichomoke, naamini fundo lile la mbwa likijaa haliwezi kuwa bubwa kuzidi matango hayo yanayouzwa gengeni ambayo mabinti wengi tu huwa wanayatumia kwa punyeto/wamama wengi tu, au hata sisi tuliozoea uchi, uchi ukilowa unaweza kuingiza hata mkono ukaingia. kwani firsting huwa inafanyikaje na mwanamke anasimama baada ya hiyo anaendelea na maisha kama kawaida. uchi ukilowa unaweza kutanuka upendavyo.

wale wazungu insemekana walikuja kumlipa yule binti pesa baadaye, na binti anaendelea kuishi maisha yake kama kawaida tu. though hoja ni vile wabongo wasivyozijua nyuchi ati uchi ulichomoka.
 
hii michezo kuna kipindi ilishamiri sana, sasa hivi sijasikia case za hizi mambo, au sijui zinapigwa kimya kimya kwa ujira na wahusika kutoa ushirikiano
 
ni kweli nyerere nchi ilimshinda..mwinyi akafanya mambo vuruvuru nchi ilikuwa kibanda umiza kila mtu anaweza kufanya chochote
ulitaka mwinyi afanyeje kakuta watu wako hoi kuanzia mavazi wakitembea uchi magali hakuna maduka hakuna kila unchokijua kuhusu huduma za binadamu hakuna ndio maana aliamua kuachia vitu viingie kuanzia mitumba tv mabasi shule binafs hostali hili watu analao wavae nguo
 
Huko Usumani si ndio makao makuu ya wachawi na uchawi? Walishindwa nini kuwaloga hao wazungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…