Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

Mr mutuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2023
Posts
2,869
Reaction score
14,501
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
Ndo sifa kuu ya malecture wa Tz kutunga mitihani migumu ambayo hata wao hawawezi kuijibu
 
Nashauri mitihani yote ya vyuo iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU. Wakufunzi wanakuwa na bifu za kike_kike, ukimfanyia kosa la kibinadamu kabisaa yeye anakimbilia kukutishia kwamba "Tutaonana kwenye UE"
 
Mimi nadhani hio iko udsm tu. Mimi nlikosoma malecturer hawana hzo mambo. Na akizileta anachanwa ili abadilike, wale wanaoanza kazi product za udsm walozoea kukaza
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
Huyo hakuwa Mkorea bali Mturuki. Namkumbuka; alikuwa mwembamba hivi halafu alikuwa anavuta sigara sana.
Kuna kipindi sisi tuliwahi kuletewa test ya Advanced Calculus maswali manne ndani ya dakika 45. Tuifanya test tukajikongoja hivyo hivyo na htaimaye kufaulu. Movie sasa ikaja siku ya kufanya masahihisho ya test. Ndani ya vipindi viwili vya masaa mawili tukaishia ku-solve swali moja tu la kwanza na ambalo mwenye kutunga mtihani lilimtoa. Unajua ile ya mtu anatunga swali kutoka kwenye kitabu halafu wakati wa kuja kufanya masahihisho akajisahau kuja na nondo ile aliyokuwa amendaa.
Watu wanaojua hesabu ni wachache sana; ila waliosoma hesabu ni wengi sana
 
Huyo hakuwa Mkorea bali Mturuki. Namkumbuka; alikuwa mwembamba hivi halafu alikuwa anavuta sigara sana.
Kuna kipindi sisi tuliwahi kuletewa test ya Advanced Calculus maswali manne ndani ya dakika 45. Tuifanya test tukajikongoja hivyo hivyo na htaimaye kufaulu. Movie sasa ikaja siku ya kufanya masahihisho ya test. Ndani ya vipindi viwili vya masaa mawili tukaishia ku-solve swali moja tu la kwanza na ambalo mwenye kutunga mtihani lilimtoa. Unajua ile ya mtu anatunga swali kutoka kwenye kitabu halafu wakati wa kuja kufanya masahihisho akajisahau kuja na nondo ile aliyokuwa amendaa.
Watu wanaojua hesabu ni wachache sana; ila waliosoma hesabu ni wengi sana
Unaongelea mwaka Gani?
 
Nyie mlikuwa mnafurahia kuoneshwa maswali kwenye test, lakini kiuhalisia huyo lecturer wa Kikorea alikua anawaona vilaza, mamburula, hamjui kitu, hivyo akaona isiwe kesi, njia pekee ya kuwasaidia ni kuwaonesha maswali ya mtihani ili walau mtoboe, hiyo sio sifa, mwenzenu alikuwa anawaona vilaza.
 
Ndo sifa kuu ya malecture wa Tz kutunga mitihani migumu ambayo hata wao hawawezi kuijibu
Umenikumbusha kipindi nipo o level nilkuwa mnyama hatari wa hesabu

Sasa siku moja nikaambiwa nitunge mtihani wa form 1 wakati huo nipo form 4,ule mtihani madogo walifeli sana,mwalimu akaniambia niufanye niliambulia kupata 60 ya 100
 
Umenikumbusha kipindi nipo o level nilkuwa mnyama hatari wa hesabu

Sasa siku moja nikaambiwa nitunge mtihani wa form 1 wakati huo nipo form 4,ule mtihani madogo walifeli sana,mwalimu akaniambia niufanye
niliambulia kupata 60 ya 100
Yaani hata Hawa wakufunzi wetu mitihani wanayotoa hawawezi kutoboa
 
Back
Top Bottom