Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

Kuna mtu anaitwa dr william pale udsm. Yule msabato ana roho mbaya shetani akasome.

Sitakanyaga udsm tena, niliandika risechi nikapewa C, kuna mtu wa chuo x binafs akapata A.

MANINA ZENU YUDISM KWA KUSABABISHA KUPATA GPA YA NYANYA.
 
Ukienda kule sokoine kuna maswali ya ajabu mfano; The fecundity of migratory pests like Locusta migratoria is not only said to be sky rocketing but also astronomical, with well labelled illustrations ng'weng'wezulate the above statement based on Gosi dya Bau's KANG'AMBWA.
 
Mungu awape maisha marefu walimu.

Nje na roho wametufundisha leo hii tunajua kuandika hata wachumba wakatuelewa.

Halfu wametufundisha kiingereza cha kuombea maji kinatusaidia kwa interview.

Hesabu za kujumlisha na kutoa zimetufanya tusizidishe chenji
 
Kuna lecturer mmoja siku kadhaa kabla ya test akatuambia hakuna mtu atapata alama 10 kati ya 16. Akasisitiza kuwa atakayepata 5 ni kidume kweli kweli na huyo atakayepata 5 atakuwa mwanamke! Yaani alikuwa na matokeo kabla ya test na matokeo yalikuja hivyo hivyo! Mdada mmoja alipata 5 na huyo akawa kidume WA darasa! Sijawahi kuona mtihani kama ule maishani! Sio haijibika Bali Hauna majibu!
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
Umenikumbusha B+ enzi zetu tulikuwa tunaziita B ya kikristo.
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
😂😂
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
Hio MT ilikuwa inahusu nini nikutajie code yake sasa hvi😁🤣🤣
 
Ukienda kule sokoine kuna maswali ya ajabu mfano; The fecundity of migratory pests like Locusta migratoria is not only said to be sky rocketing but also astronomical, with well labelled illustrations ng'weng'wezulate the above statement based on Gosi dya Bau's KANG'AMBWA.
Bila shaka kuna kithailand ndani yake
 
Ukienda kule sokoine kuna maswali ya ajabu mfano; The fecundity of migratory pests like Locusta migratoria is not only said to be sky rocketing but also astronomical, with well labelled illustrations ng'weng'wezulate the above statement based on Gosi dya Bau's KANG'AMBWA.
Duh ndio maana hatuwezi kutengeneza hata miswaki
 
Wasaalam..

Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja

Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile mara anatuonyesha Hili ndo swali la kwanza, watu wakaguna! Mara Hili ndo la pili mpaka akafika matano! Watu wakayanote alafu yote yalikua mifano so yalikua yametolewa majibu kwenye desa hapo hapo

tunamaliza pindi watu wakawa wanaambiana huyu anatania au yupo serious, basi bana watu wakapiga kitabu na ile mifano aliyoisema ataitoa kwenye test watu wakaimeza sio kikawaida, kesho yake tunafika test mara maswali yote Yale Yale matano mpaka Kuna watu wakaanza kucheka

Itoshe kusema tu na test 2 mfumo ukawa vile vile Yani maswali yote alituonyesha kabla ya mtihani tena ilikua mifano tu, akaja kuondoka zake kabla ya ue(final exam) hazijafika tukapewa kibwengo mmoja mbongo amalizie course! Aisee jamaa kuja kutoa course work akawa analalamika kishenzi watu karibia wote Wana 40/40! Yaani wa mwisho ana 33 sijui nae hata alipataje course work ndogo


tukawa tunachekelea tu kwamba hapo Banda(A) ni uhakika! Bana eh!!! Kuja kuingia final exam itoshe kusema tu sijawahi kukutana na mtihani nondo kama huo maisha yangu yote, baada ya kusoma mtihani watu wote wakaangaliana wakaanza kucheka tulikua tunafanyia yombo Kule

watu wengi waliambulia B- plain yaani mana yake kwenye mtihani wa marks 60 wengi hawakutoa hata 20/60!! B+ zilikua chache na Wala hakuna aliyepata Banda! Shikamoo wabongo!! Tunajua sana kusagiana kunguni


siku njema!!
😉
 
Back
Top Bottom