Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

Kuna mtu anaitwa dr william pale udsm. Yule msabato ana roho mbaya shetani akasome.

Sitakanyaga udsm tena, niliandika risechi nikapewa C, kuna mtu wa chuo x binafs akapata A.

MANINA ZENU YUDISM KWA KUSABABISHA KUPATA GPA YA NYANYA.
 
Ukienda kule sokoine kuna maswali ya ajabu mfano; The fecundity of migratory pests like Locusta migratoria is not only said to be sky rocketing but also astronomical, with well labelled illustrations ng'weng'wezulate the above statement based on Gosi dya Bau's KANG'AMBWA.
 
Mungu awape maisha marefu walimu.

Nje na roho wametufundisha leo hii tunajua kuandika hata wachumba wakatuelewa.

Halfu wametufundisha kiingereza cha kuombea maji kinatusaidia kwa interview.

Hesabu za kujumlisha na kutoa zimetufanya tusizidishe chenji
 
Kuna lecturer mmoja siku kadhaa kabla ya test akatuambia hakuna mtu atapata alama 10 kati ya 16. Akasisitiza kuwa atakayepata 5 ni kidume kweli kweli na huyo atakayepata 5 atakuwa mwanamke! Yaani alikuwa na matokeo kabla ya test na matokeo yalikuja hivyo hivyo! Mdada mmoja alipata 5 na huyo akawa kidume WA darasa! Sijawahi kuona mtihani kama ule maishani! Sio haijibika Bali Hauna majibu!
 
Umenikumbusha B+ enzi zetu tulikuwa tunaziita B ya kikristo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hio MT ilikuwa inahusu nini nikutajie code yake sasa hvi😁🀣🀣
 
Bila shaka kuna kithailand ndani yake
 
Duh ndio maana hatuwezi kutengeneza hata miswaki
 
πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…