Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

HAPO SASA HUYU JAMAA 2021 ATAKUWA RAIS WA RWANDA.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    13.1 KB · Views: 26
  • Kayumba-nyamwasa-en-uniforme.jpg
    8.5 KB · Views: 24
  • images.jpeg
    24.8 KB · Views: 21
GENTAMYCINE utapotea humu. Baadhi ya makala zako zinaelimisha,sasa umevuka mstari.
.

Huwa anaelimisha nini?.
Shobo tu, ujuaji na matusi mengi. Ukiacha yale mapopoma ya buku 7 fc, nafikiri anayefuatia kwa udwanzi koko ni huyu jamaa yako.
 
Mleta Uzi kaleta Uzi wa kizushi chai ya Asubuhi nawe umeamua kukoleza kwa chumvi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawajui hawa
 
Mkwara mbuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda ilishapambana na nchi ipi ikaishinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania sio wajinga Kwa kiasi hicho mnachotuaminisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekosa Cha kuongea ww.Rwanda inapgwa na mkoa mmoja tu wa Kigoma,bac.We unaiogopa Uganda,wkt unakili kuwa tuliipiga Uganda!Halafu unaongea Mambo ya ndumba!Kwa hyo hzo ndumba ndo ziliwazuia wanajesh wa Uganda kutangaza ushindi?Yaani tupigwe sisi,halafu vita tushinde sisi,ya wapi haya!Rwanda ni nchi ndogo xna,angejaribu kuleta fyoko fyoko kidogo tu angeona kilichomkimbiza nduli Uganda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulishawahi kupigana na nchi gani hadi xaivi?Unadhan TANZANIA ni wahutu mliokuwa mkipigana kwa mapanga co?This is TANZANIA,super power in East Central zone,gusa unate.Ki nchi chenyewe hata mkoa wa mwanza mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa umerukwa na akili we c bure.Hujui tu jk alichowafanyia wanyarwanda ktk operesheni ondoa wahamiaj haramu eh!Ile operesheni ilienda mbal xna,pk anajua.Unamwogopa Uganda,wkt Uganda anamwogopa TZ!Ongelea nchi nyngne co wilaya bna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…