Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
HAPO SASA HUYU JAMAA 2021 ATAKUWA RAIS WA RWANDA.Hata kabla hujazivujisha hapa wenye akili kuliko Wewe na Ndugu zako wengine wote tumeshazijua na tunazo sasa huu ni mwaka wa 18 na ndiyo maana nakuambia tena kwa Kiburi na Jeuri kabisa kwamba Tanzania haiwezi Kuipiga Rwanda Kijeshi iwe ni Usiku au Mchana na tena msije ' mkathubutu ' kwani mtajuta kutufahamu.
TUKIINGIA RWANDA TUWANAWADUA MADEM WA KITUTS JAPO KUWA WANA MAJI MENGI HATUJALI TUWABANDUA VIZURI SANA!! NCHI INAYOTUMIA "PUA" KUTAMBUA MWENZIE!!Umeanza Kuvuta Bange / Bangi lini?
.GENTAMYCINE utapotea humu. Baadhi ya makala zako zinaelimisha,sasa umevuka mstari.
Hamna loloteHAPO SASA HUYU JAMAA 2021 ATAKUWA RAIS WA RWANDA.
Amini Uzi huu na pia uliza utapata ukweli
Wala sijaota, huamini?
Mleta Uzi kaleta Uzi wa kizushi chai ya Asubuhi nawe umeamua kukoleza kwa chumvi kabisaNajua kuna ' Wapuuzi ' na ' Wapumbavu ' wachache watakuamini na wamekuamini vile vile kwa 99.9%, ila nikuombe tu kama ukisikia kuna Chuo Kikuu chochote Kipya cha Ubobezi wa Propaganda kinaanzishwa basi peleka Maombi yako ili uweze kuwa ama Principle au Vice Chancellor wake kwani una ' Qualifications ' zote na utafaa.
Pamoja na Kuandika yote haya ila nakuhakikishia tena hapa hapa kuwa Tanzania haina ubavu / uwezo wa Kupambana ' Kivita ' na Rwanda na kama Tanzania mnataka muwe eneo rasmi la nchi ya Rwanda kuanzia sasa ' tuchokozeni ' hata sasa hivi ili muione nguvu ya Kinyarwanda tena hasa ya Kabila ' lililobarikiwa ' la ' Kitutsi ' ndipo mtasimulia vyema.
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba Rwanda tunaiogopa zaidi Uganda kuliko Tanzania hasa kutokana na sababu za ndani zaidi ambazo hapa si mahala pake ila kwa Wafuatiliaji wa mambo hasa yale ' Nyeti ' wanaelewa na naamini pia kuwa watakuwa wamenielewa.
Kama kuna nchi ambayo Rwanda tuna uwezo wa Kuivamia na Kuipiga tena Kiurahisi kabisa hapa Afrika Mashariki basi ni nchi ya Tanzania na hapa nisisitize tu kwamba hakuna eneo ' Muhimu / Nyeti ' nchini Tanzania ambapo hakuna Mnyarwanda ( hasa Mtutsi ) na kama ni Kuwasomeni na Kupenyeza Watu wetu hatujaanza Kufanya leo bali tulianza tokea miaka 15 hadi 18 iliyopita na ndiyo maana unaona tuna Kiburi na Jeuri dhidi yenu. Kiufupi tu ni kwamba Watanzania mmechelewa sana na mno kwa Rwanda na kupitia hili hili Bandiko ( huu Uzi ) nitumie nafasi hii kuwapeni ONYO KALI Watanzania kama kweli mnajipenda acheni ' Kuichokonoa ' au ' Kuifuatafuata ' Rwanda ila kama mnataka ' Maangamizi ' makubwa kuliko yale mliyoyapata kutoka kwa Nduli Idi Amin japo mlimshinda ' Kimazingaombwe / Kiuchawi / Kindumba ' endeleeni ' Kushoboka ' na Sisi ( Rwanda ) ili mje msimulie vizuri.
Nimemaliza.
Hawajui hawaHiki kisa alicholeta huyu jamaa kimeonyesha kabisa watu wengi humu JF hawajui mambo mengi na si wafuatiliaji wa haya matukio.
Kwa anayejua zile pilikapilika za kijeshi kuanzia Mwanza mpaka Bukoba kipindi kile na upole wa ghafla wa PK unaweza kuhisi kitu na unaweza pia usimbishie Mleta uzi.
Mkwara mbuziJipendekezeni basi muone cha Mtema Kuni. Mnadhani Rwanda ni kama Uganda au Kisiwa cha Comoro? Tena hakuna Taifa jepesi ambalo Rwanda inaweza Kulipiga itakavyo kama la Tanzania. Japo kila Uchao mnahangaika ' Kutupeleleza / Kutujasusi ' huku mkijifanya ni wana ' Diplomasia ' wazuri ila tambueni kuwa na Sisi kila Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na Miaka huwa tunaifuatilia Tanzania yenu Kindakindaki kuanzia Mjini hadi Vijijini na ndiyo maana kwa Jeuri na Nyodo kabisa nakuambia kuwa Wanyarwanda hasa wa Kabila la ' Tutsi ' wanaijua Tanzania kuliko hata Watanzania wanavyoijua Rwanda na hata tukitaka ' Kuwapigeni ' tunajua tuanzie wapi na tumalizie wapi ili tuwamalizeni kabisa.
Rwanda ilishapambana na nchi ipi ikaishinda?Nitukane uwezavyo nidhihaki utakavyo ila narudie tena Kuandika huku nikijiamini kwa 100% kuwa Tanzania haina ubavu / jeuri / uwezo wa Kupambana Kivita / Kijeshi / Kimedani na Rwanda na kupitia Wewe Mtanzania mwenzao ' Pimbi ' mmoja nikuombe tu waambie Watanzania wenzako kuwa kama wanataka wasifikie Malengo yao ya Viwanda na Uchumi wake na wakitaka Mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Tabora, Mara, Ruvuma,Morogoro, Iringa, Arusha, Geita, Rukwa na Kagera ziwe ' Territories ' rasmi za Rwanda endeleeni tu Kujidanganya na ' Kushoboka ' nasi. Mtafute Mtu unayejua anakuzidi ' Akili / IQ ' ili akuambie ni kwanini ' Strategically ' kabisa nimekutajia tu hiyo Mikoa na mingine nimeiacha. Rwanda ' tumebarikiwa ' na Mwenyezi Mungu Akili, Ushujaa na Uthubutu. Kidogo tunayemuogopa ni Uganda na siyo Tanzania.
Watanzania sio wajinga Kwa kiasi hicho mnachotuaminishaUslolijua alilolindika GENTAMYACIN lina ukwel kwa %46 hasa pale anaposema kila idara kna wanyarwanda hata kama sio idala zte, Idara %kubwa ya idara wapo amn usiamn, Majuz tu Hapa nimeona idara moja hv yumo mtus, na hil kabila Watus ndi weng sana fatilia mkuu utapata majbu mwenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosa Cha kuongea ww.Rwanda inapgwa na mkoa mmoja tu wa Kigoma,bac.We unaiogopa Uganda,wkt unakili kuwa tuliipiga Uganda!Halafu unaongea Mambo ya ndumba!Kwa hyo hzo ndumba ndo ziliwazuia wanajesh wa Uganda kutangaza ushindi?Yaani tupigwe sisi,halafu vita tushinde sisi,ya wapi haya!Rwanda ni nchi ndogo xna,angejaribu kuleta fyoko fyoko kidogo tu angeona kilichomkimbiza nduli Uganda.Najua kuna ' Wapuuzi ' na ' Wapumbavu ' wachache watakuamini na wamekuamini vile vile kwa 99.9%, ila nikuombe tu kama ukisikia kuna Chuo Kikuu chochote Kipya cha Ubobezi wa Propaganda kinaanzishwa basi peleka Maombi yako ili uweze kuwa ama Principle au Vice Chancellor wake kwani una ' Qualifications ' zote na utafaa.
Pamoja na Kuandika yote haya ila nakuhakikishia tena hapa hapa kuwa Tanzania haina ubavu / uwezo wa Kupambana ' Kivita ' na Rwanda na kama Tanzania mnataka muwe eneo rasmi la nchi ya Rwanda kuanzia sasa ' tuchokozeni ' hata sasa hivi ili muione nguvu ya Kinyarwanda tena hasa ya Kabila ' lililobarikiwa ' la ' Kitutsi ' ndipo mtasimulia vyema.
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba Rwanda tunaiogopa zaidi Uganda kuliko Tanzania hasa kutokana na sababu za ndani zaidi ambazo hapa si mahala pake ila kwa Wafuatiliaji wa mambo hasa yale ' Nyeti ' wanaelewa na naamini pia kuwa watakuwa wamenielewa.
Kama kuna nchi ambayo Rwanda tuna uwezo wa Kuivamia na Kuipiga tena Kiurahisi kabisa hapa Afrika Mashariki basi ni nchi ya Tanzania na hapa nisisitize tu kwamba hakuna eneo ' Muhimu / Nyeti ' nchini Tanzania ambapo hakuna Mnyarwanda ( hasa Mtutsi ) na kama ni Kuwasomeni na Kupenyeza Watu wetu hatujaanza Kufanya leo bali tulianza tokea miaka 15 hadi 18 iliyopita na ndiyo maana unaona tuna Kiburi na Jeuri dhidi yenu. Kiufupi tu ni kwamba Watanzania mmechelewa sana na mno kwa Rwanda na kupitia hili hili Bandiko ( huu Uzi ) nitumie nafasi hii kuwapeni ONYO KALI Watanzania kama kweli mnajipenda acheni ' Kuichokonoa ' au ' Kuifuatafuata ' Rwanda ila kama mnataka ' Maangamizi ' makubwa kuliko yale mliyoyapata kutoka kwa Nduli Idi Amin japo mlimshinda ' Kimazingaombwe / Kiuchawi / Kindumba ' endeleeni ' Kushoboka ' na Sisi ( Rwanda ) ili mje msimulie vizuri.
Nimemaliza.
Ulishawahi kupigana na nchi gani hadi xaivi?Unadhan TANZANIA ni wahutu mliokuwa mkipigana kwa mapanga co?This is TANZANIA,super power in East Central zone,gusa unate.Ki nchi chenyewe hata mkoa wa mwanza mkubwa!Jipendekezeni basi muone cha Mtema Kuni. Mnadhani Rwanda ni kama Uganda au Kisiwa cha Comoro? Tena hakuna Taifa jepesi ambalo Rwanda inaweza Kulipiga itakavyo kama la Tanzania. Japo kila Uchao mnahangaika ' Kutupeleleza / Kutujasusi ' huku mkijifanya ni wana ' Diplomasia ' wazuri ila tambueni kuwa na Sisi kila Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na Miaka huwa tunaifuatilia Tanzania yenu Kindakindaki kuanzia Mjini hadi Vijijini na ndiyo maana kwa Jeuri na Nyodo kabisa nakuambia kuwa Wanyarwanda hasa wa Kabila la ' Tutsi ' wanaijua Tanzania kuliko hata Watanzania wanavyoijua Rwanda na hata tukitaka ' Kuwapigeni ' tunajua tuanzie wapi na tumalizie wapi ili tuwamalizeni kabisa.
Utakuwa umerukwa na akili we c bure.Hujui tu jk alichowafanyia wanyarwanda ktk operesheni ondoa wahamiaj haramu eh!Ile operesheni ilienda mbal xna,pk anajua.Unamwogopa Uganda,wkt Uganda anamwogopa TZ!Ongelea nchi nyngne co wilaya bna.Nitukane uwezavyo nidhihaki utakavyo ila narudie tena Kuandika huku nikijiamini kwa 100% kuwa Tanzania haina ubavu / jeuri / uwezo wa Kupambana Kivita / Kijeshi / Kimedani na Rwanda na kupitia Wewe Mtanzania mwenzao ' Pimbi ' mmoja nikuombe tu waambie Watanzania wenzako kuwa kama wanataka wasifikie Malengo yao ya Viwanda na Uchumi wake na wakitaka Mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Tabora, Mara, Ruvuma,Morogoro, Iringa, Arusha, Geita, Rukwa na Kagera ziwe ' Territories ' rasmi za Rwanda endeleeni tu Kujidanganya na ' Kushoboka ' nasi. Mtafute Mtu unayejua anakuzidi ' Akili / IQ ' ili akuambie ni kwanini ' Strategically ' kabisa nimekutajia tu hiyo Mikoa na mingine nimeiacha. Rwanda ' tumebarikiwa ' na Mwenyezi Mungu Akili, Ushujaa na Uthubutu. Kidogo tunayemuogopa ni Uganda na siyo Tanzania.
Jamaa atakuwa ana share nchiUtakuwa umerukwa na akili we c bure.Hujui tu jk alichowafanyia wanyarwanda ktk operesheni ondoa wahamiaj haramu eh!Ile operesheni ilienda mbal xna,pk anajua.Unamwogopa Uganda,wkt Uganda anamwogopa TZ!Ongelea nchi nyngne co wilaya bna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uvumi na wala hakunaga ukweliKama wanajeshi wa PK wepesi namna hiyo mbona ndo wanamlinda Mr Stone?
Wewe!!! Niombe radhi haraka sana.
Yupi huyo?inawezekana ikawa kweli.
Maana kuna first lady mmoja alitekwa.
Baada ya mgogoro wa kodi na mkewe.kule uganda
Sent using Jamii Forums mobile app