kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,072
- 1,545
All in all.hongera Jwtz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIFUPI WEWE NI MPUUZI,NA HOJA YAKO YA KIPUUZI,WATU TUNAOELEWA HUWA TUNACHEKA NA "hadithi ya mende kuangusha kabati" Boya, na kilaza mkubwa hapa jf,LEO UMETHIBITISHA UPUUZI WAKO.Hata kabla hujazivujisha hapa wenye akili kuliko Wewe na Ndugu zako wengine wote tumeshazijua na tunazo sasa huu ni mwaka wa 18 na ndiyo maana nakuambia tena kwa Kiburi na Jeuri kabisa kwamba Tanzania haiwezi Kuipiga Rwanda Kijeshi iwe ni Usiku au Mchana na tena msije ' mkathubutu ' kwani mtajuta kutufahamu.
Kuwepo katika idara zetu haimaanishi kuwa wote ni spies maana kuna warwanda wengi wamezaliwa hapa toka miaka ya tisini sababu ya wazazi wao kukimbia mauaji ya kimbari..Uslolijua alilolindika GENTAMYACIN lina ukwel kwa %46 hasa pale anaposema kila idara kna wanyarwanda hata kama sio idala zte, Idara %kubwa ya idara wapo amn usiamn, Majuz tu Hapa nimeona idara moja hv yumo mtus, na hil kabila Watus ndi weng sana fatilia mkuu utapata majbu mwenyew
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikujiunga na JWTZ nilipomaliza shule ingawa kwa kipindi fulani mlango ulikuwa wazi. Ila, siku 'la mgambo' likilia, kuwa tupo vitani na Kagame. Naomba wani train kidogo wanipe silaha na kidumu cha maji nikawe gadi ya kwanza Rusumo.Najua kuna ' Wapuuzi ' na ' Wapumbavu ' wachache watakuamini na wamekuamini vile vile kwa 99.9%, ila nikuombe tu kama ukisikia kuna Chuo Kikuu chochote Kipya cha Ubobezi wa Propaganda kinaanzishwa basi peleka Maombi yako ili uweze kuwa ama Principle au Vice Chancellor wake kwani una ' Qualifications ' zote na utafaa.
Pamoja na Kuandika yote haya ila nakuhakikishia tena hapa hapa kuwa Tanzania haina ubavu / uwezo wa Kupambana ' Kivita ' na Rwanda na kama Tanzania mnataka muwe eneo rasmi la nchi ya Rwanda kuanzia sasa ' tuchokozeni ' hata sasa hivi ili muione nguvu ya Kinyarwanda tena hasa ya Kabila ' lililobarikiwa ' la ' Kitutsi ' ndipo mtasimulia vyema.
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba Rwanda tunaiogopa zaidi Uganda kuliko Tanzania hasa kutokana na sababu za ndani zaidi ambazo hapa si mahala pake ila kwa Wafuatiliaji wa mambo hasa yale ' Nyeti ' wanaelewa na naamini pia kuwa watakuwa wamenielewa.
Kama kuna nchi ambayo Rwanda tuna uwezo wa Kuivamia na Kuipiga tena Kiurahisi kabisa hapa Afrika Mashariki basi ni nchi ya Tanzania na hapa nisisitize tu kwamba hakuna eneo ' Muhimu / Nyeti ' nchini Tanzania ambapo hakuna Mnyarwanda ( hasa Mtutsi ) na kama ni Kuwasomeni na Kupenyeza Watu wetu hatujaanza Kufanya leo bali tulianza tokea miaka 15 hadi 18 iliyopita na ndiyo maana unaona tuna Kiburi na Jeuri dhidi yenu. Kiufupi tu ni kwamba Watanzania mmechelewa sana na mno kwa Rwanda na kupitia hili hili Bandiko ( huu Uzi ) nitumie nafasi hii kuwapeni ONYO KALI Watanzania kama kweli mnajipenda acheni ' Kuichokonoa ' au ' Kuifuatafuata ' Rwanda ila kama mnataka ' Maangamizi ' makubwa kuliko yale mliyoyapata kutoka kwa Nduli Idi Amin japo mlimshinda ' Kimazingaombwe / Kiuchawi / Kindumba ' endeleeni ' Kushoboka ' na Sisi ( Rwanda ) ili mje msimulie vizuri.
Nimemaliza.
GENTAMYCINE utapotea humu. Baadhi ya makala zako zinaelimisha,sasa umevuka mstari.
Yani mleta mada na wewe naona wote mko sawa, zaidi tu ni kwamba wewe unaleta confusion ili watu waaanze kufikilia kua kwenye idara zetu nyeti ni nani ni mnyarwanda.Najua kuna ' Wapuuzi ' na ' Wapumbavu ' wachache watakuamini na wamekuamini vile vile kwa 99.9%, ila nikuombe tu kama ukisikia kuna Chuo Kikuu chochote Kipya cha Ubobezi wa Propaganda kinaanzishwa basi peleka Maombi yako ili uweze kuwa ama Principle au Vice Chancellor wake kwani una ' Qualifications ' zote na utafaa.
Pamoja na Kuandika yote haya ila nakuhakikishia tena hapa hapa kuwa Tanzania haina ubavu / uwezo wa Kupambana ' Kivita ' na Rwanda na kama Tanzania mnataka muwe eneo rasmi la nchi ya Rwanda kuanzia sasa ' tuchokozeni ' hata sasa hivi ili muione nguvu ya Kinyarwanda tena hasa ya Kabila ' lililobarikiwa ' la ' Kitutsi ' ndipo mtasimulia vyema.
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba Rwanda tunaiogopa zaidi Uganda kuliko Tanzania hasa kutokana na sababu za ndani zaidi ambazo hapa si mahala pake ila kwa Wafuatiliaji wa mambo hasa yale ' Nyeti ' wanaelewa na naamini pia kuwa watakuwa wamenielewa.
Kama kuna nchi ambayo Rwanda tuna uwezo wa Kuivamia na Kuipiga tena Kiurahisi kabisa hapa Afrika Mashariki basi ni nchi ya Tanzania na hapa nisisitize tu kwamba hakuna eneo ' Muhimu / Nyeti ' nchini Tanzania ambapo hakuna Mnyarwanda ( hasa Mtutsi ) na kama ni Kuwasomeni na Kupenyeza Watu wetu hatujaanza Kufanya leo bali tulianza tokea miaka 15 hadi 18 iliyopita na ndiyo maana unaona tuna Kiburi na Jeuri dhidi yenu. Kiufupi tu ni kwamba Watanzania mmechelewa sana na mno kwa Rwanda na kupitia hili hili Bandiko ( huu Uzi ) nitumie nafasi hii kuwapeni ONYO KALI Watanzania kama kweli mnajipenda acheni ' Kuichokonoa ' au ' Kuifuatafuata ' Rwanda ila kama mnataka ' Maangamizi ' makubwa kuliko yale mliyoyapata kutoka kwa Nduli Idi Amin japo mlimshinda ' Kimazingaombwe / Kiuchawi / Kindumba ' endeleeni ' Kushoboka ' na Sisi ( Rwanda ) ili mje msimulie vizuri.
Nimemaliza.
unazo akili mkuu,samahani boss. Nasikitika,but hakuna budi liwe hivyo. Tanzania kwanzaUmeshawahi Kuona Mnyarwanda tena wa Kabila la ' Kitutsi ' anaogopa na anatishika hasa na Wapuuzi wachache ambao huenda na Wewe ukawa ni Mmoja wao?
Sikuombi radhi wala siwaombi radhi hao wengine na bado GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nasisitiza kuwa Tanzania na narudia tena Tanzania haina uwezo wa Kupambana Kivita / Kimedani na nchi ya Rwanda. Nitasimama na hii Kauli hadi naingia Kaburini na nakuomba tena acha Kuwadanganya ( Kuwajambisha ) Watanzania kwa Kuwaaminisha Kitu ambacho hakiwezekani.Rwanda tunaijua Tanzania ndani nje kuliko Tanzania inavyoijua Rwanda. Yaani nawaonea Huruma kwa jinsi ambavyo ' mnadanganyana ' hapa.
Rwanda ikileta chokochoko tunawarudisha Wahutu madarakani, Wahutu wakipata uungwaji mkono thabiti wa nchi kama TZ, Kagame anaondoka kesho asubuhi na mapema tu!. Udhaifu wenu mkuu ni Ukabila wenu wa Utusi na Uhutu kama wewe mwenyewe ulivyojitanabahisha!. Ka nchi kenu kako Landlocked tunachoweza kufanya ni kuwaminya mtumie bandari nyingine expensive ili hali ya uchumi kwenu iyumbe. Baada ya hapo ni combination ya long range missiles !. Wahutu watatupokea kwa maua na vigelegele huku wanajeshj wetu wakijichukulia warembo aa kitusi kiulainiii
ASKARI WA RWANDA NI SAWA NA MGAMBO ,WEWE GENTAMYCINE NI MUOTA NDOTO !!
Sikuombi radhi wala siwaombi radhi hao wengine na bado GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE nasisitiza kuwa Tanzania na narudia tena Tanzania haina uwezo wa Kupambana Kivita / Kimedani na nchi ya Rwanda. Nitasimama na hii Kauli hadi naingia Kaburini na nakuomba tena acha Kuwadanganya ( Kuwajambisha ) Watanzania kwa Kuwaaminisha Kitu ambacho hakiwezekani.Rwanda tunaijua Tanzania ndani nje kuliko Tanzania inavyoijua Rwanda. Yaani nawaonea Huruma kwa jinsi ambavyo ' mnadanganyana ' hapa.
Acha kunichekesha mkuuNaam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.
WANYARWANDA WAKILETA UJUAJI TUNAMWEKA MADARANI HUYU GENERAL KAYUMBA NYAMWASAMshukuruni Mungu Magufuli ameukwaa Urais kama ngekewa, Laiti Rais angekuwa Membe angemaliza kazi mapema mwaka 2016 na Leo hii hapo Kwenu Rais angekuwa mhutu au kama ni mtusi basi ni General Kayumba Nyamwasa.