Najua kuna ' Wapuuzi ' na ' Wapumbavu ' wachache watakuamini na wamekuamini vile vile kwa 99.9%, ila nikuombe tu kama ukisikia kuna Chuo Kikuu chochote Kipya cha Ubobezi wa Propaganda kinaanzishwa basi peleka Maombi yako ili uweze kuwa ama Principle au Vice Chancellor wake kwani una ' Qualifications ' zote na utafaa.
Pamoja na Kuandika yote haya ila nakuhakikishia tena hapa hapa kuwa Tanzania haina ubavu / uwezo wa Kupambana ' Kivita ' na Rwanda na kama Tanzania mnataka muwe eneo rasmi la nchi ya Rwanda kuanzia sasa ' tuchokozeni ' hata sasa hivi ili muione nguvu ya Kinyarwanda tena hasa ya Kabila ' lililobarikiwa ' la ' Kitutsi ' ndipo mtasimulia vyema.
Kwa Kukusaidia tu ni kwamba Rwanda tunaiogopa zaidi Uganda kuliko Tanzania hasa kutokana na sababu za ndani zaidi ambazo hapa si mahala pake ila kwa Wafuatiliaji wa mambo hasa yale ' Nyeti ' wanaelewa na naamini pia kuwa watakuwa wamenielewa.
Kama kuna nchi ambayo Rwanda tuna uwezo wa Kuivamia na Kuipiga tena Kiurahisi kabisa hapa Afrika Mashariki basi ni nchi ya Tanzania na hapa nisisitize tu kwamba hakuna eneo ' Muhimu / Nyeti ' nchini Tanzania ambapo hakuna Mnyarwanda ( hasa Mtutsi ) na kama ni Kuwasomeni na Kupenyeza Watu wetu hatujaanza Kufanya leo bali tulianza tokea miaka 15 hadi 18 iliyopita na ndiyo maana unaona tuna Kiburi na Jeuri dhidi yenu. Kiufupi tu ni kwamba Watanzania mmechelewa sana na mno kwa Rwanda na kupitia hili hili Bandiko ( huu Uzi ) nitumie nafasi hii kuwapeni ONYO KALI Watanzania kama kweli mnajipenda acheni ' Kuichokonoa ' au ' Kuifuatafuata ' Rwanda ila kama mnataka ' Maangamizi ' makubwa kuliko yale mliyoyapata kutoka kwa Nduli Idi Amin japo mlimshinda ' Kimazingaombwe / Kiuchawi / Kindumba ' endeleeni ' Kushoboka ' na Sisi ( Rwanda ) ili mje msimulie vizuri.
Nimemaliza.