Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.
Hapana, wawashughulikie mabeberu moja kwa moja hukohuko kwao kabla hawajafika kwetu kuungana na wapinzani kuwashughulikia wana-lumumba.
 
WEWE NI MPUUZI SANA NAKUDHARAU KUANZIA LEO,KARWANDA LAND LOCKED COUNTRY IPAPAMBANE NA TZ??

LEO UMETHIBITISHA KUWA WEWE NI MPUUZI WA HALI YA JUU KULIKO MPUUZI YOYOTE HAPA JF.

CHEZENI NA BURUNDI UGANDA NA CONGO SIKU MKIJARIBU TUNAIFANYA RWANDA MKOA WA TZ NA TUNAHITAJI USIKU MMOJA TU.

TUNAWAPIGA KUTOKA CONGO,TUNAWATWANGA KUTOKEA BURUNDI.

KAGAME KWA JESHI GANI? KWA LOGISTICS ZIPI???

KAGAME ANASHINDWA KULALA USINGIZI VIZURI AKIOOGOPA TUVIKUNDI TWA WAASI HALAFU AIWEZE TANZANIA??

TAFAKARI MARA MBILI GENTAMYCINE,NARUDIA WEWE NI MPUUZI NA UMEANDIKA UPUUZI WA HALI YA JUU.
mkuu tena ni mpuuzi wa kiwango cha majnun..Tanzania na hiko kijiji cha watutsi Rwanda what the f...,,
 
kwenye huo msafara nasikia mkuu alikuwa komando kapensi kutoka viunga vya Ngarenaro
 
Ukipenda vichekesho vya namna m-dm mtoa mada😂🤣🤣🤣🤣😂
 
Mambo ya jeshi huwezi kujua wewe, funga tu.
nifunge nini km buti ni miaka kadhaa kabla hujazaliwa
unaleta porojo wakati hata mitaa ya Kigali huijui
kuweka supporting link tufuatilie huna/ huwezi
unadhani ni kijiwe cha khawa
unajua Kagame kakaa msituni miaka mingapi?unamjua Mtikila? Kombe? na Mwansheria wetu
watoto mliojiunga mwaka jana 2017 msitudanganye
weka link sio Facebook hapa
 
nifunge nini km buti ni miaka kadhaa kabla hujazaliwa
unaleta porojo wakati hata mitaa ya Kigali huijui
kuweka supporting link tufuatilie huna/ huwezi
unadhani ni kijiwe cha khawa
unajua Kagame kakaa msituni miaka mingapi?unamjua Mtikila? Kombe? na Mwansheria wetu
watoto mliojiunga mwaka jana 2017 msitudanganye
weka link sio Facebook hapa
Hao uliowataja wamefanyeje?
 
Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vizuri zaidi jeshi hilo liwe ndiyo tume ya taifa ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom