anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 640
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndio huu. Hata siku moja manajisi hayawezi kukalia Ikulu zetu, iwe Zanzibar au Tzbara. Hata kama mtashinda kwa kura zote tutachukulia wote waliowapigia kura ni mahayawani wasiojitambua. Hatuwapi nchi hata kwa sekunde moja na milele yoteeeeeeeeKhuma Kibuyu nyie Mnachojua ni Kuiba Kura Tu Jiandaeni 2020 Tuonyeshane Ubabe TISSCCM,POLICCM,JWTZCCM VS UKAWA(TUNDU LISSU).
"kinacho Sura,Kina Kisogo"
Acha ujinga dogonifunge nini km buti ni miaka kadhaa kabla hujazaliwa
unaleta porojo wakati hata mitaa ya Kigali huijui
kuweka supporting link tufuatilie huna/ huwezi
unadhani ni kijiwe cha khawa
unajua Kagame kakaa msituni miaka mingapi?unamjua Mtikila? Kombe? na Mwansheria wetu
watoto mliojiunga mwaka jana 2017 msitudanganye
weka link sio Facebook hapa
Weka picha
Acha ujinga dogo Sent using Jamii Forums mobile app
Much Know
JF-Expert Member
Joined Oct 22, 2017
1,769
1,141
280![]()
PUNGA wewe naona ninyi ndio mliotumwa kwani hujui Mada inazungumzia nini auanidandia kwa mbele
tupo wanaume tusiotaka vitoto vitoto vijinga km ww
Mimi sijadodosa, ila wasio na access na information nawaasa wadodose watasikia tukio hili ambalo kagame anaona aibu likisambaa.Hivi kweli unaweza kupata intel nyeti kama hii kwa kudodosa, unajua maana ya kudodosa kweli? Unaanza kuzingua sasa, unapoteza credibility ya info zako taratibu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaona hiki kichekesho.Kichekesho kingine lini
Kabisa, na hakutaka habari hizi zifike BBC, DW, CNN na kwingineko maana ni fedheha kwa nchi.Kwa hiyo walinzi wa Kagame wote walimalizwa pale.....lalalaa goooooooooooooooooooooooo!
Sent using Jamii Forums mobile app
nimekuita PUNGA kwa sababu hujui tulichobishana nayeKwa kutangulia kujiunga ndo ufikiri jina la mjinga litakuacha? Wewe ni mpuuzi regardless your age na utaendelea kuwa hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app