Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PUNGA babako inaoeneka inaonekana wewe product ya shoga ulizaliwa kama kinyesi.nimekuita PUNGA kwa sababu hujui tulichobishana naye
wewe hii story ya Kagame kutekwa unaiamini
au kimekuuma nilipo wataja Marehemu Mtikila, Kombe na Mwansasu
Mleta Mada kaniuliza ndio kina nani hao basi kwa vile wewe ni muchknow ungemsaidia kwani tulishawazungumzia hawa watu na mapandikizi km ninyi mnaotumwa humu na KG na M7
Dofo story za huyu jamaa usipime kabisa ni lazima uwe Mchambuzi usiangalie hapa tu Dar alipotua jana kwa Rais wetu, kakaa porini ujana wake wote na rafikiye M7 mpaka sasa anatawala ajuavyo hakuna mbabe atamsogelea ila rafikiye M7 tu ndio kiboko yake Kikwete hakumuwezaHao uliowataja wamefanyeje?
Fimbo ya asali upo huku Kamanda wangu ?la paix tuxicana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani Ujumbe huu wa 'Twitter’ wa Rais Museveni atakuwa anamlenga nani au nchi gani hapa duniani? - JamiiForums" Uganda ni imara. Nilishasema wale ambao wanajaribu kutuyumbisha hawajui uwezo Wetu. Ni mkubwa. Tukijipanga huwezi kupona kama ni Mchokozi "
hujui ulifikirialo badala ya kudandia Mada unajilengesha kwa Wanaume, mwenzako kauliza Mtikila, Kombe na Jwan Mwaikusa ni nani, wewe unawabadilikia watuma Post
siku nyingine jifunze kujibu Mada sio mto post Punga shwain wa juzi tu wewe
View attachment 1042855
Much Know
JF-Expert Member
Joined Oct 22, 2017
ni kweli maana hawajifichi, acha nimuengeenge lkn wiki hili kwao kubaya sasa hivi mafahali wawili wamenyanyua pembe watakaposhuka itakuwa patashika sisi tunyamazeUnamu-overrate Tutsi mwenzio...
Ahahahahahahah.Jamaa naona kakomaaa kwel.Yan inachekesha halaf inasikitisha
halafu kapotea, angekuwepo tukampa na upande wa pili wa story kunafuka moshiAhahahahahahah.Jamaa naona kakomaaa kwel.Yan inachekesha halaf inasikitisha
Sijapotea nipo, acheni ujuaji wenu, ni kweli Pk alikiona cha moto sema Jk alikuwa na busara.halafu kapotea, angekuwepo tukampa na upande wa pili wa story kunafuka moshi
Paul Kagame aelezea chimbuko la mgogoro na Uganda
Hana chochote, wewe ndyo wale waaminio propaganda za KagameEti jenerali , Fieldmarshal atishwe na Kanali.
Kagame linapokuja kwenye suala la kijeshi ni hatari!.
-Kapindua
-Kamuondoa Mobutu
-Kawashughulikia Interahamwe
Hawezi kukaa Rwanda kibwegebwege yuko fiti, yuko njema. Ila kama inatokea vita ya kiukweliukweli na bongo atapigwa kwa technical knockout kwa sababu tu ya internal divisions za Uhutu na Utusi, ila nchi yake ingekuwa United, Kagame yuko njema sana
HV unafahamu ubora wa jeshi letu? HV unafahamu ubora wa kikosi chetu cha land force? Unafahamu ubora wakikosi chetu cha airforce? Rwanda inch ndogo sana kwa tz kwa jins navyojua ubora wa jeshi na naninavyo lielewa jeshi LA Rwanda nakucheka sana aiseeeEti jenerali , Fieldmarshal atishwe na Kanali.
Kagame linapokuja kwenye suala la kijeshi ni hatari!.
-Kapindua
-Kamuondoa Mobutu
-Kawashughulikia Interahamwe
Hawezi kukaa Rwanda kibwegebwege yuko fiti, yuko njema. Ila kama inatokea vita ya kiukweliukweli na bongo atapigwa kwa technical knockout kwa sababu tu ya internal divisions za Uhutu na Utusi, ila nchi yake ingekuwa United, Kagame yuko njema sana
Ahahahhahaah....umeonae mkuu!uzi wa kiboya ila una trend balaa.ila nilichopenda ni kwamba wadau wanakuja na alternative arguments zinazofanya topic iwe interesting.Though hawaujadil exactly uzi wwnyewe ila wana come na ideas zinazohusiana na hawa watu wawil na hiz nchi mbili😂😂😂 Uzi unaenda tu....