Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

hujui ulifikirialo badala ya kudandia Mada unajilengesha kwa Wanaume, mwenzako kauliza Mtikila, Kombe na Jwan Mwaikusa ni nani, wewe unawabadilikia watuma Post
siku nyingine jifunze kujibu Mada sio mto post Punga shwain wa juzi tu wewe
View attachment 1042855

Much Know

JF-Expert Member
Joined Oct 22, 2017
Nshakwabia punga ni babako na wewe ni kinyesi ulizaliwa makalioni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nchi huwaaminisha watu wao kuwa jeshi lao ni kali sana. Ni propaganda za kidola tu
Nakubaliana na ww mkuu!!
Na vilevile kuna vitu vingi vinafanya jeshi kuwa imara zaidi ya nchi nyingine
Pato la taifa,uzalendo wa wananchi na hata ukubwa wanchi
Na ukumbuke jwtz ina active soldiers wengi kuliko rwanda
Hii inachangia sanaa ubora wa nchi ki jeshi
 
Habari za kusadikika zina mahala pake,km ukuzitoa ktk kijiwe cha madalali basi kwenye kahawa km sio kahawani basi chini ya muembe pale zinapowaka sana lkn kwa watu smart na wenye kujielewa uwezo pata hbr km iz kwa maana izo sehemu nilizotaja lazima ujitoe ufahamu ili uweze hata kukaa hapo story yeyote inaaminiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo wasema habari hii ya kijiweni, huamini.
 
Nikushauri tu ni vyema ukae kimya kwa maana waonyesha wewe ujui chochote kuhusu nchi zote mbili,wew uijui rwanda wala tz mambo unayoongea unajiokotea tu kwa kuilinda heshima yako na kujifunza kuhusu ulimwenguVita aipigwani kwa kuongea tu na kujitutumua na kutoa rugha za ghazabu wewe ujui kitu kaa Kimya uijui Tz na uijui mipango ya Tz uijui Rwanda na uijui mipango ya Rwanda unaonekana mchanga bado ktk kuzungumzia uwezo wa izi nchi mbili,nikudokeze tu ndugu yangu kagame anaiitaji Tz kuliko unavyofikili wewe ana uadui na hii nchi kwa maslahi yake na Tz pia tunamuitaji kwa maslahi yetu na hatuna uadui km unavyoaminisha watu humu na kuwajengea hofu kwa Ku tu unauwezo wa kuandika na kuwasilisha mawazo yako na kingine kajifunze kuhusu Rwanda zaidi alafu ndio ujikombe na nakujipendekeza kwa maana wewe uijui vzr .........


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Gentamycine ni mbishi
 
Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........

Hata ingekuwa ni hadithi ya kubuni (fiction) isingepata mchapishaji achilia mbali kununuliwa hicho kitabu.
 
Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........

Hii ni ndoto au umeshtuka ukajikuta unawaza hivyo? Au haujala usiku ulikuwa mrefu?
 
Kila nchi huwaaminisha watu wao kuwa jeshi lao ni kali sana. Ni propaganda za kidola tu
Na ndicho watu wengi hawakijui.
Embu ona nchi kama ya Tanzania, kuongeza tu mishahara ya wafanyakazi ni shida, unafikiri zinatengwa Tsh ngapi kwa ajili ya Defence Budget..kuna wakati Jeshi lilikuwa linadaiwa madeni makubwa na Tanesco na Dawasco hadi CDF akaomba tena kupitia Media umeme usikatwe.Naona kuna wajinga humu wanapayuka tu eti tuna jeshi imara! In terms of what real? Labda discipline kwa sababu hatusikii mutiny wala coup d' etat.
Hata kwa wingi tu wa wanajeshi tumezidiwa na nchi nyingine za East Africa, tuna jeshi lisilozidi watu 27,000 wakati Rwanda wana active personnel zaidi ya 33,000, Ethiopia ndio kabisa, wana wanajeshi zaidi ya 155,000.Sasa huu ufahari wetu tunatoa wapi? Hata mafunzo, Jeshi letu halina cha ajabu, instructors na military advisors ni walewale wanaofundisha kwingine, wengi wanatoka China,USA, Germany etc. Kama ni vifaa ndio kabisaa,tumezidiwa hata na Uganda, jirani zetu hawa wameweza kununua ndege za kivita modern kabisa, Sukhoi 30 (Su 30) na wamekuwa wana mordenize jeshi lao tangu 1986 kwa msaada mkubwa wa US (U.S. was contributing a big chunk of Uganda Defense Budget, I am told Rwanda is now enjoying the same) sisi jeshi letu la anga ni almost non-existent. Endeleeni tu kujisifia, huku mnaachwa kila siku.

Anyway Uzi unakwenda tu😂😂
 
Na ndicho watu wengi hawakijui.
Embu ona nchi kama ya Tanzania, kuongeza tu mishahara ya wafanyakazi ni shida, unafikiri zinatengwa Tsh ngapi kwa ajili ya Defence Budget..kuna wakati Jeshi lilikuwa linadaiwa madeni makubwa na Tanesco na Dawasco hadi CDF akaomba tena kupitia Media umeme usikatwe.Naona kuna wajinga humu wanapayuka tu eti tuna jeshi imara! In terms of what real? Labda discipline kwa sababu hatusikii mutiny wala coup d' etat.
Hata kwa wingi tu wa wanajeshi tumezidiwa na nchi nyingine za East Africa, tuna jeshi lisilozidi watu 27,000 wakati Rwanda wana active personnel zaidi ya 33,000, Ethiopia ndio kabisa, wana wanajeshi zaidi ya 155,000.Sasa huu ufahari wetu tunatoa wapi? Hata mafunzo, Jeshi letu halina cha ajabu, instructors na military advisors ni walewale wanaofundisha kwingine, wengi wanatoka China,USA, Germany etc. Kama ni vifaa ndio kabisaa,tumezidiwa hata na Uganda, jirani zetu hawa wameweza kununua ndege za kivita modern kabisa, Sukhoi 30 (Su 30) na wamekuwa wana mordenize jeshi lao tangu 1986 kwa msaada mkubwa wa US (U.S. was contributing a big chunk of Uganda Defense, I am told Rwanda is now enjoying the same) sisi jeshi letu la anga ni almost non-existent. Endeleeni tu kujisifia, huku mnaachwa kila siku.

Anyway Uzi unakwenda tu[emoji23][emoji23]
Ngoja waje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom