Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Mimi nimekuwa mpole hapa. Kila comment nakubali tu na kichwa. Basi ngoja nimalizie chai yangu.
 
Duuh haya sasa mihogo na togwa sijui itakuwaje?
 
Duuh haya sasa mihogo na togwa sijui itakuwaje?
 
Mkuu harakati zenu za kumsapoti kachero mbobezi kuchukua fom ya uraisi inaendelea?Mwambie garethbale aendeleze ule uzi wa mzee kikwete alimtuma membe kwa nyerere!!!
MKUU USIHANGAIKE katiba inamruhusu kila mtanzania Mwenye sifa kupitia chama cha sasa kugombea URAIS kwa kuzingatia sifa na vigezo.


kwahiyo kuchukua fomu au kutochukua kunabaki MIKONONI MWA mhusika!

Yeye ni Mtz !

KIFUPI haturudi nyuma 2020 uzi ni ULELE.

#/ NIGUSE NINUKE
 
Htr sn hii..........Kagame huyu huyu PK nnayemfahamu ama paul makonda?!
 
Nifanyeje ili ni m copy H.E J.M. Kikwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…