Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muuza kahawa toa michapati yako hapa, uliona wapi kahawa ikanyweka na chapati?
Leta kashata.
Nakuambia jambo moja tu, ogopa JWTZ
Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.Watanzania kwa ubishi wenu hamtaamini. Aminini jeshi lenu lina uwezo mkubwa sana.
Hivi ni kweli kagame hatumii ikulu?Halo JF siasa.
Niende madani hapo juu.
Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.
Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.
Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.
Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.
Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa.
Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........
Mleta mada tafadhali ongeza balimi ya baridi ili ulete thread nyingine inayoendana na hii ili tuweze kuaminiOooiiyyyy mama lilquuid fireerrreeee
Nakufaaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatumia kama ofisi ila kagoma kulala labda anaogopa mizuka ya Habyarimana.
Hahah jamaa kwa kamba katisha!Dah nimeshindwa kujua nicheke ama nilie au nifunge kwaresma kwa ajili yako mleta mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wa makomandoo wetu kufanya hivyo wanaweza kweli ila hilo tukio mmmhhh cdhani ka kweli ila uwezo huo wanao
Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.
Vidole vya jamaa havion haya kutype mashudu kama haya??Hot tea 😎