wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Uwezo wa makomandoo wetu kufanya hivyo wanaweza kweli ila hilo tukio mmmhhh cdhani ka kweli ila uwezo huo wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah uwezo huo upo wa kumfanyia nani?
Unadhani kwenda kumteka rais wa nchi ni kama kwenda kumkamata Mbowe au ni kama ambavyo Mo dewji alitekwa sio?
Sent from my iPhone using JamiiForums