insuperable
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 299
- 243
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa100%. Tatizo ninyi sio wadodosi
YapKwa hiyo karegeya ndo alitoroshwa na jk kutoka Rwanda sio?
Kivipi
Duuh basi ugomvi wao ulishika hatamu hiyo habari ya kuuwawa jasus nilishaskiaga
Umefanya hadi nkakuchek upo humu kwa muda gani kumbe wa juzi hapa hahahaha ...aya bwana MzeeKabisa100%. Tatizo ninyi sio wadodosi
Eti wakiwa kambini, wewe acha dharau kama huamini pita kimya.
Halo JF siasa.
Niende madani hapo juu.
Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.
Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.
Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.
Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.
Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa.
Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........
Wadau huu sio utani, ni tukio la kweliHivi jukwaa la JOKES limejaa mpaka mtuletee utumbo kama huu kwenye Siasa?!?!
JamiiForums fanya yako, peleka jukwaa la utani haraka muraaa
Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
Hivi kwanini kukurupuka na kusema ni ya vijiweni, hii nchi huijui nyamaza kmyaaaaNa kuna WADANGANYIKA wataamini huu upuuzi. Ila bongo kuna stori nyingi za vijiweni.
Huyuhuyu na sio mwingine.Dah .... Albert Kagame huyu huyu?[emoji41]
Sent using Beretta ARX 160