Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Watanzania kwa ubishi wenu hamtaamini. Aminini jeshi lenu lina uwezo mkubwa sana.
Naam mimi nakuamini kabisa na niseme kuwa binafsi nakuelewa sana. Jeshi letu ndiyo bora sana Afrika nzima kwa kila kitu. Ndiyo maan Raisi alifanya busara sana kuwaachia JWTZ washughulikie swala la korosho. Namshauri kama akiweza alipe jeshi mamlaka liwashugulikie hawa wapinzani wanaotumiwa na mabeberu, najua vijana wetu wakakamavu kutoka TISS na JWTZ wanaweza kuingia hata pale Brussels bila kuonekana na wakaondoka bila hata kuonekana.
 
Hivi ni kweli kagame hatumii ikulu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu....Really?!

April mosi bado lakini naona kama umisahau.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 

Hahah umetisha sana mkuu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…