Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Part:1
Sisi jinsia ya kiume ,tunapitia mengi sana katika harakati za kupata unafuu wa kiuchumi na kusimamia familia bora.
kwa ukanda wetu sisi wakusini age ya 18- 24 unaweza ukawa ndio umri ambao unakumbatia starehe karibia zote ikiwemo pombe na totozi.
lakin 25+ aiseeh vijana wengi huanza kuondoka maskani, kama wameoa basi huaga familia zao na kwenda kutafuta maisha mijini na nchi za watu.
niende kwenye stori moja kwamoja.
mnamo mwaka 2012 kuna mabraza zetu wanne(4) waliondokaga mtaani kwetu wote kwa wakati mmoja.
moja ya chanzo watu wengi kuulizia kuondoka kwao mtaani kwetu ilikua ni vipaji vyao vya soka.alikuepo bro ima(mido) ngasa(striker) shikokoti(striker) na huyu jamaa braza fumo huyu ndio chanzo cha kuleta stori hii hapa na ndie alieleta mrejesho mtaani kuhusu kilicho wasibu katika harakati za kupeleka mzigo huko msumbiji.
its so sad champs, ilikua mida ya sa 12 jionii natoka mashineni kusaga mahindi. nakuta wanafamilia wanalia ,washikaji huku macho ya watu wengi yakimlenga mtu mmoja ambae kadri nilivokua nasogea niliona kama ni mtu ambaye kama namfahamu. ndiyo nikajiridhisha kuwa ni braza fumo !!
je kipi kimemsibu huko alikoenda pamoja na wenzie! hayo yakawa maswali yangu pamoja na wanajamii wote kwa sikuile!
Sisi jinsia ya kiume ,tunapitia mengi sana katika harakati za kupata unafuu wa kiuchumi na kusimamia familia bora.
kwa ukanda wetu sisi wakusini age ya 18- 24 unaweza ukawa ndio umri ambao unakumbatia starehe karibia zote ikiwemo pombe na totozi.
lakin 25+ aiseeh vijana wengi huanza kuondoka maskani, kama wameoa basi huaga familia zao na kwenda kutafuta maisha mijini na nchi za watu.
niende kwenye stori moja kwamoja.
mnamo mwaka 2012 kuna mabraza zetu wanne(4) waliondokaga mtaani kwetu wote kwa wakati mmoja.
moja ya chanzo watu wengi kuulizia kuondoka kwao mtaani kwetu ilikua ni vipaji vyao vya soka.alikuepo bro ima(mido) ngasa(striker) shikokoti(striker) na huyu jamaa braza fumo huyu ndio chanzo cha kuleta stori hii hapa na ndie alieleta mrejesho mtaani kuhusu kilicho wasibu katika harakati za kupeleka mzigo huko msumbiji.
its so sad champs, ilikua mida ya sa 12 jionii natoka mashineni kusaga mahindi. nakuta wanafamilia wanalia ,washikaji huku macho ya watu wengi yakimlenga mtu mmoja ambae kadri nilivokua nasogea niliona kama ni mtu ambaye kama namfahamu. ndiyo nikajiridhisha kuwa ni braza fumo !!
je kipi kimemsibu huko alikoenda pamoja na wenzie! hayo yakawa maswali yangu pamoja na wanajamii wote kwa sikuile!