Kisa cha kweli kilichompata braza akijitafuta kuelekea Msumbiji

Wamekuwa ma dj afro
 
Nitarudi
 
Hivi mtu.haweza andika akamaliza akaweka uzi mmoja akaendelea na mambo yake?!

Sioni sababu ya mabandiko mengi ya hadithi/visa vya maisha kuwa na vipengele viiingi.
 
Shusha Vitu....Story nzuri ila uwasilishaji wako sasa unapunguza utamu maana inabidi mtu atulie ndoo ataelewa kuna sehemu unataka kutufikisha na kutufunza
mkuu mm niko mnadani muda huu, watu wa dsm mnakuja kununua kila aina ya mifugo huku site aka kanda ya kati
 
Part:4

Braza fumo akiwa mtu aliyepoteza nuru kabisa akaendelea na simulizi yake iliyojaa kusudi la kufanikiwa na mateso makubwa waliyo kumbana nayo .

Namnukuu "' Safari ilikua ndefu sana , nikamwamsha shikokoti achukue kiroba tulichohifadhia vyakula vyetu ndani ya safari hii ya kuusaka utajiri ndani ya boti hii inayokata mawimbi kuelekea msumbiji. shikokoti ,kokoti mwanangu amka tuishi! basi shiko akaamka akiwa katika mudi ya usingizi mzito , akachukua kiroba cha menyu tukaaanza kula ndani ya safari hii, huku kaubaridi kakianza kukolea katika mwili wangu.

nikavaa sweta jingine la pili, angalau hapa nikapata nafuu ya baridi hii ndani ya bahari ya hindi.
wakati tunakula msosi dogo ngasa alikua kalala fofofo huku akiweweseka usiku ule akimtaja mama ake kwa kilugha kwa lugha yetu ya kiswahili alikua akisema hivii " mama yangu najua nikombali nawewe ,ila nitarudi na mali kubadili hio hali ya nyumbani naomba uwasalimu wadogo zangu na yule mkamwana wako emmy".

nitaimalizia leoleo wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…