Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Tunaendelea sehemu ya kumi.

Baada ya kumaliza kumwaga maji na kumuacha bibi akilalamika, niliondoka zangu. Siku hiyo kila kitu kilifanyika ilivyotakiwa, baada ya hapo nikarudi nyumbani kwetu, nikaachana na mzee Masele. Lakini wakati tunaagana kuna kitu aliniambia ndio kilichokuwa kinanifikirisha kwa wakati huo.Nakumbuka wakati tunaachana aliniuliza

"Mwanangu hii kazi imefanyika vyema sana, lakini imekuwa nyepesi haswa kwa sababu tumesaidiwa na Yame"

"Kumbe" niliishia kujibu hivyo tu kwa sababu sikujua niseme kitu gani

Mzee Masele aliniangalia kidogo halafu akaniambia

"Unajua mwanangu kule kwenye mkuyu tulikochukua damu ni sehemu hatari na ngumu sana. Sio rahisi kufanikisha jambo kama lile la kuchukua damu kiurahisi kiasi kile sehemu kama ile. Yule Yame muone vile tu, yule mtu ana dawa sio mchezo. Mimi ni mganga ninayeogopeka sana lakini kwa Yule ninanyoosha mikono"

Alitulia kidogo kana kwamba anafikiria jambo, halafu akaendelea...

"Unajua mimi na Yame huwa tunashirikiana kwenye mambo mengi. Nikiwa nampa tiba mtu na nikahitaji msaada wake huwa ananisaidia. Japo hata mimi huwa namsaidia kwenye mambo fulani fulani. Lakini mara nyingi hunisaidia pindi wachawi wakiwa ni wa mbali. Yame huwa mgumu sana kunipa ushirikiano wachawi wakiwa ni wa kijiji hiki. Lakini kwako imekuwa tofauti, ametoa ushirikiano wa haraka sana. Sijajua sababu ila tambua tu una bahati sana mwanangu"

Kauli hii ilikuwa inanifikirisha, na niliwaza ili nipate majibu kwa nini Yame aliamua kunisaidia. Majibu yaliyokuwa kichwani mwangu ni mawili tu.

Kwanza, niliwaza labda ni Kwa sababu ya urafiki kati ya mdogo wake wa kiume na baba yangu. Kama alivyoniambia yeye siku ile tunatafuta damu.

Pili, niliwaza labda anashirikiana na mjukuu wake kuhakikisha naangukia katika mahusiano nae.

Jibu la pili kwangu ndio lilikuwa na mashiko zaidi kwangu. Ndio lilikuwa na mashiko zaidi, kwa sababu kama mchawi anaweza kuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kitu gani mtoto wa rafiki wa mdogo wake.

Tuachane na hilo.

Nilipanga kupumzika nyumbani kwa siku tatu, ndio nirudi shule lakini siku tatu hazikuisha. Siku ya pili yake Yule bibi mchawi alikuwa ameshaaga dunia na mtoto wake wa kike, yaani mama mdogo alikuwa yuko mahututi. Watu walishangazwa na kifo kile cha ghafla lakini mimi nilikuwa nacheka kimoyomoyo nikijiona mshindi wa vita. Miezi kama mitatu michache mbele mama mdogo naye alifariki dunia.

Nikawa nimesharudi shule sasa, naendelea na masomo kama kawaida. Nilikuwa nakutana na Vumilia na tulikuwa tunapiga story. Lakini cha ajabu hatukuwahi kuongelea kabisa kilichotokea siku ile usiku, Kuna kipindi nilijaribu kuleta zile story lakini alionekana hayupo interested kabisa kuongelea mambo yale. na tokea niliporudi darasani hakuwahi kuniambia kama ananipenda. Ingawa ilinipa maswali kichwani, lakini moyoni nilifurahi nikiamini labda ameshampenda mwingine ameamua kuniacha. Kiukweli sikutaka kuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye viashiria vya uchawi.

Sasa pale darasani kulikuwa na binti mmoja aliyekuwa anaitwa Sara. Huyu binti mimi nilikuwa nafahamiana naye muda mrefu tokea tukiwa wadogo. Japo tulitokea vijiji tofauti na shule ya msingi tulisoma shule tofauti lakini tulikuwa tunafahamiana. Huyu binti alitokea kijiji jirani na chetu, au niseme kijiji ambacho huwa tunakivuka katikati ili ufike kijiji shule yetu ya sekondari iliko. lakini tulikuwa tunasali kanisa moja. Hivyo tulifahamiana kanisani hasa kwenye mambo ya Pathfinder (wasabato wanaelewa). Huyu binti ni mtu ambaye nilikuwa najua ananipenda japo ile kitototo toto tokea enzi hizo. Na mimi najua nilikuwa nampenda, nakumbuka nilikuwa nikienda kanisani nisipomuona nilikuwa nakoswa raha kabisa natamani niende hata kwao nikamuone tu basi. Baba yake alikuwa ni mwalimu na alikuwa ni tajiri kwa level za kijijini, kwa hiyo alikuwa wa kishua fulani. Tulipofika sekondari ni bahati iliyoje tukakutana tena, na tulikuwa marafiki wa kawaida. Moyoni nilimpenda japo sikuwahi kumwambia, labda ni kwa sababu ya udomozege tu.

Moyo wangu ulikuwa umekufa ukaoza kwa huyo binti Sara.

Sasa siku moja nikasema liwalo na liwe lazima nimchane makavu. Sikumuwaza tena Vumilia maana ishapita muda kidogo hatujaongea chochote zaidi ya kuzungumza mambo ya kawaida tu. Niwe mkweli tu mpaka nafika hicho kidato cha tatu nilikuwa sijawahi tongoza mwanamke wala kuwa na mpenzi. Kwa hiyo siku hiyo ndiyo nilipanga kwenda kuandika historia mpya.

Mwalimu wa English alipomaliza tu kupiga porojo zake za " three suitors one husband" mwanaume nikaingia kazini. Nilimfata hadi kwenye dawati lake yule binti nikamnong'oneza

"kuna kitu nataka nikwambie wakati wa break naomba tuonane"

"Alitikisa kichwa kuashiria amekubali"

Wakati wa break uliwadia, sikutaka kulaza damu nilimfuata na kumwambia twende sehemu tukakae tuongee.

"Tukaongee nini mr the dragon tena, si uniambie hapahapa" binti alitaka kukaza

Baada ya kumshawishi sana hatimae alikubali tukaenda kukaa kwenye jiwe fulani palepale shuleni. Sehemu ilipokuwepo shule yetu ilikuwa karibu na vimilima na kulikuwa na miamba au mawe mengi sana yaliyozagaa kila sehemu. Tulifika tukakaa nikaanza kujieleza!

Sikutumia nguvu nyingi mtoto alieleweka, ukizingatia nilikuwa najua mtoto ananipenda toka muda sana.

Baada ya hapo mapenzi kati yangu na yule binti yalianza rasmi, japo ilikuwa kwa siri haikuwa wazi sana.

Siku moja Vumilia alinipa ujumbe wa maandishi darasani wakati ilipogongwa kengele ya kutawanyishwa saa nane na nusu mchana. Ulikuwa na maneno machache tu

"Tutaona na huyo Sara wako, labda sio mimi Vumilia"

Itaendelea
 
Tunaendelea sehemu ya kumi.

Baada ya kumaliza kumwaga maji na kumuacha bibi akilalamika, niliondoka zangu. Siku hiyo kila kitu kilifanyika ilivyotakiwa, baada ya hapo nikarudi nyumbani kwetu, nikaachana na mzee Masele. Lakini wakati tunaagana kuna kitu aliniambia ndio kilichokuwa kinanifikirisha kwa wakati huo.Nakumbuka wakati tunaachana aliniuliza

"Mwanangu hii kazi imefanyika vyema sana, lakini imekuwa nyepesi haswa kwa sababu tumesaidiwa na Yame"

"Kumbe" niliishia kujibu hivyo tu kwa sababu sikujua niseme kitu gani

Mzee Masele aliniangalia kidogo halafu akaniambia

"Unajua mwanangu kule kwenye mkuyu tulikochukua damu ni sehemu hatari na ngumu sana. Sio rahisi kufanikisha jambo kama lile la kuchukua damu kiurahisi kiasi kile sehemu kama ile. Yule Yame muone vile tu, yule mtu ana dawa sio mchezo. Mimi ni mganga ninayeogopeka sana lakini kwa Yule ninanyoosha mikono"

Alitulia kidogo kana kwamba anafikiria jambo, halafu akaendelea...

"Unajua mimi na Yame huwa tunashirikiana kwenye mambo mengi. Nikiwa nampa tiba mtu na nikahitaji msaada wake huwa ananisaidia. Japo hata mimi huwa namsaidia kwenye mambo fulani fulani. Lakini mara nyingi hunisaidia pindi wachawi wakiwa ni wa mbali. Yame huwa mgumu sana kunipa ushirikiano wachawi wakiwa ni wa kijiji hiki. Lakini kwako imekuwa tofauti, ametoa ushirikiano wa haraka sana. Sijajua sababu ila tambua tu una bahati sana mwanangu"

Kauli hii ilikuwa inanifikirisha, na niliwaza ili nipate majibu kwa nini Yame aliamua kunisaidia. Majibu yaliyokuwa kichwani mwangu ni mawili tu.

Kwanza, niliwaza labda ni Kwa sababu ya urafiki kati ya mdogo wake wa kiume na baba yangu. Kama alivyoniambia yeye siku ile tunatafuta damu.

Pili, niliwaza labda anashirikiana na mjukuu wake kuhakikisha naangukia katika mahusiano nae.

Jibu la pili kwangu ndio lilikuwa na mashiko zaidi kwangu. Ndio lilikuwa na mashiko zaidi, kwa sababu kama mchawi anaweza kuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kitu gani mtoto wa rafiki wa mdogo wake.

Tuachane na hilo.

Nilipanga kupumzika nyumbani kwa siku tatu, ndio nirudi shule lakini siku tatu hazikuisha. Siku ya pili yake Yule bibi mchawi alikuwa ameshaaga dunia na mtoto wake wa kike, yaani mama mdogo alikuwa yuko mahututi. Watu walishangazwa na kifo kile cha ghafla lakini mimi nilikuwa nacheka kimoyomoyo nikijiona mshindi wa vita. Miezi kama mitatu michache mbele mama mdogo naye alifariki dunia.

Nikawa nimesharudi shule sasa, naendelea na masomo kama kawaida. Nilikuwa nakutana na Vumilia na tulikuwa tunapiga story. Lakini cha ajabu hatukuwahi kuongelea kabisa kilichotokea siku ile usiku, Kuna kipindi nilijaribu kuleta zile story lakini alionekana hayupo interested kabisa kuongelea mambo yale. na tokea niliporudi darasani hakuwahi kuniambia kama ananipenda. Ingawa ilinipa maswali kichwani, lakini moyoni nilifurahi nikiamini labda ameshampenda mwingine ameamua kuniacha. Kiukweli sikutaka kuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye viashiria vya uchawi.

Sasa pale darasani kulikuwa na binti mmoja aliyekuwa anaitwa Sara. Huyu binti mimi nilikuwa nafahamiana naye muda mrefu tokea tukiwa wadogo. Japo tulitokea vijiji tofauti na shule ya msingi tulisoma shule tofauti lakini tulikuwa tunafahamiana. Huyu binti alitokea kijiji jirani na chetu, au niseme kijiji ambacho huwa tunakivuka katikati ili ufike kijiji shule yetu ya sekondari iliko. lakini tulikuwa tunasali kanisa moja. Hivyo tulifahamiana kanisani hasa kwenye mambo ya Pathfinder (wasabato wanaelewa). Huyu binti ni mtu ambaye nilikuwa najua ananipenda japo ile kitototo toto tokea enzi hizo. Na mimi najua nilikuwa nampenda, nakumbuka nilikuwa nikienda kanisani nisipomuona nilikuwa nakoswa raha kabisa natamani niende hata kwao nikamuone tu basi. Baba yake alikuwa ni mwalimu na alikuwa ni tajiri kwa level za kijijini, kwa hiyo alikuwa wa kishua fulani. Tulipofika sekondari ni bahati iliyoje tukakutana tena, na tulikuwa marafiki wa kawaida. Moyoni nilimpenda japo sikuwahi kumwambia, labda ni kwa sababu ya udomozege tu.

Moyo wangu ulikuwa umekufa ukaoza kwa huyo binti Sara.

Sasa siku moja nikasema liwalo na liwe lazima nimchane makavu. Sikumuwaza tena Vumilia maana ishapita muda kidogo hatujaongea chochote zaidi ya kuzungumza mambo ya kawaida tu. Niwe mkweli tu mpaka nafika hicho kidato cha tatu nilikuwa sijawahi tongoza mwanamke wala kuwa na mpenzi. Kwa hiyo siku hiyo ndiyo nilipanga kwenda kuandika historia mpya.

Mwalimu wa English alipomaliza tu kupiga porojo zake za " three suitors one husband" mwanaume nikaingia kazini. Nilimfata hadi kwenye dawati lake yule binti nikamnong'oneza

"kuna kitu nataka nikwambie wakati wa break naomba tuonane"

"Alitikisa kichwa kuashiria amekubali"

Wakati wa break uliwadia, sikutaka kulaza damu nilimfuata na kumwambia twende sehemu tukakae tuongee.

"Tukaongee nini mr the dragon tena, si uniambie hapahapa" binti alitaka kukaza

Baada ya kumshawishi sana hatimae alikubali tukaenda kukaa kwenye jiwe fulani palepale shuleni. Sehemu ilipokuwepo shule yetu ilikuwa karibu na vimilima na kulikuwa na miamba au mawe mengi sana yaliyozagaa kila sehemu. Tulifika tukakaa nikaanza kujieleza!

Sikutumia nguvu nyingi mtoto alieleweka, ukizingatia nilikuwa najua mtoto ananipenda toka muda sana.

Baada ya hapo mapenzi kati yangu na yule binti yalianza rasmi, japo ilikuwa kwa siri haikuwa wazi sana.

Siku moja Veronika alinipa ujumbe wa maandishi darasani wakati ilipogongwa kengele ya kutawanyishwa saa nane na nusu mchana. Ulikuwa na maneno machache tu

"Tutaona na huyo Sara wako, labda sio mimi Veronica"

Itaendelea
Huna baya mkuu
 
Tunaendelea sehemu ya kumi.

Baada ya kumaliza kumwaga maji na kumuacha bibi akilalamika, niliondoka zangu. Siku hiyo kila kitu kilifanyika ilivyotakiwa, baada ya hapo nikarudi nyumbani kwetu, nikaachana na mzee Masele. Lakini wakati tunaagana kuna kitu aliniambia ndio kilichokuwa kinanifikirisha kwa wakati huo.Nakumbuka wakati tunaachana aliniuliza

"Mwanangu hii kazi imefanyika vyema sana, lakini imekuwa nyepesi haswa kwa sababu tumesaidiwa na Yame"

"Kumbe" niliishia kujibu hivyo tu kwa sababu sikujua niseme kitu gani

Mzee Masele aliniangalia kidogo halafu akaniambia

"Unajua mwanangu kule kwenye mkuyu tulikochukua damu ni sehemu hatari na ngumu sana. Sio rahisi kufanikisha jambo kama lile la kuchukua damu kiurahisi kiasi kile sehemu kama ile. Yule Yame muone vile tu, yule mtu ana dawa sio mchezo. Mimi ni mganga ninayeogopeka sana lakini kwa Yule ninanyoosha mikono"

Alitulia kidogo kana kwamba anafikiria jambo, halafu akaendelea...

"Unajua mimi na Yame huwa tunashirikiana kwenye mambo mengi. Nikiwa nampa tiba mtu na nikahitaji msaada wake huwa ananisaidia. Japo hata mimi huwa namsaidia kwenye mambo fulani fulani. Lakini mara nyingi hunisaidia pindi wachawi wakiwa ni wa mbali. Yame huwa mgumu sana kunipa ushirikiano wachawi wakiwa ni wa kijiji hiki. Lakini kwako imekuwa tofauti, ametoa ushirikiano wa haraka sana. Sijajua sababu ila tambua tu una bahati sana mwanangu"

Kauli hii ilikuwa inanifikirisha, na niliwaza ili nipate majibu kwa nini Yame aliamua kunisaidia. Majibu yaliyokuwa kichwani mwangu ni mawili tu.

Kwanza, niliwaza labda ni Kwa sababu ya urafiki kati ya mdogo wake wa kiume na baba yangu. Kama alivyoniambia yeye siku ile tunatafuta damu.

Pili, niliwaza labda anashirikiana na mjukuu wake kuhakikisha naangukia katika mahusiano nae.

Jibu la pili kwangu ndio lilikuwa na mashiko zaidi kwangu. Ndio lilikuwa na mashiko zaidi, kwa sababu kama mchawi anaweza kuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kitu gani mtoto wa rafiki wa mdogo wake.

Tuachane na hilo.

Nilipanga kupumzika nyumbani kwa siku tatu, ndio nirudi shule lakini siku tatu hazikuisha. Siku ya pili yake Yule bibi mchawi alikuwa ameshaaga dunia na mtoto wake wa kike, yaani mama mdogo alikuwa yuko mahututi. Watu walishangazwa na kifo kile cha ghafla lakini mimi nilikuwa nacheka kimoyomoyo nikijiona mshindi wa vita. Miezi kama mitatu michache mbele mama mdogo naye alifariki dunia.

Nikawa nimesharudi shule sasa, naendelea na masomo kama kawaida. Nilikuwa nakutana na Vumilia na tulikuwa tunapiga story. Lakini cha ajabu hatukuwahi kuongelea kabisa kilichotokea siku ile usiku, Kuna kipindi nilijaribu kuleta zile story lakini alionekana hayupo interested kabisa kuongelea mambo yale. na tokea niliporudi darasani hakuwahi kuniambia kama ananipenda. Ingawa ilinipa maswali kichwani, lakini moyoni nilifurahi nikiamini labda ameshampenda mwingine ameamua kuniacha. Kiukweli sikutaka kuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye viashiria vya uchawi.

Sasa pale darasani kulikuwa na binti mmoja aliyekuwa anaitwa Sara. Huyu binti mimi nilikuwa nafahamiana naye muda mrefu tokea tukiwa wadogo. Japo tulitokea vijiji tofauti na shule ya msingi tulisoma shule tofauti lakini tulikuwa tunafahamiana. Huyu binti alitokea kijiji jirani na chetu, au niseme kijiji ambacho huwa tunakivuka katikati ili ufike kijiji shule yetu ya sekondari iliko. lakini tulikuwa tunasali kanisa moja. Hivyo tulifahamiana kanisani hasa kwenye mambo ya Pathfinder (wasabato wanaelewa). Huyu binti ni mtu ambaye nilikuwa najua ananipenda japo ile kitototo toto tokea enzi hizo. Na mimi najua nilikuwa nampenda, nakumbuka nilikuwa nikienda kanisani nisipomuona nilikuwa nakoswa raha kabisa natamani niende hata kwao nikamuone tu basi. Baba yake alikuwa ni mwalimu na alikuwa ni tajiri kwa level za kijijini, kwa hiyo alikuwa wa kishua fulani. Tulipofika sekondari ni bahati iliyoje tukakutana tena, na tulikuwa marafiki wa kawaida. Moyoni nilimpenda japo sikuwahi kumwambia, labda ni kwa sababu ya udomozege tu.

Moyo wangu ulikuwa umekufa ukaoza kwa huyo binti Sara.

Sasa siku moja nikasema liwalo na liwe lazima nimchane makavu. Sikumuwaza tena Vumilia maana ishapita muda kidogo hatujaongea chochote zaidi ya kuzungumza mambo ya kawaida tu. Niwe mkweli tu mpaka nafika hicho kidato cha tatu nilikuwa sijawahi tongoza mwanamke wala kuwa na mpenzi. Kwa hiyo siku hiyo ndiyo nilipanga kwenda kuandika historia mpya.

Mwalimu wa English alipomaliza tu kupiga porojo zake za " three suitors one husband" mwanaume nikaingia kazini. Nilimfata hadi kwenye dawati lake yule binti nikamnong'oneza

"kuna kitu nataka nikwambie wakati wa break naomba tuonane"

"Alitikisa kichwa kuashiria amekubali"

Wakati wa break uliwadia, sikutaka kulaza damu nilimfuata na kumwambia twende sehemu tukakae tuongee.

"Tukaongee nini mr the dragon tena, si uniambie hapahapa" binti alitaka kukaza

Baada ya kumshawishi sana hatimae alikubali tukaenda kukaa kwenye jiwe fulani palepale shuleni. Sehemu ilipokuwepo shule yetu ilikuwa karibu na vimilima na kulikuwa na miamba au mawe mengi sana yaliyozagaa kila sehemu. Tulifika tukakaa nikaanza kujieleza!

Sikutumia nguvu nyingi mtoto alieleweka, ukizingatia nilikuwa najua mtoto ananipenda toka muda sana.

Baada ya hapo mapenzi kati yangu na yule binti yalianza rasmi, japo ilikuwa kwa siri haikuwa wazi sana.

Siku moja Vumilia alinipa ujumbe wa maandishi darasani wakati ilipogongwa kengele ya kutawanyishwa saa nane na nusu mchana. Ulikuwa na maneno machache tu

"Tutaona na huyo Sara wako, labda sio mimi Vumilia"

Itaendelea
🤣🤣 Tutaona na huyo Sara wako
 
Tunaendelea sehemu ya kumi.

Baada ya kumaliza kumwaga maji na kumuacha bibi akilalamika, niliondoka zangu. Siku hiyo kila kitu kilifanyika ilivyotakiwa, baada ya hapo nikarudi nyumbani kwetu, nikaachana na mzee Masele. Lakini wakati tunaagana kuna kitu aliniambia ndio kilichokuwa kinanifikirisha kwa wakati huo.Nakumbuka wakati tunaachana aliniuliza

"Mwanangu hii kazi imefanyika vyema sana, lakini imekuwa nyepesi haswa kwa sababu tumesaidiwa na Yame"

"Kumbe" niliishia kujibu hivyo tu kwa sababu sikujua niseme kitu gani

Mzee Masele aliniangalia kidogo halafu akaniambia

"Unajua mwanangu kule kwenye mkuyu tulikochukua damu ni sehemu hatari na ngumu sana. Sio rahisi kufanikisha jambo kama lile la kuchukua damu kiurahisi kiasi kile sehemu kama ile. Yule Yame muone vile tu, yule mtu ana dawa sio mchezo. Mimi ni mganga ninayeogopeka sana lakini kwa Yule ninanyoosha mikono"

Alitulia kidogo kana kwamba anafikiria jambo, halafu akaendelea...

"Unajua mimi na Yame huwa tunashirikiana kwenye mambo mengi. Nikiwa nampa tiba mtu na nikahitaji msaada wake huwa ananisaidia. Japo hata mimi huwa namsaidia kwenye mambo fulani fulani. Lakini mara nyingi hunisaidia pindi wachawi wakiwa ni wa mbali. Yame huwa mgumu sana kunipa ushirikiano wachawi wakiwa ni wa kijiji hiki. Lakini kwako imekuwa tofauti, ametoa ushirikiano wa haraka sana. Sijajua sababu ila tambua tu una bahati sana mwanangu"

Kauli hii ilikuwa inanifikirisha, na niliwaza ili nipate majibu kwa nini Yame aliamua kunisaidia. Majibu yaliyokuwa kichwani mwangu ni mawili tu.

Kwanza, niliwaza labda ni Kwa sababu ya urafiki kati ya mdogo wake wa kiume na baba yangu. Kama alivyoniambia yeye siku ile tunatafuta damu.

Pili, niliwaza labda anashirikiana na mjukuu wake kuhakikisha naangukia katika mahusiano nae.

Jibu la pili kwangu ndio lilikuwa na mashiko zaidi kwangu. Ndio lilikuwa na mashiko zaidi, kwa sababu kama mchawi anaweza kuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kitu gani mtoto wa rafiki wa mdogo wake.

Tuachane na hilo.

Nilipanga kupumzika nyumbani kwa siku tatu, ndio nirudi shule lakini siku tatu hazikuisha. Siku ya pili yake Yule bibi mchawi alikuwa ameshaaga dunia na mtoto wake wa kike, yaani mama mdogo alikuwa yuko mahututi. Watu walishangazwa na kifo kile cha ghafla lakini mimi nilikuwa nacheka kimoyomoyo nikijiona mshindi wa vita. Miezi kama mitatu michache mbele mama mdogo naye alifariki dunia.

Nikawa nimesharudi shule sasa, naendelea na masomo kama kawaida. Nilikuwa nakutana na Vumilia na tulikuwa tunapiga story. Lakini cha ajabu hatukuwahi kuongelea kabisa kilichotokea siku ile usiku, Kuna kipindi nilijaribu kuleta zile story lakini alionekana hayupo interested kabisa kuongelea mambo yale. na tokea niliporudi darasani hakuwahi kuniambia kama ananipenda. Ingawa ilinipa maswali kichwani, lakini moyoni nilifurahi nikiamini labda ameshampenda mwingine ameamua kuniacha. Kiukweli sikutaka kuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye viashiria vya uchawi.

Sasa pale darasani kulikuwa na binti mmoja aliyekuwa anaitwa Sara. Huyu binti mimi nilikuwa nafahamiana naye muda mrefu tokea tukiwa wadogo. Japo tulitokea vijiji tofauti na shule ya msingi tulisoma shule tofauti lakini tulikuwa tunafahamiana. Huyu binti alitokea kijiji jirani na chetu, au niseme kijiji ambacho huwa tunakivuka katikati ili ufike kijiji shule yetu ya sekondari iliko. lakini tulikuwa tunasali kanisa moja. Hivyo tulifahamiana kanisani hasa kwenye mambo ya Pathfinder (wasabato wanaelewa). Huyu binti ni mtu ambaye nilikuwa najua ananipenda japo ile kitototo toto tokea enzi hizo. Na mimi najua nilikuwa nampenda, nakumbuka nilikuwa nikienda kanisani nisipomuona nilikuwa nakoswa raha kabisa natamani niende hata kwao nikamuone tu basi. Baba yake alikuwa ni mwalimu na alikuwa ni tajiri kwa level za kijijini, kwa hiyo alikuwa wa kishua fulani. Tulipofika sekondari ni bahati iliyoje tukakutana tena, na tulikuwa marafiki wa kawaida. Moyoni nilimpenda japo sikuwahi kumwambia, labda ni kwa sababu ya udomozege tu.

Moyo wangu ulikuwa umekufa ukaoza kwa huyo binti Sara.

Sasa siku moja nikasema liwalo na liwe lazima nimchane makavu. Sikumuwaza tena Vumilia maana ishapita muda kidogo hatujaongea chochote zaidi ya kuzungumza mambo ya kawaida tu. Niwe mkweli tu mpaka nafika hicho kidato cha tatu nilikuwa sijawahi tongoza mwanamke wala kuwa na mpenzi. Kwa hiyo siku hiyo ndiyo nilipanga kwenda kuandika historia mpya.

Mwalimu wa English alipomaliza tu kupiga porojo zake za " three suitors one husband" mwanaume nikaingia kazini. Nilimfata hadi kwenye dawati lake yule binti nikamnong'oneza

"kuna kitu nataka nikwambie wakati wa break naomba tuonane"

"Alitikisa kichwa kuashiria amekubali"

Wakati wa break uliwadia, sikutaka kulaza damu nilimfuata na kumwambia twende sehemu tukakae tuongee.

"Tukaongee nini mr the dragon tena, si uniambie hapahapa" binti alitaka kukaza

Baada ya kumshawishi sana hatimae alikubali tukaenda kukaa kwenye jiwe fulani palepale shuleni. Sehemu ilipokuwepo shule yetu ilikuwa karibu na vimilima na kulikuwa na miamba au mawe mengi sana yaliyozagaa kila sehemu. Tulifika tukakaa nikaanza kujieleza!

Sikutumia nguvu nyingi mtoto alieleweka, ukizingatia nilikuwa najua mtoto ananipenda toka muda sana.

Baada ya hapo mapenzi kati yangu na yule binti yalianza rasmi, japo ilikuwa kwa siri haikuwa wazi sana.

Siku moja Vumilia alinipa ujumbe wa maandishi darasani wakati ilipogongwa kengele ya kutawanyishwa saa nane na nusu mchana. Ulikuwa na maneno machache tu

"Tutaona na huyo Sara wako, labda sio mimi Vumilia"

Itaendelea
Vumilia kasanuka😳
 
Tunaendelea sehemu ya kumi.

Baada ya kumaliza kumwaga maji na kumuacha bibi akilalamika, niliondoka zangu. Siku hiyo kila kitu kilifanyika ilivyotakiwa, baada ya hapo nikarudi nyumbani kwetu, nikaachana na mzee Masele. Lakini wakati tunaagana kuna kitu aliniambia ndio kilichokuwa kinanifikirisha kwa wakati huo.Nakumbuka wakati tunaachana aliniuliza

"Mwanangu hii kazi imefanyika vyema sana, lakini imekuwa nyepesi haswa kwa sababu tumesaidiwa na Yame"

"Kumbe" niliishia kujibu hivyo tu kwa sababu sikujua niseme kitu gani

Mzee Masele aliniangalia kidogo halafu akaniambia

"Unajua mwanangu kule kwenye mkuyu tulikochukua damu ni sehemu hatari na ngumu sana. Sio rahisi kufanikisha jambo kama lile la kuchukua damu kiurahisi kiasi kile sehemu kama ile. Yule Yame muone vile tu, yule mtu ana dawa sio mchezo. Mimi ni mganga ninayeogopeka sana lakini kwa Yule ninanyoosha mikono"

Alitulia kidogo kana kwamba anafikiria jambo, halafu akaendelea...

"Unajua mimi na Yame huwa tunashirikiana kwenye mambo mengi. Nikiwa nampa tiba mtu na nikahitaji msaada wake huwa ananisaidia. Japo hata mimi huwa namsaidia kwenye mambo fulani fulani. Lakini mara nyingi hunisaidia pindi wachawi wakiwa ni wa mbali. Yame huwa mgumu sana kunipa ushirikiano wachawi wakiwa ni wa kijiji hiki. Lakini kwako imekuwa tofauti, ametoa ushirikiano wa haraka sana. Sijajua sababu ila tambua tu una bahati sana mwanangu"

Kauli hii ilikuwa inanifikirisha, na niliwaza ili nipate majibu kwa nini Yame aliamua kunisaidia. Majibu yaliyokuwa kichwani mwangu ni mawili tu.

Kwanza, niliwaza labda ni Kwa sababu ya urafiki kati ya mdogo wake wa kiume na baba yangu. Kama alivyoniambia yeye siku ile tunatafuta damu.

Pili, niliwaza labda anashirikiana na mjukuu wake kuhakikisha naangukia katika mahusiano nae.

Jibu la pili kwangu ndio lilikuwa na mashiko zaidi kwangu. Ndio lilikuwa na mashiko zaidi, kwa sababu kama mchawi anaweza kuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kitu gani mtoto wa rafiki wa mdogo wake.

Tuachane na hilo.

Nilipanga kupumzika nyumbani kwa siku tatu, ndio nirudi shule lakini siku tatu hazikuisha. Siku ya pili yake Yule bibi mchawi alikuwa ameshaaga dunia na mtoto wake wa kike, yaani mama mdogo alikuwa yuko mahututi. Watu walishangazwa na kifo kile cha ghafla lakini mimi nilikuwa nacheka kimoyomoyo nikijiona mshindi wa vita. Miezi kama mitatu michache mbele mama mdogo naye alifariki dunia.

Nikawa nimesharudi shule sasa, naendelea na masomo kama kawaida. Nilikuwa nakutana na Vumilia na tulikuwa tunapiga story. Lakini cha ajabu hatukuwahi kuongelea kabisa kilichotokea siku ile usiku, Kuna kipindi nilijaribu kuleta zile story lakini alionekana hayupo interested kabisa kuongelea mambo yale. na tokea niliporudi darasani hakuwahi kuniambia kama ananipenda. Ingawa ilinipa maswali kichwani, lakini moyoni nilifurahi nikiamini labda ameshampenda mwingine ameamua kuniacha. Kiukweli sikutaka kuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye viashiria vya uchawi.

Sasa pale darasani kulikuwa na binti mmoja aliyekuwa anaitwa Sara. Huyu binti mimi nilikuwa nafahamiana naye muda mrefu tokea tukiwa wadogo. Japo tulitokea vijiji tofauti na shule ya msingi tulisoma shule tofauti lakini tulikuwa tunafahamiana. Huyu binti alitokea kijiji jirani na chetu, au niseme kijiji ambacho huwa tunakivuka katikati ili ufike kijiji shule yetu ya sekondari iliko. lakini tulikuwa tunasali kanisa moja. Hivyo tulifahamiana kanisani hasa kwenye mambo ya Pathfinder (wasabato wanaelewa). Huyu binti ni mtu ambaye nilikuwa najua ananipenda japo ile kitototo toto tokea enzi hizo. Na mimi najua nilikuwa nampenda, nakumbuka nilikuwa nikienda kanisani nisipomuona nilikuwa nakoswa raha kabisa natamani niende hata kwao nikamuone tu basi. Baba yake alikuwa ni mwalimu na alikuwa ni tajiri kwa level za kijijini, kwa hiyo alikuwa wa kishua fulani. Tulipofika sekondari ni bahati iliyoje tukakutana tena, na tulikuwa marafiki wa kawaida. Moyoni nilimpenda japo sikuwahi kumwambia, labda ni kwa sababu ya udomozege tu.

Moyo wangu ulikuwa umekufa ukaoza kwa huyo binti Sara.

Sasa siku moja nikasema liwalo na liwe lazima nimchane makavu. Sikumuwaza tena Vumilia maana ishapita muda kidogo hatujaongea chochote zaidi ya kuzungumza mambo ya kawaida tu. Niwe mkweli tu mpaka nafika hicho kidato cha tatu nilikuwa sijawahi tongoza mwanamke wala kuwa na mpenzi. Kwa hiyo siku hiyo ndiyo nilipanga kwenda kuandika historia mpya.

Mwalimu wa English alipomaliza tu kupiga porojo zake za " three suitors one husband" mwanaume nikaingia kazini. Nilimfata hadi kwenye dawati lake yule binti nikamnong'oneza

"kuna kitu nataka nikwambie wakati wa break naomba tuonane"

"Alitikisa kichwa kuashiria amekubali"

Wakati wa break uliwadia, sikutaka kulaza damu nilimfuata na kumwambia twende sehemu tukakae tuongee.

"Tukaongee nini mr the dragon tena, si uniambie hapahapa" binti alitaka kukaza

Baada ya kumshawishi sana hatimae alikubali tukaenda kukaa kwenye jiwe fulani palepale shuleni. Sehemu ilipokuwepo shule yetu ilikuwa karibu na vimilima na kulikuwa na miamba au mawe mengi sana yaliyozagaa kila sehemu. Tulifika tukakaa nikaanza kujieleza!

Sikutumia nguvu nyingi mtoto alieleweka, ukizingatia nilikuwa najua mtoto ananipenda toka muda sana.

Baada ya hapo mapenzi kati yangu na yule binti yalianza rasmi, japo ilikuwa kwa siri haikuwa wazi sana.

Siku moja Vumilia alinipa ujumbe wa maandishi darasani wakati ilipogongwa kengele ya kutawanyishwa saa nane na nusu mchana. Ulikuwa na maneno machache tu

"Tutaona na huyo Sara wako, labda sio mimi Vumilia"

Itaendelea
[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom