Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Kisa cha Kweli: Sitasahau nilivyopendwa na mchawi nikaishia kurogwa

Kuna picha imenijia nikakumbuka siku moja nikiwa zamu kazini alikuja binti akilalama kwamba anahisi kuna vitu kama vijiti mwilini mwake kama njiti za uzazi wa mpango mikononi na sehemu za mapajani nikamdadisi huenda alichomwa na vitu lakini alikataa kata kata baada ya kufanya examination nilivibaini lakini hakukuwa na port of entry nilistaajabu nilitoa sindano nyeusi 5 mapajani 3 na mikononi 2 nikiri haikuwa rahisi leo nimeanza kuelewa sasa nini kilifanyika
MAWEED soma hii kile kidole chako jamaa walikua wanakwambia makushabu kumbe Umepigwa kitanzi
 
Wasukuma wengi mna tatizo la akili ikiwemo ww

Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu na anaejiheshimu anayeweza kutamka upuuzi kama wako ndugu yangu. Ni lazima utakuwa na matatizo makubwa sana ya kiakili. Nakushauri tafuta msaada wa wataalamu.
 
Back
Top Bottom