Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado episodes zinakujaHuu uzi umeisha
Tabia ya waandika story wote wanaanza vzr wakiona mnaanza kunogewa wanaanza nyodo very stupid
Mtoa uzi katekwa na makachero nn[emoji56][emoji56]
Katika ulimwengu wa Roho hakuna umbali japo Ibilisi na mawakala wake hawana uwezo wa kuwa sehemu zote wakati mmoja na pia hawawezi kusoma au kujua unawaza nini?Hivi kwa mfano nipo hapa ndani kwangu napanga mipango yangu mchawi anawezafahamu huko aliko?
Mtu anataka kutupa kisa cha kupendana na mchawi anaanza alipozaliwa!!!. Anza tukio likipoanzia baba tuokoe muda muda ni pesa.
Nilishasema wasukuma hawana akili ukabishaHajatekwa wala nini. Suala ni kwamba anatabia za kike kupenda kubembelezwa
Nilishasema wasukuma hawana akili ukabisha
Nipo sana, uzi itaendelea sio muda mrefu.Huyu katokomea aisee,huenda Vumilia kaweka objection simulizi isiendelee.
Mkuu wala haina haja ya kutukanana na kumwambia mtu ana tabia ya kike.Hajatekwa wala nini. Suala ni kwamba anatabia za kike kupenda kubembelezwa