Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu.
Inarusha sana steam mtu unashare story yako, halafu mtu anakwambia unacopy, bila proof yoyote.
Very boring!
Acha na upinde hao mkuu wewe leta stori sisi tutasomaAchana na Monica, hata kama kwenye hiyo story mnayoisema angekuwa Veronika vile vile, bado isingekuwa proof ya kusema ninamkopi mtu. Onyesha sehemu gani nimecopy?
Kwani majina ya watu siku hizi hayafanani?
Hujui kuwa waandishi wa hizi makala wanatumia majina bandia hili kuficha kujulikana kwa wahusika?Nakumbuka kama sijasahau, kuna mtu alishawahi leta simulizi inafanania na hii ya kwako hata mazingira yana fanana. Yeye alikwenda kusoma sekondari kwa Baba yake mdogo ambaye alikuwa Mwalimu Mkuu wa shule huko Kanda ya Ziwa. Ila Kuna sehemu uliandika Veronica badala ya Vumilia ndio ikanistua kwani moja ya Muhusika wa hiyo simulizi alikuwa ni Veronica ambaye alimpenda huyo jamaa na Veronica naye alikuwa na uhusika wa Uchawi. Sikumbuki vyema ile simulizi ilikuwa inaitwaje labda Kuna wanayo Ikumbuka.
Nyie vijana ujuaji unawasumbua. Visa vya matukio ya kishirikina kwa nini visifanane wakati vyote vinagusu wasichana ambao ni wachawi kuwapenda wavulana ambao hawajui mambo ya uchawi?Shukrani sana! Zinafanana kwa kiasi fulani
acha povu wewe, kama uko authentic endeleza stori yako...kama umekopy utaishia njiani, kubishana kwa nini unatoa mitusi kwa sisi ghost persons sasa nani anaonekana mwendawazimu??Hazifanani. Leta hapa huo mfanano tuone
Acha kuleta porojo.
Mkuu achana na wajuaji vilaza wa JF hiyo Stori wanayosema hata hazifanani na yako.. shusha vitu kuna wadau kibao wanasoma hii Stori na japo hawalike wala kukomenti... Kujua Hilo angalia watu wangapi wame view. Fid aliwahi kusema "japo miluzi ni mingi lakini jibwa sipotei..."Mine story is very genuine.
Unapotoa tuhuma kama hii jitahidi basi angalau kuonyesha, zimefanana kivipi?
Mimi sio mtunzi wa story, najaribu kuelezea yale niliyoyapitia. Sasa unapotoa tuhuma za kukopi story ya mtu, onyesha zinafanana wapi?
Mbona hata mazingira unayoyazungumzia hayafanani, mimi sikwenda kusoma kwa baba mdogo na wala baba yangu hakuwa mwalimu.
Kuhusu majina, nilisema toka mwanzo majina yanayotumika kwenye hii story sio halisi. Hilo kosa la kuandika, jina la Veronika lilitokea kwa bahati mbaya tu, maana kuna muda unaandika unamfeel mtu hadi unasahau kumuandika kwa jina ulilompa. Na nimeshakosea majina zaidi ya mara moja ila nilikuwa naedit nikirudia kusoma. Hilo jina la Veronika sikuliona, mpaka mdau aliposema kwenye comment ndio nikarudi kusoma nikakuta kweli, sikuona haja ya kuedit maana wengi walikuwa wameshalisoma.
Ungekuwa na akili hiyo ilikuwa ni proof ya kuonyesha kwamba hii story ni genuine.
BTW hakuna anayekuomba usome hapa, ukiona nacopy unaweza kwenda kusoma huko ninakocopy. SIMPLE
You can get your crooked ass outta here. STUPID
Hivi ni lazima kusoma si upite kushoto kama hauaminiMine story is very genuine.
Unapotoa tuhuma kama hii jitahidi basi angalau kuonyesha, zimefanana kivipi?
Mimi sio mtunzi wa story, najaribu kuelezea yale niliyoyapitia. Sasa unapotoa tuhuma za kukopi story ya mtu, onyesha zinafanana wapi?
Mbona hata mazingira unayoyazungumzia hayafanani, mimi sikwenda kusoma kwa baba mdogo na wala baba yangu hakuwa mwalimu.
Kuhusu majina, nilisema toka mwanzo majina yanayotumika kwenye hii story sio halisi. Hilo kosa la kuandika, jina la Veronika lilitokea kwa bahati mbaya tu, maana kuna muda unaandika unamfeel mtu hadi unasahau kumuandika kwa jina ulilompa. Na nimeshakosea majina zaidi ya mara moja ila nilikuwa naedit nikirudia kusoma. Hilo jina la Veronika sikuliona, mpaka mdau aliposema kwenye comment ndio nikarudi kusoma nikakuta kweli, sikuona haja ya kuedit maana wengi walikuwa wameshalisoma.
Ungekuwa na akili hiyo ilikuwa ni proof ya kuonyesha kwamba hii story ni genuine.
BTW hakuna anayekuomba usome hapa, ukiona nacopy unaweza kwenda kusoma huko ninakocopy. SIMPLE
You can get your crooked ass outta here. STUPID
Mkuu kwani kwenye comment yangu kuna mahali nimesema story yako umeicopyAchana na Monica, hata kama kwenye hiyo story mnayoisema angekuwa Veronika vile vile, bado isingekuwa proof ya kusema ninamkopi mtu. Onyesha sehemu gani nimecopy?
Kwani majina ya watu siku hizi hayafanani?
acha povu wewe, kama uko authentic endeleza stori yako...kama umekopy utaishia njiani, kubishana kwa nini unatoa mitusi kwa sisi ghost persons sasa nani anaonekana mwendawazimuHazifanani. Leta hapa huo mfanano tuone
Acha kuleta porojo.
Ndugu yangu hukupaswa Kutumia lugha isiyo na staha, kukuambia simulizi zinafafa kusikutoe kwenye mstari wewe tiririka na tukio lako. Hii simulizi yako nime ifanananisha na mtu aliyewahi kuiandika hapo mwanzo ikihusu mambo haya ya Ulozi!Mine story is very genuine.
Unapotoa tuhuma kama hii jitahidi basi angalau kuonyesha, zimefanana kivipi?
Mimi sio mtunzi wa story, najaribu kuelezea yale niliyoyapitia. Sasa unapotoa tuhuma za kukopi story ya mtu, onyesha zinafanana wapi?
Mbona hata mazingira unayoyazungumzia hayafanani, mimi sikwenda kusoma kwa baba mdogo na wala baba yangu hakuwa mwalimu.
Kuhusu majina, nilisema toka mwanzo majina yanayotumika kwenye hii story sio halisi. Hilo kosa la kuandika, jina la Veronika lilitokea kwa bahati mbaya tu, maana kuna muda unaandika unamfeel mtu hadi unasahau kumuandika kwa jina ulilompa. Na nimeshakosea majina zaidi ya mara moja ila nilikuwa naedit nikirudia kusoma. Hilo jina la Veronika sikuliona, mpaka mdau aliposema kwenye comment ndio nikarudi kusoma nikakuta kweli, sikuona haja ya kuedit maana wengi walikuwa wameshalisoma.
Ungekuwa na akili hiyo ilikuwa ni proof ya kuonyesha kwamba hii story ni genuine.
BTW hakuna anayekuomba usome hapa, ukiona nacopy unaweza kwenda kusoma huko ninakocopy. SIMPLE
You can get your crooked ass outta here. STUPID
Unapojibu hakikisha unasoma kile nilichoandika, siku mtuhumu nimesema inafanania... halafu aliye 'Mtag' huyo msimulizi sio mimi. Punguza Wahaka acha Msimulizi atuletee burdani.uchunguzi wako wa kipuuzipuuzi uutoe hapa,usitake kutuharibia radha,,wengi wetu hiyo story tunaijua hakuna sehemu iliyokopiwa,,, halafu eti unajikuta kumtag umughaka ili aje kushuhudia anavyoibiwa mafaili, u*b*** wewe...
Tuweke link ya og story tuingie hukoHuyu mwandishi ni mjinga story hii ame copy ndo maana anashindwa kuendelea kwa sababu kule inako postiwa imesimama usitake kutufanya sisi wajinga story hii umeitoa Facebook alafu unakuja kusema kuwa ni yako Acha upuuzi kabisa kama ni yako weka yote kwa wakati pasipo kumsubiri yule shelukindo wa Facebook apost
Huyu mwandishi ni mjinga story hii ame copy ndo maana anashindwa kuendelea kwa sababu kule inako postiwa imesimama usitake kutufanya sisi wajinga story hii umeitoa Facebook alafu unakuja kusema kuwa ni yako Acha upuuzi kabisa kama ni yako weka yote kwa wakati pasipo kumsubiri yule shelukindo wa Facebook apost
Mimi naona bora huyo aliyekopi stori akatuletea huku na sisi tuburudike kidogo kuliko wewe hakuna stori yeyote ulioleta huku ili na sisi tusitumia Facebook tuburudikeHuyu mwandishi ni mjinga story hii ame copy ndo maana anashindwa kuendelea kwa sababu kule inako postiwa imesimama usitake kutufanya sisi wajinga story hii umeitoa Facebook alafu unakuja kusema kuwa ni yako Acha upuuzi kabisa kama ni yako weka yote kwa wakati pasipo kumsubiri yule shelukindo wa Facebook apost
Acha ujuaji na usela mavi dogo.Huyu mwandishi ni mjinga story hii ame copy ndo maana anashindwa kuendelea kwa sababu kule inako postiwa imesimama usitake kutufanya sisi wajinga story hii umeitoa Facebook alafu unakuja kusema kuwa ni yako Acha upuuzi kabisa kama ni yako weka yote kwa wakati pasipo kumsubiri yule shelukindo wa Facebook apost