Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege


sheria yenyewe ya ugaidi imewekwa na wakristo
 
Uliona uwe tu kunguru mwoga kuepusha mbawa. Watu wa aina yake huwa smart sana. Hakuingizi kwenye mtego haraka. Anakujenga taratibu
 
Uliona uwe tu kunguru mwoga kuepusha mbawa. Watu wa aina yake huwa smart sana. Hakuingizi kwenye mtego haraka. Anakujenga taratibu
Plato...
Nini ulikuwa mwisho wa huyu kijana?
Ningependa sana kujua.
 
Saint Christina!!,Shule ya kiislam!!
Huwa Kuna mstali mwembamba sana kati ya Islamic fundamentalism/radical islamic teachings na Islamic terrorism!
 
Saint Christina!!,Shule ya kiislam!!
Huwa Kuna mstali mwembamba sana kati ya Islamic fundamentalism/radical islamic teachings na Islamic terrorism!
Juan...
"Mstari."
Mimi nafaidi sana hapa kwa kuwa nazungumza kitu ambacho mie mwenyewe ni sehemu yake.

Unaweza ukatia kila aina ya maneno mfano wa hayo "Radical Islam," nk.

Lakini namfahamu Sheikh Chambuso yeye ni mwalimu kasomesha vijana wengi Qur'an na ni mwanafunzi wa TAMTA Tanga chuo kinafahamika na waalimu wake mimi nawafahamu.

Anawafunza wanafunzi wake ucha Mungu na tabia njema kama Uislam ulivyo.

Hayo yaliyozuliwa kwake hayapo na ndiyo maana mahakama ikamwacha huru na anasomesha Qur'an hadi leo.
 
Udhaifu mtupu ndo nauona, unawezaje kushangaa dunia nzima kuwa na chuki juu ta uislaam? IBLIS mwenyewe ameahidi kuwa atakuja kuwakalia Waislaam juu ya njia iliyo nyooka na kuwapoteza, hapo hakitaja watu wote maana anajua wasiowaislaam tiyali washapotea sasa awapoteze kwenda wapi tena. Ulimwengu mzima chini ya Kanisa katoriki na Macrusedors wanaendesha nadharia potofu juu ya Uislaam, kama kweli uislaam ni ugaidi mbona hayo matukio hayatokei Makka, Qatar au nchi za mamalaka zibazoongozwa kwa Quran tukifu? Isipokuwa nchi hizi za mchanaganyiko? Hii ni kwamba ni Uwongo unaoandaliwa na nyinyi na mfano mzuri ni wewe hapo unauchukuliaje uislaam kama uuchikulii kuw ni ugaidi,l. Hatutakai kujielezea sana ili mjue mnavyotuchukia kwakuwa tumeambiwa na Allah jkuwa

"𝙄𝙢𝙚𝙠𝙬𝙞𝙨𝙝𝙖 𝘿𝙝𝙞𝙝𝙞𝙧𝙞 𝙘𝙝𝙪𝙠𝙞 𝙮𝙖𝙤 𝙢𝙖𝙠𝙖𝙛𝙞𝙧𝙞 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙫𝙪𝙣𝙮𝙬𝙖 𝙫𝙮𝙖𝙤, 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙮𝙤𝙮𝙖𝙛𝙞𝙘𝙝𝙖 𝙠𝙖𝙩𝙞𝙠𝙖 𝙫𝙞𝙛𝙪𝙖 𝙫𝙮𝙖𝙤 𝙣𝙞 𝙈𝙖𝙠𝙪𝙗𝙬𝙖 𝙢𝙣𝙤"
Tunawajua wala hamshangazi ila Time will come Uislaam utatawala kila penye kupokea kuchomoza kwa jua.
 
Kama huyu anayejiita Gavana, anaongea kigaidi gaidi tu.
Huyu namtafuta lazima nimtie mkononi.
Nadhani ataisaidia sana Polisi katika mapambano dhidi ya Ugaidi wa kidini.
Unatafutwa na Jehanamu utamuweza anayetafutwa na Malaika Gabriel????

Umeambiw Usome acha kukurupuka Dunia ni fupi mno, there's a time u will return to your Creator. Leta hoja sio, matukio Created
 
Mkuu hao jamaa aya za kitabu chao ndio tatizo,kuna aya zinaruhusu kufanya uhalifu na uhalifu huo huwa kwao ni haki.Tanzania ipo misikiti inayohubiri hayo mambo tena bila kificho ajabu kuna upofu au makusudi fulani hivi ya kujifanya hayaonekani.
Umesahau zile za kuruhusu kunywa pombe ili upungukiwe akili? Umesahau zile za kupeana mkiwa ibadani,? Umesahau kauli ya kiongozi wenu kuruhusu ushoga? Afu akili yko ni ndogo sana, Madamu u katika ushirikina huwezi kuielewa Quran, kawaulize wasomi akina Prof. Amertus Keith Moore, ndo wanaijua Quran maan wanatumia akili sio ushawishi
 
Saudia arabia nchi ya kiisalmu ila anakitengo cha kuzuia ugaidi. sasa jiulize
 
Propaganda na labeling ya suala ugaidi ni gumu sana kwa mfano utasikia tuhuma kua waislamu hujifunza karate misikitini, lakini hawasemi wakatoliki waliojifunza skauti ikiwamo mbinu za kipelelezi na kivita kanisani, haya wakristo wa CAR( central africa republic) wanaowachinja waislamu kama kuku kamwe hutosikia wanaitwa magaidi, wataitwa waasi, M23 kule congo wanaitwa waasi na sio magaidi, lakini Boko haram na Alshabaab huitwa magaidi wakati shughuli zao wote ni sawa na zile za wakristo wanaoitwa waasi
 
Kuna mengi nyuma ya pazia kwa masuala ya uuaji kwa mfano ukiangalia madai ya Boko Haram ni kuitaka rasilimali ziwanifaishe wao pia na sio tofauti lakini sababu wenye maguvu duniani wana vyombo vya habari watapiga kelele na kuaminisha dunia kua habari zao ndio za kweli
 
Akili zenu zinafanana sana.
Nadhani wenyewe kwa wenyewe ndio mnaelewana vizuri.
 
Akili zenu zinafanana sana.
Nadhani wenyewe kwa wenyewe ndio mnaelewana vizuri.
Kwasbabu huna hoja, unajua ni ngumunmno kujadiliana na mkristo mmoja hasiye jua lolote kama wewe kuliko wachungaji melfu ambao walau kidogo wanajulua Biblia!
 
Ninkweli kaka, lakini wnapangabna Mungu anapanga, naye ni mpangaji zaidi 𝘼𝙡 𝙖𝙣𝙛𝙖𝙖𝙡
 
Kwasbabu huna hoja, unajua ni ngumunmno kujadiliana na mkristo mmoja hasiye jua lolote kama wewe kuliko wachungaji melfu ambao walau kidogo wanajulua Biblia!
Mambo ya Biblia yametoka wapi kwenye hii Mada.
Akili zenu zinafanana sana
 
Planet...
Kesi ya ugaidi mahakamani na hukumu ikatoka kumuadhibu gaidi kwa kosa lake.
Nakutafutia ila naomba unijibu swali langu. Wale walioua polisi nane kule pwani na wakaiba silaha ni majambazi au magaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…