Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Tatizo la Magaidi wenyewe wanajitambulisha kuwa ni waislamu.
Na nia yao ni kujenga dola ya kiislamu.
Wanaupigania Uislamu na Allah.
Ili sisi tusio waislamu tulipe kodi kwa waislamu.
Na Aya wanayo isimamia ipo

9:29
" Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet’ii. "

Na wanasema wamepewa baraka zote kwenu Waislamu. Kama hiyo video clip inavyosema.
Na mnawakaribisha kwa siri katika maeneo yanu na kuwahifadhi, Mkuranga, Kibiti, Kilwa, Tanga.

Nyie mkija hapa mnawatetea kwa jasho na damu kuwa sio magaidi.
Sisi tunawaamini wao.

Na kwa taarifa yenu, hiyo vita hamtashinda kamwe.
Che...
Bahati mbaya sana sina ujuzi wa kuchambua tafsir ya aya za Qur'an.
Kwa hiyo siwezi kuingia katika mjadala.

Nawaachia wajuzi In Shaa Allah watakujibu.
 
Che...
Mimi ningependa tujadili tatizo la ugaidi nchini petu.

Kujadili ugaidi wa ugaidi wa dunia hilo nimelieleza kwa kirefu katika mhadhara niliofanya University of Ibadan mwaka wa 2006.

Nasisitiza tena soma.
Sawa
We umeuonaje ugaidi wa hapa petu kama unavyosisitiza.

Upo
Haupo
 
Hivi alievunja jumuiya ya waislamu afrika mashariki alikua nani? Au alieitoa Tanganyika kwenye jumuiya hiyo alikua nani na lengo ilikua nini hasa,
 
Tatizo la Magaidi wenyewe wanajitambulisha kuwa ni waislamu.
Na nia yao ni kujenga dola ya kiislamu.
Wanaupigania Uislamu na Allah.
Ili sisi tusio waislamu tulipe kodi kwa waislamu.
Na Aya wanayo isimamia ipo

9:29
" Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet’ii. "

Na wanasema wamepewa baraka zote kwenu Waislamu. Kama hiyo video clip inavyosema.
Na mnawakaribisha kwa siri katika maeneo yanu na kuwahifadhi, Mkuranga, Kibiti, Kilwa, Tanga.

Nyie mkija hapa mnawatetea kwa jasho na damu kuwa sio magaidi.
Sisi tunawaamini wao.

Na kwa taarifa yenu, hiyo vita hamtashinda kamwe.
Kwakuwa wewe ni nani yani?
 
Mr...
Tanzania lipo tatizo kubwa kuhusu chochote chema kuhusu Uislam.

Ipo hofu kubwa na chuki dhidi ya Uislam.

Umoja na udugu ulikuwapo wakati Waislam wanaongoza mapambano ya kudai uhuru.

Baada ya uhuru kupatikana mambo yakabadilika.

Hata kuwataja mashujaa Waislam waliompokea Nyerere na kuunda TANU hakutakiwi na majina yao kufutwa katika vitabu vyote vya historia ya Tanganyika.

EAMWS jumuia ya Waislam iliyosaidia Waislam katika mengi wakata wa ukoloni ikavunjwa ikaundwa BAKWATA.

Lakini hatutabaki kimya haya yote tutaendelea kuyaeleza na kuyapigania kwa njia za amani hadi haki itakapotamakaki.

Ndiyo maana nikaandika kitabu, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924-1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika (1998).

Kitabu hiki hadi sasa kishachapwa matoleo manne na kipo kwa Kiingereza na Kiswahili.
Mzee wangu, nakihitaji kitabubhiki kwa Lugha ya kiswahili, utaratibu ni upi?
 
Mpinga Ugaidi.
We unasemaje kwani
Bakieni huko huko kwenye nchi za Dini za kijinga kijinga.
Lau kama Uislaam isingekuwa dini ya mwenyeezi mungu, kama zilivyo zenu hizo za kufuata Kibubusa sheria na mila za Wapagani walokuiteni wakristo hapo Antiokia, na kwa jinsi ambavyo shetani wa marekani, waislael na Warumi na waitalia wanavyouchafua kupitia vinywa vyenu viovu, bhasi tungekwisha isha sote lakini Unajua nini? Allah anasema:

Hakika sis ndio tulioteremsha ukumbusho huu (wa Qur'an na Uislaam), na hakika sisi ndiyo tutakao ulinda" Al-hijr
 
Lau kama Uislaam isingekuwa dini ya mwenyeezi mungu, kama zilivyo zenu hizo za kufuata Kibubusa sheria na mila za Wapagani walokuiteni wakristo hapo Antiokia, na kwa jinsi ambavyo shetani wa marekani, waislael na Warumi na waitalia wanavyouchafua kupitia vinywa vyenu viovu, bhasi tungekwisha isha sote lakini Unajua nini? Allah anasema:

Hakika sis ndio tulioteremsha ukumbusho huu (wa Qur'an na Uislaam), na hakika sisi ndiyo tutakao ulinda" Al-hijr
Huyo Allah kwanini asitufanye wote tuwe Waislamu ?
Yaani awape nyinyi uislamu halafu sisi atunyime hiyo dini yake halafu aje atulaumu sisi tena kwa kutokuwa na dini ambayo hakutupatia.
Atakuwa hana Akili.
 
Mzee wangu, nakihitaji kitabubhiki kwa Lugha ya kiswahili, utaratibu ni upi?
Badee...
Ikiwa upo Dar es Salaam kitabu kinauzwa Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Mtoro, Manyema na Mtambani.

Bei elfu kumi tu.
 
Huyo Allah kwanini asitufanye wote tuwe Waislamu ?
Yaani awape nyinyi uislamu halafu sisi atunyime hiyo dini yake halafu aje atulaumu sisi tena kwa kutokuwa na dini ambayo hakutupatia.
Atakuwa hana Akili.
Mwenyeezi Mungu (Allah) hashindwi kutufanya wote watu wema au waovu aweza akitaka. Lakini anafanya kila mtu ampe uhuru wa kuchagua kwa kutumia akili yake, "𝒊𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒖𝒕𝒂𝒕𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒍𝒊 𝒚𝒂𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒍𝒂𝒛𝒊𝒎𝒂 𝒖𝒂𝒏𝒈𝒖𝒌𝒊𝒆 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒖𝒊𝒔𝒍𝒂𝒂𝒎" 𝙉𝙪𝙠𝙪𝙪: 𝙈𝙘𝙝𝙪𝙣𝙜𝙖𝙟𝙞 𝙍𝙪𝙗𝙗𝙚𝙣 𝙈𝙬𝙞𝙨𝙖𝙫𝙞𝙤𝙧 -- 𝙉𝙞𝙜𝙚𝙧.

Na ukiiacha akili yako ukaiweka mbali na Uhalisia, utajikuta unaangukia pasipo stahiki.

Allah hapendelei, na moja ya majina yake ni 𝗔𝗹-𝗔'𝗮𝗱𝗶𝗿𝘂 - 𝗠𝘄𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶𝗳𝘂, hivyo anatuacha tutumie akili tufikiri kuhusu akili aliyotupa.

Si mada ila nakupa mfano wa kutafakari kidogo.
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐦𝐤𝐞 𝐚𝐥𝐢𝐲𝐞𝐰𝐚𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐚𝐤𝐚𝐳𝐨𝐞𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚𝐥𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐦𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐞, 𝐚𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐝𝐨 𝐥𝐚 𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝟏𝟔, 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢𝐛𝐲𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝟐𝟖 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢. Alafu unakuta kuna Dini inasema: Mwanamke akifiwa na Mme wake, hakuna kuolewa tena, yaani amekuwa mjane akiwa na umribwa miaka 28 mathalani, ataweza kweli kuvumilia mpaka walau afikishe miaka 40?? Kama si kuruhusu zinaa hapo? Mungu wa kutoabmaagizo hayo ni mungu hasiyetambua Maumbile ya Kiumbe chake, na hawezi kuwa mungu sahihi.

Ila mungu sahihi ni yule anaye kwambia Mke akifiwa na mme wake Anakaa eda ili kuondoa uhusiano baina ya mwili wake na mmewe marehemu kisha anakuwa mpya na kuolewa tena kuanzisha kwingine.

Real God who knows the Needs of his Creatures.

Samahani kama kuna sehemu nimekera

Badee..
 
Mwenyeezi Mungu (Allah) hashindwi kutufanya wote watu wema au waovu aweza akitaka. Lakini anafanya kila mtu ampe uhuru wa kuchagua kwa kutumia akili yake, "𝒊𝒌𝒊𝒘𝒂 𝒖𝒕𝒂𝒕𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒂𝒌𝒊𝒍𝒊 𝒚𝒂𝒌𝒐 𝒗𝒊𝒛𝒖𝒓𝒊 𝒍𝒂𝒛𝒊𝒎𝒂 𝒖𝒂𝒏𝒈𝒖𝒌𝒊𝒆 𝒌𝒂𝒕𝒊𝒌𝒂 𝒖𝒊𝒔𝒍𝒂𝒂𝒎" 𝙉𝙪𝙠𝙪𝙪: 𝙈𝙘𝙝𝙪𝙣𝙜𝙖𝙟𝙞 𝙍𝙪𝙗𝙗𝙚𝙣 𝙈𝙬𝙞𝙨𝙖𝙫𝙞𝙤𝙧 -- 𝙉𝙞𝙜𝙚𝙧.

Na ukiiacha akili yako ukaiweka mbali na Uhalisia, utajikuta unaangukia pasipo stahiki.

Allah hapendelei, na moja ya majina yake ni 𝗔𝗹-𝗔'𝗮𝗱𝗶𝗿𝘂 - 𝗠𝘄𝗮𝗱𝗶𝗹𝗶𝗳𝘂, hivyo anatuacha tutumie akili tufikiri kuhusu akili aliyotupa.

Si mada ila nakupa mfano wa kutafakari kidogo.
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐬𝐚𝐲𝐚𝐧𝐬𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐦𝐰𝐚𝐧𝐚𝐦𝐤𝐞 𝐚𝐥𝐢𝐲𝐞𝐰𝐚𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐨𝐥𝐞𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐚𝐤𝐚𝐳𝐨𝐞𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐚𝐥𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐦𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐞, 𝐚𝐧𝐚𝐡𝐢𝐭𝐚𝐣𝐢𝐚 𝐭𝐞𝐧𝐝𝐨 𝐥𝐚 𝐧𝐝𝐨𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝟏𝟔, 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢𝐛𝐲𝐚 𝐬𝐢𝐤𝐮 𝟐𝟖 𝐳𝐚 𝐦𝐰𝐞𝐳𝐢. Alafu unakuta kuna Dini inasema: Mwanamke akifiwa na Mme wake, hakuna kuolewa tena, yaani amekuwa mjane akiwa na umribwa miaka 28 mathalani, ataweza kweli kuvumilia mpaka walau afikishe miaka 40?? Kama si kuruhusu zinaa hapo? Mungu wa kutoabmaagizo hayo ni mungu hasiyetambua Maumbile ya Kiumbe chake, na hawezi kuwa mungu sahihi.

Ila mungu sahihi ni yule anaye kwambia Mke akifiwa na mme wake Anakaa eda ili kuondoa uhusiano baina ya mwili wake na mmewe marehemu kisha anakuwa mpya na kuolewa tena kuanzisha kwingine.

Real God who knows the Needs of his Creatures.

Samahani kama kuna sehemu nimekera

Badee..
Mimi sikereki kwa hoja za humu mkuu.
Najua wachangiaji wana mitazamo tofauti.
 
DUUH HILI CHAPISHO HUWEZI AMIJNI LEO NIMESOMA MWANZO MWISHO NIMEJIFUNZA MENGI UKWELI NA UONGO NDANI YAKE ila kwa wastani lugha inaridhisha kimjadala sijaona matusi na binafsi nasimama kuwa kila dini magaidi wapo.
 
Sheikh Mohammed Issa sijajua Hassan Banna Allah amsamehe aliyoyakosea wewe umemuelewaje maana twaona Maulamaa wakimsema kwa ubaya kwa uenezaji wake wa takfiir na hiyo imekuwa ni bendera iliyoharibu shabaab katika zama zetu tangu alipoasisi harakati zake mwaka 1926 kwa kumfanya rejea sheikh wake Mohammed suruur labda uniweke sawa maana sijakuelewa mkuu
 
Sheikh Mohammed Issa sijajua Hassan Banna Allah amsamehe aliyoyakosea wewe umemuelewaje maana twaona Maulamaa wakimsema kwa ubaya kwa uenezaji wake wa takfiir na hiyo imekuwa ni bendera iliyoharibu shabaab katika zama zetu tangu alipoasisi harakati zake mwaka 1926 kwa kumfanya rejea sheikh wake Mohammed suruur labda uniweke sawa maana sijakuelewa mkuu
Mkande,
Sijamzungumza Hassan Banna popote hapa.
 
Wakifikaga hapo wanajitoa ufahamu kabisa.
Yaani mtu hata awe msomi kiasi gani akifika kwenye maslahi ya kidini Elimu yote inawekwa pembeni.

Msomi hatakiwi kuegemea popote anapo chambua mambo ya kijamiii.

Msomi akifikia hapo ada yote aliyolipiwa kughalimia mafunzo yake inakuwa haina maana tena.
Kwanza mtu alieelimika hawezi kuendeshwa na mitazamo ya dini.

Msomi ni mtu aliehuru kutafakari kila hatua ya maisha na jamii yake.

Msomi anaeshiriki katika uharifu huyo kashiriki kwasababu ya "usomi" wake.

"Usomi/Ujuzi ndio kigezo kilichomfanya ashirikishwe kwenye uharifu husika.

Jamii ya sasa, jamii ya dunia kuwa kama kijiji kimoja hatutaraji kuona tabia za 'kipindi cha dini kushika hatamu'.

Kipindi ambacho viongozi wa dini walikuwa viongozi wa serikali pia. Kipindi ambacho dini na serikali zilifungamanishwa pamoja. Kipindi hiko, usingeliweza kuwa kiongozi wa serikali bila kuhusika katika uongozi wa dini.

Mataifa kama Afghanistan, Iraq, Iran ambayo bado mfumo wa uongozi wa serikali umefungamanishwa na dini.

Huyu mzee said, nilishampuuza kitambo. Na lolote limkute. Mzee mbinafsi sana, kwasababu familia yake haikuingizwa kwenye 'mfumo' baada ya Uhuru basi mfumo huo ni batili na haupaswi kuungwa mkono.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom