Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
We ni mpumbavu usiyestahili kujibiwa, huko masjidi mnafundishwa chuki na roho mbaya tu badala ya kupata elimu dunia na kutafuta pesa!Nchi hii wanaoleta matatizo ni wakristo. Walianza kwa kuivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu chini ya kinara wao Laanatullahi Nyerere.
Na mpaka leo vita wanaiendeleza kwa kulazimisha kuweka kibaraka wao kila uchaguzi unapofika .
Hivi vita dhidi ya uislamu haviwezi kuisha kwani wakristo wanalazimisha waislamu waingie kwenye dini yao kwa kutumia mbinu badala ya hoja , kwani hawana .
Huko Zenji walichinjwa maelfu ya watu kabla ya uhuru na aliyewachinja alikuwa Sultan wa Oman mnayemuabudu lkn hamjawahi kufungua vinywa vyenu kukemea!
Baada ya Kifo cha Nyerere mmeshapigana mara kibao wenyewe kwa wenyewe mkibaguana Waunguja na Wapemba na hata Waunguja kusema kamwe hawawezi kumpa nchi Mpemba ambaye kwao ni kibaraka wa Sultani lkn hilo hulioni pia, unamuona Nyerere tu!
Msipofuta huo ujinga vichwani mwenu mtaendelea kuwa daraja la pili katika nchi hii, wenzenu wanapambana kuwasomesha watoto wao na kuwarithisha ujuzi utakaowakomboa kiuchumi na fikra nyie mnawapandikiza chuki wanenu ili waje kuwa magaidi!
KUPANGA NI KUCHAGUA