Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kwanza mtu alieelimika hawezi kuendeshwa na mitazamo ya dini.

Msomi ni mtu aliehuru kutafakari kila hatua ya maisha na jamii yake.

Msomi anaeshiriki katika uharifu huyo kashiriki kwasababu ya "usomi" wake.

"Usomi/Ujuzi ndio kigezo kilichomfanya ashirikishwe kwenye uharifu husika.

Jamii ya sasa, jamii ya dunia kuwa kama kijiji kimoja hatutaraji kuona tabia za 'kipindi cha dini kushika hatamu'.

Kipindi ambacho viongozi wa dini walikuwa viongozi wa serikali pia. Kipindi ambacho dini na serikali zilifungamanishwa pamoja. Kipindi hiko, usingeliweza kuwa kiongozi wa serikali bila kuhusika katika uongozi wa dini.

Mataifa kama Afghanistan, Iraq, Iran ambayo bado mfumo wa uongozi wa serikali umefungamanishwa na dini.

Huyu mzee said, nilishampuuza kitambo. Na lolote limkute. Mzee mbinafsi sana, kwasababu familia yake haikuingizwa kwenye 'mfumo' baada ya Uhuru basi mfumo huo ni batili na haupaswi kuungwa mkono.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Kwanza mtu alieelimika hawezi kuendeshwa na mitazamo ya dini.

Msomi ni mtu aliehuru kutafakari kila hatua ya maisha na jamii yake.

Msomi anaeshiriki katika uharifu huyo kashiriki kwasababu ya "usomi" wake.

"Usomi/Ujuzi ndio kigezo kilichomfanya ashirikishwe kwenye uharifu husika.

Jamii ya sasa, jamii ya dunia kuwa kama kijiji kimoja hatutaraji kuona tabia za 'kipindi cha dini kushika hatamu'.

Kipindi ambacho viongozi wa dini walikuwa viongozi wa serikali pia. Kipindi ambacho dini na serikali zilifungamanishwa pamoja. Kipindi hiko, usingeliweza kuwa kiongozi wa serikali bila kuhusika katika uongozi wa dini.

Mataifa kama Afghanistan, Iraq, Iran ambayo bado mfumo wa uongozi wa serikali umefungamanishwa na dini.

Huyu mzee said, nilishampuuza kitambo. Na lolote limkute. Mzee mbinafsi sana, kwasababu familia yake haikuingizwa kwenye 'mfumo' baada ya Uhuru basi mfumo huo ni batili na haupaswi kuungwa mkono.



Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Msakaa...
''Uhalifu'' si ''Uharifu.''
Maana ya kupuuza ni ''kuacha usishughulike.''

Ungekuwa umenipuuza usingenitaja hapa.
Ungekuwa kimya unaendelea na hamasini zako.

Si rahisi kunipuuza mimi.
Sababu ni kuwa nimekuja na elimu mpya ambayo kabla haikuwapo.

Elimu hii mpya katika historia ya Tanganyika imenifanya nialikwe kwenye vyuo vingi kuzungumza Afrika, Ulaya na Marekani.

Nimeshirikishwa katika uandishi wa vitabu kadhaa kuhusu historia ya Afrika tena na wachapaji wakubwa kama Oxford University Press, Nairobi na New York na wengine kutoka Afrika ya Mashariki.

Ndiyo nikakuambia si rahisi kunipuuza.

Wala mimi sizungumzi dini.
Nitakupa mfano.

Katika historia ya uhuru wa Kenya huwezi kuacha kuwataja Mau Mau kwa sababu ya mchango wao katika kupambana na ukoloni wa Waingereza.

Kuandika historia ya Mau Mau huwezi kuita ni ukabila.
Halikadhalika uhuru wa Tanganyika umechangiwa sana na Waislam.

Kuandika historia hii haiwezi kuwa udini.
Udini nio pale itakapo kataliwa kwa kuwa ni historia inayowahusu Waislam.
 
Kipaji,
Mimi huwa siandiki kwa nia ya kutoleana jeuri na wasomaji.

Hupenda kalamu yangu ielimishe jamii.

Hapa nimeeleza vipi ninavyowajua hawa vijana kama walimu na watu wema.

Naeleza kuwa labda kama ni kosa ni kuwa kuna nguvu nchini ina uoga na chuki na Uislam.

Hofu na chuki kama zipo vyote havina sababu.

Jamii inahitaji kujulishwa haya na ndiyo maana nikaweka picha ya Sheikh Chambuso yuko ndani ya darasa la shule ya wasichana anawafunza Uislam.

Siku hii alinialika kwa sababu tulikuwa tumewapelekea wanafunzi zawadi ya Qur'an.

Nini Sheikh Chambuso anawafunza mabinti zetu?

Anawafunza maneno ya Allah waje kuwa mama wema wajenge familia bora.
Vile mzee wangu usisahau kusema kuna jamii yenye chuki na uoga na ukristo!!!!Mimi nakuelewa mzee wangu ila nakuona pia huwapendi wakirsto wa Tanzania!!!Sasa nyie wazee wetu kama hampendani kwa sababu za kidini vijana wenu tutajifunza nini!!!Udini ni sumu sababu mwisho wake ni vurugu!!!Leo waislamu watamlaumu mzee nyerere au mzee mkapa au mzee magufuli na kesho wakrsto watamlaumu mzee mwinyi au mzee kikwete au mama samia!!!Tutafika kweli ?????
 
Sasa kile kitu najiuliza kwanini makundi karibia yote ya ugaidi ni ya kiislam? kwanzia al qaida, alshabab, isis na hata boko haram? bona hatujawai kusikia kundi lolote la kigaidi la kaa wakiristo, budhaa na wengine,Najua hii itawauma sana waislamu lakini ukweli ni kuwa hii kitabu cha dini ya kiislam, mambo mengi mabya, kaa kulipua mabomu ya kujitoa muhanga, kuua makafili(wale wasioamini dini ya kiislamu na mengine mengi) jiulize kwanini mataifa kaa ya huko warabuni kaa saudi arabia ukiwa wa dini kaa mkiristo adhambu ni kifo? jiulize kwanini huwezi kuta kitu kaa kanisa mahali kaa kuwait na saudi? jiulize bona huko pakistani na mataifa mengine kubadilise dini toka uislamu na kujiunga na dini ingine adhabu ni kifo, au hata kusema vibaya kuhusu mohhamed adhabu ni kifo, kule pakistani **** mama moja mkristo alisingiziwa ati amemutukana mtume mohhamed kahukumiwa kifo, kakaa jela miaka 9 kisa mahaka ya juu ikamuachilia lakini waislamu wakaleta hujo kutaka kumuua mpaka yeyena jamii yake wakatorokea kaifa moja sitalitaja sababu ya usalama wa huyu mama mkristo.bona mataifa kaa pakistan wanateka mabinti wadogo wa kikiristo wana walazimisa kuwaoa na kuwangeuza kuwa waisilamu, ??????? angalia hata jirani yetu musubiji zile kundi la kigaidi la kiisilamu linaua watu bila huruma huko cabo delgado, angalia nigeria, mali, burkina faso, niger vile makundi ya kigaidi ya kiisilamu yanaua wakiristo na hatujawai sikia kundi la kigaidi la kikiristo au dini ingine, kwa maoni yangu iko shida na mafudisho ya kiisilamu
Yapo kama Anti baraka pale afrika ya kati na kule Ireland ya kasikazini ila sio mengi kama makundi yenye mtazamo wa dini ya kiislamu
 
Vile mzee wangu usisahau kusema kuna jamii yenye chuki na uoga na ukristo!!!!Mimi nakuelewa mzee wangu ila nakuona pia huwapendi wakirsto wa Tanzania!!!Sasa nyie wazee wetu kama hampendani kwa sababu za kidini vijana wenu tutajifunza nini!!!Udini ni sumu sababu mwisho wake ni vurugu!!!Leo waislamu watamlaumu mzee nyerere au mzee mkapa au mzee magufuli na kesho wakrsto watamlaumu mzee mwinyi au mzee kikwete au mama samia!!!Tutafika kweli ?????
Nelson...
Sijui ni kitu gani kimekufanya useme maneno hayo.

Au kwa kuandika kitabu na kuonyesha historia ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
 
Nelson...
Sijui ni kitu gani kimekufanya useme maneno hayo.

Au kwa kuandika kitabu na kuonyesha historia ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
Hapana mzee wangu nimesema sababu kun
Nelson...
Sijui ni kitu gani kimekufanya useme maneno hayo.

Au kwa kuandika kitabu na kuonyesha historia ya Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika?
Kua mkweli mzee wangu kuna udini hapa!!!!Undumilakuwili sio uungwana hasa kwa sisi wasomi kama mimi na wewe!!Deep inside your heart you real know what bother you after Nyerere as Christian person take control of state (Tanganyika) 1961 na najua ulipenda mzee wetu Sykes awe raisi sababu ni muislamu!!!!You hate Christian society's here in Tanzania and you real try to do anything to spoil negativity their image among Tanzanians!!And also you hate those people who overthrow Sultan of Zanzbar 1964!!!Masimulizi yako mengi unajaribu kuwapaka matope viongozi na watu wenye nasaba za kikirsto kua hawakufanya lolote kuiletea uhuru tanganyika zaidi ya kuwaonea watu wenye nasaba za kislamu Tanganyika!!!Hata mapinduzi matukufu ya Zanzibar unaona kama akina Okelo,Babu na Mzee wetu Sheikh Karume hawakutakiwa kumuondoa sultani na waarabu walowezi!!!!
 
Hivi alievunja jumuiya ya waislamu afrika mashariki alikua nani? Au alieitoa Tanganyika kwenye jumuiya hiyo alikua nani na lengo ilikua nini hasa,
Swali zuri kaka lakini pia ungeuliza alievunja jumuiya za wahindu na wabudha na waafidhina wa kisabato,kipentekoste na jumuiya za wahamadiya na wahabi hapa afrika mashariki miaka ya 1960,s ni nani na nini lengo lake???Na aliyetaka Tanzania kujiunga na IOC miaka ya 1990,s ni nani pia na nini lengo lake???!!!Ukitaka kujua historia usiegemee upande mmoja dig deep kaka
 
Hapana mzee wangu nimesema sababu kun

Kua mkweli mzee wangu kuna udini hapa!!!!Undumilakuwili sio uungwana hasa kwa sisi wasomi kama mimi na wewe!!Deep inside your heart you real know what bother you after Nyerere as Christian person take control of state (Tanganyika) 1961 na najua ulipenda mzee wetu Sykes awe raisi sababu ni muislamu!!!!You hate Christian society's here in Tanzania and you real try to do anything to spoil negativity their image among Tanzanians!!And also you hate those people who overthrow Sultan of Zanzbar 1964!!!Masimulizi yako mengi unajaribu kuwapaka matope viongozi na watu wenye nasaba za kikirsto kua hawakufanya lolote kuiletea uhuru tanganyika zaidi ya kuwaonea watu wenye nasaba za kislamu Tanganyika!!!Hata mapinduzi matukufu ya Zanzibar unaona kama akina Okelo,Babu na Mzee wetu Sheikh Karume hawakutakiwa kumuondoa sultani na waarabu walowezi!!!!
Nelson...
Nakuelewa vizuri ukiandika Kiswahili.
Hayo usemayo si kweli.

Sina chuki.
Kitabu changu hakuna popote mhariri alinieleza kuhusu chuki.

Alichoniambia ni kuwa, ''You are a story teller.''
 
Swali zuri kaka lakini pia ungeuliza alievunja jumuiya za wahindu na wabudha na waafidhina wa kisabato,kipentekoste na jumuiya za wahamadiya na wahabi hapa afrika mashariki miaka ya 1960,s ni nani na nini lengo lake???Na aliyetaka Tanzania kujiunga na IOC miaka ya 1990,s ni nani pia na nini lengo lake???!!!Ukitaka kujua historia usiegemee upande mmoja dig deep kaka
Nelson...
Sijui kama kuna jumuia ya Hindu na hao wengine uliwataja kama zimevunjwa.
Tafadhali nipatie ushahidi kuwa zilivunjwa.

Hii kwangu ni habari mpya tena mpya sana.
Naomba ushahidi.

''Ukitaka kujua historia usiegemee uoande mmoja ''dig deep'' kaka.
Hiyo sentensi ulitakiwa uiandike kama hivyo hapo juu.

Ungefanya utafiti hata kidogo wa kunifahamu usingekuja na maneno hayo ya ''dig deep,'' kaka.''

Kama ungekuja nina hakika kabisa kuwa ungekuja kwangu na adabu zako kamili:


Hizo hapo juu ni research paper zangu mbili.
 
"Sheikh Chambuso alikuwa anazugumza na ule mkusanyiko kwa Kiarabu"

Ila basi tu, imani ikizidi inageuka kansa ya ubongo
 
"Sheikh Chambuso alikuwa anazugumza na ule mkusanyiko kwa Kiarabu"

Ila basi tu, imani ikizidi inageuka kansa ya ubongo
Panzi...
Unaona kansa kwa kuwa ni Kiarabu?

Ingekuwa Kiingereza ungesema hivyo hivyo kuwa ni kansa?
 
Panzi...
Unaona kansa kwa kuwa ni Kiarabu?

Ingekuwa Kiingereza ungesema hivyo hivyo kuwa ni kansa?
Umeharibiwa na udini mpaka unakua mjinga, unafikiri kila mtu anakumbatia dini zenu? Umekuwa wa hovyo kiasi kwamba unafikiri anayepinga kiarabu atasifia kizungu tu.
Ni ujinga tu kuona fahari kukumbatia aina yoyote ya mapokeo.

Unajidhalilisha sana, huenda kuna waislamu wanakushangaa
 
Umeharibiwa na udini mpaka unakua mjinga, unafikiri kila mtu anakumbatia dini zenu? Umekuwa wa hovyo kiasi kwamba unafikiri anayepinga kiarabu atasifia kizungu tu.
Ni ujinga tu kuona fahari kukumbatia aina yoyote ya mapokeo.

Unajidhalilisha sana, huenda kuna waislamu wanakushangaa
Panzi...
Umeandika ukiwa umeghadhibika na ndiyo sababu ya kuwa na lugha inayoshabihiana na matusi.

Katika hali kama hii si busara kwqngu kukujibu.

Busara ni mimi kukupa muda wewe wa kutulia.
 
Panzi...
Umeandika ukiwa umeghadhibika na ndiyo sababu ya kuwa na lugha inayoshabihiana na matusi.

Katika hali kama hii si busara kwqngu kukujibu.

Busara ni mimi kukupa muda wewe wa kutulia.
Umezidisha udini mzee wangu, mpaka unaudhi.

Haya madini ya waarabu na wazungu yatawapeleka wapi?
 
Huyo mzee ndio kiongozi wa zile vurugu na choko choko za kuvunja mabucha ya nguruwe pale magomeni. Hana lengo zuri na amani ya nchi hii nashangaa kwanini mpaka sasa yuko huru. Kuna kitu anakitengeneza ila kwakuwa watanzania ni wamoja siku zote hoja za huyo mzee zimepuuzwa na zitaendelea kupuuzwa.

Kinacho muuma zaidi ni kwamba hakuna anauemuumga mkono amebaki kiwa kama kituko tu.

Tuendelee kumpuuza.
 
Unezidisha udini mzee wangu, mpaka unaudhi.

Haya madini ya waarabu na wazungu yatawapeleka wapi?
Panzi...
Hapana siwezi kufanya hilo na ningefanya hivyo nisingefika hapa nilipo katika tasnia ya uandishi.

Nilichofanya nimesahihisha historia ambayo ilikwepa mchango wa Waislam katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Nimesahihisha historia ya Vita Vya Maji Maji nk.

Bahati mbaya labda wewe kwa kuwa si Muislam historia hii ambayo sasa ni mpya inakutia unyonge.

Unajiuliza imekuwaje masheikh ndiyo waliokuwa na Julius Nyerere bega kwa bega.

Maaskofu walikuwa wapi?

Nikikuwekea picha za wanawake wa Kiislam na Mwalimu wakati wa kupigania uhuru na kukutajia majina yao unajiuliza kwa nini wao kila mahali?

Huu si udini.

Kwa bahati hawa mimi kwangu wengine ni wazee wangu na nimewadiriki kuwaona.

Hapa sijasema kuwa Uislam ni dini bora nk.

Ndiyo nikakuambia ingekuwa kuna udini katika kalamu yangu nisingepewq kazi na wachapaji wakubwa duniani mfano wa Oxford University Press Nairobi na New York.

Wala nisingealikwa kuzungumza katiks vyuo kama Northwestern University, Evanston Chicago au Zentrum Moderner Orient, Berlin Germany kwa kuvitaja vichache.

Mimi nimeandika "Corrective History," ambayo imesahihisha historia ya Nyerere na kumleta Abdul Sykes na Hamza Mwapachu na wazalendo wengine kama washirika wake wakubwa katika kuunda TANU.

Wengi wakiaminishwa kuwa TANU iliundwa na Nyerere.

Huu si udini.
 
Maza asipokuwa na awareness ya hao jamaa wa imani yake watampelekesha mkuku mpaka achanganyikiwe!

Awareness is empowering.

Hawaishiwi madai.!

Na hivi wanajua ni Mama wanachukulia atakuwa mtu wa ku thympasis kirahisi.
Hayupo pale kwa ajiri ya wa Islam, yupo hapo alipo kwa watanzania wote.

Msicho kijua kesi za ugaidi ni makosa yanayo vuka mipaka na dinia imeweka macho na nguvu zake hapo.
Pengine ingekua uhujum uchumi na kisababishia serikali hasara angekiuka Sheria na kuwaachia.
 
Mkuu tatizo hizi dini mafundisho yake ndio tatizo, sasa kila mmoja anamuona mwenzake alietofautiana Imani kuwa ni kafiri au mpagani, hii changamoto ni kubwa na inahitajika nguvu kubwa na maarifa mengi kumaliza tatizo hili
Mafundisho hayasemi muuane/ tuuwane, ni uwenda wazim kuua nafsi isio na hatia , hata Sheria za vita zimekataza kuua watoto wanawake na wazee.

Je kwenye huo ugaidi waweza chuja hao viumbe ?
 
Huyo mzee ndio kiongozi wa zile vurugu na choko choko za kuvunja mabucha ya nguruwe pale magomeni. Hana lengo zuri na amani ya nchi hii nashangaa kwanini mpaka sasa yuko huru. Kuna kitu anakitengeneza ila kwakuwa watanzania ni wamoja siku zote hoja za huyo mzee zimepuuzwa na zitaendelea kupuuzwa.

Kinacho muuma zaidi ni kwamba hakuna anauemuumga mkono amebaki kiwa kama kituko tu.

Tuendelee kumpuuza.
Jiwe...
Si rahisi kupuuza ukweli.
Si rahisi kupuuza kalamu yangu.

Kalamu yangu imeniingiza katika mradi wa historia wa Oxford University Press, Nairobi (2006).

Kalamu yangu imeniingiza ndani ya Dictionary of African Biography.

Huu ulikuwa mradi wa Harvard na Oxford University Press, New York (2011).

Kalamu yangu imeniingiza katika uandishi wa Nyerere Biography (2020).

Wewe umeshindwa kunipuuza uko hapa unanitaja kila siku ingawa huna maneno mazuri kwangu mimi.

Anza wewe kunipuuza wengine wakuige.

Unasema mimi ndiye kiongozi wa kuvunja mabucha ya nguruwe.

Nakuwekea hapo chini link ya paper niliyozungumza Kenyatta University, Nairobi kuhusu kadhia ya mabucha ya nguruwe ujue ukweli.

Haya mengine uliyoandika hayana maana kwa hiyo nitakuwa kimya.


1673196866393.png

1673196994985.jpeg

Mtangazaji wa TBC 1 Safina ananihoji kuhusu Nyerere Biography

 
Nelson...
Nakuelewa vizuri ukiandika Kiswahili.
Hayo usemayo si kweli.

Sina chuki.
Kitabu changu hakuna popote mhariri alinieleza kuhusu chuki.

Alichoniambia ni kuwa, ''You are a story teller.''
Hapana mzee wangu!!Kiukweli wewe una chuki na jamii ya viongozi wa utawala wa awamu ya kwanza tanganyika hasa kwa wale wasio na nasaba ya imani(Dini) yako!!!!!Pia unachukia mapinduzi matukufu ya zanzbar yaliyowapokonya walowezi wa kiarabu na washirika wao hasa chama cha hizbu madaraka!!!!Makala zako zinajionyesha wazi wazi kabisa katika hilo mzee wangu Saidi Mohamedi!!!
 
Back
Top Bottom