Tetesi: Kisa cha Magreth Kobelo kuwa kwenye 18 za TAKUKURU ni kumchangia Tundu Lissu

Tetesi: Kisa cha Magreth Kobelo kuwa kwenye 18 za TAKUKURU ni kumchangia Tundu Lissu

Nadhani wewe utakuwa mchawi. Acheni mafisadi wanyooshwe
Huyo mtuhumiwa ni dada yetu huku mtaani kwetu.

Hizi siasa zinaingizwa tu hata kama alimchangia Lissu yeye tayari alikuwa yupo kwenye makabrasha ya TAKUKURU.

Huyu dada yetu na mumewe wanatuhuma nyingi sana za kudhulumu watu kwenye kampuni yao kukopesha fedha na tuhuma zingine.

Wanaojua wanasema ulikuwa ukikopa kwao ukaweka nyumba ujue hutaweza kulipa deni hata iweje na mwisho unapoteza nyumba yako.

Hata akiondoka Magufuli huyu dada kesi yake na mumewe itawasakama tu. Hivyo akimchangia Lissu bado haitamsaidia.

Kiufupi kama hajafanya hayo anayotuhumiwa nayo tumuombee avuke salama kipindi hiki apate njia ya kujisafisha jina lake.

Hizi siasa wanazo ingiza ndio zitaofanya kesi yake iwe ngumu au serikali ipeleke hati ya kukamatwa kwake Interpol. Sky Eclat hapa haumsaidii dada yetu unachochea moto wa kusababisha akamatwe haraka na Interpol.
 
Tuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.

Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!

Sent using Jamii Forums mobile app
ndio mmeamka leo[emoji216] [emoji196] [emoji160] [emoji241] [emoji236] [emoji83] [emoji83] [emoji90] [emoji61] [emoji379]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila ushahidi wowote? Haya ndiyo mambo ya uchochezi yanayotafuna amani yetu. Tusiendekeze habari zisizo na ushahidi kwani shetani hutumia watu ili kuharibu amani ya watu,familia na taifa kiujumla...
Jizuie kutumika na mashetani tafadhali
 
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?

Kwakuwa nakuheshimu na Wewe ni Rafiki yangu mkubwa sana hapa Jamvini halafu nakukubali mno kwakuwa upo vizuri sana Kichwani ( namaanisha ni Mwerevu ) ngoja tu hapa nisiseme nilichonacho Moyoni mwangu juu ya Hoja yako, kwani sitaki Kukuudhi kama siyo Kukukera pia.
 
Kwakuwa nakuheshimu na Wewe ni Rafiki yangu mkubwa sana hapa Jamvini halafu nakukubali mno kwakuwa upo vizuri sana Kichwani ( namaanisha ni Mwerevu ) ngoja tu hapa nisiseme nilichonacho Moyoni mwangu juu ya Hoja yako, kwani sitaki Kukuudhi kama siyo Kukukera pia.
🙏🏾
 
tafadhari = tafadhali

Ni shule au wewe?
Hilo tatizo la matumizi ya R na L ni janga la kitaifa. Paanzishwe programu ya miezi 6 watu kufanya mazoezi ya matumizi sahihi ya hizo herufi. ( Kuna watu wataandika inasaidiaje Taifa)
 
Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....

Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....

Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.

Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa kamanda!
kushindana na JPM ni sawa na kushindana na Mungu. Maana hata alivoupata URAIS ilikuwa kimiujiza ujiza tu. Sijui Mungu aliliona shimo tulilokuwa tukilielekea?
 
Back
Top Bottom