mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea