Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ipo siku mtatembea uchi kwa wakwe zenu ili wawaamini kwa kile mnachosema kuhusu Mwamba, Jiwe JPM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝🤝🤝🤝🤝Hapa hakuna jipya uliloweka. Wala hakuna ukweli uliokuwa umefichwa na sasa wewe umeufichua!....hakuna kitu
Afu we KUBWA JINGA, Magufuli sio rais mstaafu shabaash.Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Huna lolote zaidi ya kuwa VUVUZELA kama hawa walamba asaliTunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Kipenzi cha naniHuna lolote zaidi ya kuwa VUVUZELA kama hawa walamba asali
Tuondolee huu uzi wenye kinyaaa
Kojani Ganga wewe
Tena nikutahadharishe ni.marafuku kumuhususha Hayati Raisi wetu Kipenzi na hizi takataka sijui makonda waliopewa nafasi wakatumia vibaya
Kwani wewe hujui ni kipenzi cha nani?Kipenzi cha nani
Acha upuuzi.Kwani wewe hujui ni kipenzi cha nani?
Nikusaidie
Kipenzi cha Watanzania wote wazalendo wa kweli, wapenda maendeleo ya nchi yao rasilimali za Nchi yao na vingine kedekede
Wewe sio mzalendo??tufahamieane vyema,usitukumbushe machungu ya Taifa let
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Check ndio aina ya watu tulionaoAcha upuuzi.
Kafie Njombe hukoTunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Ukweli ni kwamba mmoja alikuwa akimpakata mwrnzake.
Zile fujo zote zilikuwa staged na group la makonda.Ukiisha weka uongo 1, hata kama kweli ni 99, kweli zote 99 zitaonekana ni uongo!. Makonda was protecting Warioba na kumsindikiza atoke salama kwavkumkingia kifua na kum provide safe passage.
P
umekaa umewashwa ndo umeona ulete sintofahamu nyingine….Ivi una umri gan??Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
JPM hakua raisi mstaafuTunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Ukimaliza kujadili huu upuuzi uje na Visa na viroja vya SGR,Ujenzi wa miundombinu ya kisasa,Mradi wa JNHP, kupinga uzembe na rushwa kaskazini,kusikiliza wananchi hususan wanyonge n.k kisha badala ya kujadili uhusiano wake na sefue jadili uhusiano wa walamba asali Samia na Makamba,Nape,JK n.kTunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.
Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.
Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.
Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.
Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.
Itaendelea
Kwa mara ya kwanza Pascal ume ongea uongo!! Wote tulishuhudia makonda akimtandika mzee warioba ngumi!Ukiisha weka uongo 1, hata kama kweli ni 99, kweli zote 99 zitaonekana ni uongo!. Makonda was protecting Warioba na kumsindikiza atoke salama kwavkumkingia kifua na kum provide safe passage.
P