Kisa cha Magufuli kushindwa kumuwajibisha Makonda, Ukweli uliofichika sasa hadharani

Kisa cha Magufuli kushindwa kumuwajibisha Makonda, Ukweli uliofichika sasa hadharani

Ipo siku mtatembea uchi kwa wakwe zenu ili wawaamini kwa kile mnachosema kuhusu Mwamba, Jiwe JPM!
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
Afu we KUBWA JINGA, Magufuli sio rais mstaafu shabaash.
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
Huna lolote zaidi ya kuwa VUVUZELA kama hawa walamba asali
Tuondolee huu uzi wenye kinyaaa


Kojani Ganga wewe

Tena nikutahadharishe ni.marafuku kumuhususha Hayati Raisi wetu Kipenzi na hizi takataka sijui makonda waliopewa nafasi wakatumia vibaya
 
Huna lolote zaidi ya kuwa VUVUZELA kama hawa walamba asali
Tuondolee huu uzi wenye kinyaaa


Kojani Ganga wewe

Tena nikutahadharishe ni.marafuku kumuhususha Hayati Raisi wetu Kipenzi na hizi takataka sijui makonda waliopewa nafasi wakatumia vibaya
Kipenzi cha nani
 
Kipenzi cha nani
Kwani wewe hujui ni kipenzi cha nani?

Nikusaidie


Kipenzi cha Watanzania wote wazalendo wa kweli, wapenda maendeleo ya nchi yao rasilimali za Nchi yao na vingine kedekede

Wewe sio mzalendo??tufahamieane vyema,usitukumbushe machungu ya Taifa let
 
Kwani wewe hujui ni kipenzi cha nani?

Nikusaidie


Kipenzi cha Watanzania wote wazalendo wa kweli, wapenda maendeleo ya nchi yao rasilimali za Nchi yao na vingine kedekede

Wewe sio mzalendo??tufahamieane vyema,usitukumbushe machungu ya Taifa let
Acha upuuzi.
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
2756823_JamiiForums-1851313687.gif
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
Kafie Njombe huko
 
Ukiisha weka uongo 1, hata kama kweli ni 99, kweli zote 99 zitaonekana ni uongo!. Makonda was protecting Warioba na kumsindikiza atoke salama kwavkumkingia kifua na kum provide safe passage.
P
Zile fujo zote zilikuwa staged na group la makonda.
 
Dah,,,,huyu jamaa sijuwi kalipwa kiasi gani?kumchafua MAGUFULI.

Kule kafunguwa kisa cha John Pompeo na Daudi Basheet.


Huku kaja kafunguwa tena uzi ulelule majina tofauti ..


Wakati inchi inaelekea shimoni sisi tunahangaika na kueneza mambo ya uzushi na uongo..


Sawa lakini Mungu wetu sote.
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
umekaa umewashwa ndo umeona ulete sintofahamu nyingine….Ivi una umri gan??
Haiwezekani mtu mzima ufungue Uzi kisa sentensi moja tena ya muhemuko
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
JPM hakua raisi mstaafu
 
Tunaendelea na visa na viroja vya Rais mstaafu JPM.

Baada ya kisa cha kumtimua Balozi Ombeni Sefue usiku na kisa cha kumpa masharti Yahya Msigwa aliyekuwa Rais wa TUCTA kuwa atulie asimsumbue sababu anatumia jina la marehemu kwenye vyeti vyake vya kitaaluma, leo nawaletea kisa kingine toka korido za Ikulu kikimuhusisha Bwana Paul Makonda RC mstaafu wa DSM.

Yanasemwa mengi kuhoji uswahiba wa hawa watu wawili, wengine wakisema ni sababu wote ni home boys toka kanda ya ziwa ila wanasahau Dialo na Kitwanga pia ni home boys ila aliwatema peupe.

Wengine wanadai ni mambo ya kishirikina eti Makonda alimletea kikundi cha wachawi na waganga kuagua mashetani yaliyoachwa na mtangulizi wake Ikulu ya Magogoni hadi kushindwa kukalika.

Hizo zote ni nadharia ukweli huu hapa.

Itaendelea
Ukimaliza kujadili huu upuuzi uje na Visa na viroja vya SGR,Ujenzi wa miundombinu ya kisasa,Mradi wa JNHP, kupinga uzembe na rushwa kaskazini,kusikiliza wananchi hususan wanyonge n.k kisha badala ya kujadili uhusiano wake na sefue jadili uhusiano wa walamba asali Samia na Makamba,Nape,JK n.k
 
Ukiisha weka uongo 1, hata kama kweli ni 99, kweli zote 99 zitaonekana ni uongo!. Makonda was protecting Warioba na kumsindikiza atoke salama kwavkumkingia kifua na kum provide safe passage.
P
Kwa mara ya kwanza Pascal ume ongea uongo!! Wote tulishuhudia makonda akimtandika mzee warioba ngumi!
 
Back
Top Bottom