Kisa cha Magufuli kushindwa kumuwajibisha Makonda, Ukweli uliofichika sasa hadharani

Ukiisha weka uongo 1, hata kama kweli ni 99, kweli zote 99 zitaonekana ni uongo!. Makonda was protecting Warioba na kumsindikiza atoke salama kwavkumkingia kifua na kum provide safe passage.
P
 
Bashite alikuwa mkusanya pesa za madili wa mwendazake
Hii ndio point kuu na kuwanl Kiongozi wa genge la wauaji..

Juzi Kati nimeona account ya insta ya serikali inaitwa Dodoma zone ikiweka picha ya Bashite akifurahia mtoto wake huku kukiwa na Mwandishi ya Baba Keagan..

Bashite bado ana ushawishi huko Serikalini huwenda awamu ya pili Kama Mama atakuwa Rais akaula Tena.
 
Pumba
 
Kwahiyo huu ndio ukweli? wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
JF Expert Member
Vp Tena Unaleta Ngonjera
 
Chai
 
Mbongo mpe picha tu atakutungia story yote yeye mwenyewe.
Kama huyu inaonekana hata picha haihitaji, we mpe kijikaratasi chenye kijinukta kidoogooo katikati, hicho kijinukta atakigeuza kwa maneno kuwa bonge la picha na stori juu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…