Kisa cha Michael Essien na John Terry

Kisa cha Michael Essien na John Terry

Mshahara wa mchezaji wa Chelsea ulivyo mkubwa umalizwe na ndugu tu? Tena kwa kuwapa sio kukuibia?

Atakuwa na mambo yake mengine
Unawajua waafrika wewe..mtaa mzima wanakuomba pia kumbuka Kuna watu wapo social.....

Kaka angu yupo ivyo yaan ni kawaida kwake kukuta team ya watu anawalisha na kuwapa misaada mbali mbali ya kibinadamu....

Yaan pesa yake Michael Essien ilikua inaisha haraka haraka elewa sio kua amefirisika...

Maana hata vitabu vya dini vinasema mkono unao toa NDIO unao pokea...🤓
 
View attachment 2615528View attachment 2615529

Kisa Cha Michael Essien na John Terry wakikipiga Chelsea
John Terry alikua akimshangaa mchezaji mwenzake Michael Essien...

John Terry alikua anamshangaa Michael Essien kwanini akipata pesa inaisha haraka haraka...... Pesa ya Michael Essien ilikua Ina isha haraka kwasababu dependency ratio ilikua higher....

John Terry alikua akimsikia Michael Essien akizungumza Kwa simu na watu wake wengi huku Afrika ambao Michael Essien alikua anawatumia pesa...

John Terry alikua akishangaa sanaa kiasi cha kujiuliza huko afrika wanaishije au waafrika tuna ishije ishije....
Maana wazungu ki kawaida wanaishi Baba,mama, mtoto au watoto..
Ukiwa mtu mzima unajitegemea na unakua hauna burden kubwa ya wategemezi zaidi ya familia yako (nucleated family)

Swali,
Je? na sisi tufike huko au hayatuhusu...

Ni nini maoni yako...
Screenshot_20230509-160841.jpg
 
Africa hata yule aliyekua anakusimanga na kukunyima pesa ukitusua tu nae anajitokeza kutaka umrudishie masimango yake kwa gharama ati bila yeye kukusimanga usingefika hapo ulipo
 
Africa hata yule aliyekua anakusimanga na kukunyima pesa ukitusua tu nae anajitokeza kutaka umrudishie masimango yake kwa gharama ati bila yeye kukusimanga usingefika hapo ulipo
Haters hutufanya tupambane sanaa mwisho mtu anatoboa kwenye TUNDU la HAIWEZEKANI.....
 
Back
Top Bottom