Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.
Haa, mkuu kwani ukiandika hapa utapoteza nini? Weka vitu bana
 
Yule dada anasema kipindi cha nyuma alipata kazi Hotel moja ya kitalii Zanzibar (alinitajia jina ila sitoitaja kwa sababu flani) anasema alipokuwa anafanya kazi alipanga nyumba mtaani kwa mzee mmoja aliyekuwa na wake wawili.baadaye yule mzee alianza kuonesha interest kwa bidada.

Akipewa kodi anakataa anasema binti akae tu wataelewana.siku moja akamwambia wakae aongee naye wapeane ushauri.shida ikawa wataonana wapi kwa hali ya zanzibar si kama bara.na yule alikuwa mtu mzima kiasi.

Baada ya muda siku moja anatoka kazini akakuta mzee anamsubiri njiani.yule mzee akamwambia kuna sehemu wataweza kaa enda ongea ni nyumbani kwa rafiki yake. Yule dada akawa ana wasiwasi kuwa ni jambo gani nyeti hivyo.

Ijumaa iliyofuata alimwambia atakuja chukuliwa na taxi kazini huyo mwenye taxi atampeleka hapo atakapokuwepo.

Kweli mida ya saa kumi na nusu jioni ikaja gari.yule dada aliambiwa anaitwa getini.kwenda akaoneshwa taxi.akaenda ndo kuambiwa ametumwa mzee Kheri apelekwe home kwake.hao wakaanza safari haikuwa mbali sana.yule dada anasema ilikuwa wakitoka nje ya hotel wanavaa baibui.so akawa ndani ya baibui hao mpaka kwa mzee kheri.

Kule alikaribishwa na wamama wawili ambao walimpeleka sebuleni ambako alimkuta yule mzee na mzee mwingine mwenyeji.baadaye yule mwenyeji akaondoka na kuwaacha wao wawili.

Ndo yule mzee kumwambia yeye alitaka mwoa.alitaka awe mke mdogo.yule dada alishtuka sana..hakutegemea maana alikuwa anamwona yule kama mzee wake.waliongea mengi but mdada alikataa kabisa kuwa hawezi.yule mzee alimwambia akimwoa atamwachisha kazi na atampa mshahara aliokuwa akipata pale hotelini.

Yule dada hakuelewa maana mara zote alikuwa akimwona yule mzee anashinda home au kibarazani akicheza bao na karata.hakuelewa angepata wapi hizo pesa. Lakini ndipo alijiuliza kweli yule mzee alikuwa anaweza lisha familia vizuri.alikuwa akisikia mzee mwenyewe akisema ana watoto Oman na Saud Arabia.

Mdada alikataa kabisa.mzee akamwambia anampa siku 14 afikirie.ijumaa ya pili ya tatu baada ya ile ampe jibu.

Yule dada anasema siku hiyo alirudi home anawaza sana.hakuwahi tegemea.maana ni mdada mrembo sana aje aolewe na mzee. Alishangaa sana.

Kesho yake aliporudi kazini akawaambia wenzie anataka hama pale anapoishi.kweli akatafutiwa nyumba baada ya siku nne akapata.siku hiyo akarudi home amekusanya pesa ya miezi kama 4 ambayo yule mzee alikataa kodi.akamfuata akaenda mwambia kuwa anahama.

Anasema yule mzee alisikitika sana mpaka akatokwa na machozi.ila akamwambia asijali zile pesa akae nazo tu alimsaidia.bint akasisitiza sana.mzee akagoma. Basi binti akaamua aziache pale mezani.akaondoka kwenda room kwake.akasubiri gari na vijana wakaja wakabeba mizigo kuhama.

Anasema siku hiyo amehamia hiyo sehemu nyingine alilala amechoka sana.ila akaota ndoto yule mzee analalamika sana.akitaka wawe na mahusiano.

Kesho yake ameamka anazikuta pesa zake kwenye pochi.alishangaa sana maana alikumbuka pesa aliziacha mezani.alizikuta zipo vile vile hazijapungua hata shilling.

Akawa anajiuliza je alijisahau?au mzee alimrudishia kwenye pochi.but hakuwahi toka kumwachia pochi mzee.na hakumbuki kma mzee aligusa pochi.hakuelewa kabisa.akaamua kuliacha hilo.

Kesho yake usiku alipolala anasema aliota ndoto ana sex na mzee.alishtuka usingizin akajikuta amelala amebong'oa. Hilo lilimshtua sana.kukicheck kwenye K akajiona kuna ute ute.akashindwa elewa. Ila hakulala tena. Kesho yake akaenda msimulia mwenzie.yule mwenzie akasema wakalale wote.

Siku hiyo wamelala yule bidada akaota tena analiwa.kuamka asubuhi hajielewi elewi.akamsimulia mwenzie.mwenzie ndo kumwambia itakuwa yule mzee anakuja kumla.mdada akawa nusu nusu.kama haamini hivi. Siku ya tatu akakutwa na hali ile ile this time aliamka akisikia maumivu mk****ni. Hii ilimshtua sana.baada ya kutoka kazini.akamwambia mwenzie waende kupata kisomo.maana siku nzima alikuwa hawezi hata kwenda choo haja kubwa. Na mdada mwenyewe ameumbika hasa.hips na makalio ya kutosha....
Dah mzee nuksi sana akala na visvyoruhusiwa
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea. Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi.
Moderator wanasema hii ni chai ndo maana wameleta jukwaa husika
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.
Dah hapa sasa tunaoteseka ni sisi!!

Hivi ni kwanini mods hamtufikirii sisi wapenzi wasomaji kabla ya kufanya maamuzi??
Sasa mleta mada amegoma what next????
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.
Hao Moderator wanazingua wanafikiri wote tunapenda siasa wengine tunapenda mastory ya UKWELI na hata kama ni CHAI kama inavutia si twaipenda hivyo hivyo

MODERATORS ACHENI KUZINGUA
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.
Acha ujinga basi kwani ikikutokea haiwezi kuwa entertainment.
Kwanini uliweka kwenye habari na hoja mchanganyiko? Kwani habari haiwezi kuwa entertainment. Mbona kina Diamond maisha yao wanayoishi utayakuta kwenye habari za entertainment. Au ukisikia entertainment unafikiriaje kichwani kwako.
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.
Msamehe bure..tuendelezee tu jamani
 
Ujue ni kwamba
Yeye Chizi Maarifa anajua fika kuwa hii sio chai wala story za Kwenye vitabu ni kitu kilichomkuta really kwenye Maisha yake

Sasa kwanini wao wanaoitwa moderators wauhamishe walete jukwaa la sports & entertainment ?? Kwamba mkasa wa jamaa ni michezo na Burudani sio ??[emoji23] Inakatisha tamaa kwake Chizi Maarifa kuendelea kumwaga mambo

Rudishen Uzi mahala husika otherwise mje na majibu hapa
Active Moderator Cookie
Maxence Melo
 
Hii siyo story. Nasisitiza hivyo na nilipaswa kuheshimiwa mawazo yangu. Walichofanya nadhani ni mwendelezo ule ule wa moderator flan kuendekeza chuki. Ingekuwa ni story wala nsingekwazika. But pia ngeleta jukwaa husika.

Mimi ni member mzoefu humu JF so najua nini niandike wapi. Kuna nyuzi watu wameelezea mambo yao makubwa ya kutisha majukwaa mengine.zimeachwa huko. Why huu iwe shida? Kuna shinikizo gani na kutoka kwa nani wamepata?
 
Hao moderator wameshapitiwa na bwana jini[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hii siyo story. Nasisitiza hivyo na nilipaswa kuheshimiwa mawazo yangu. Walichofanya nadhani ni mwendelezo ule ule wa moderator flan kuendekeza chuki. Ingekuwa ni story wala nsingekwazika. But pia ngeleta jukwaa husika.

Mimi ni member mzoefu humu JF so najua nini niandike wapi. Kuna nyuzi watu wameelezea mambo yao makubwa ya kutisha majukwaa mengine.zimeachwa huko. Why huu iwe shida? Kuna shinikizo gani na kutoka kwa nani wamepata?
Mkuu Hawa Mods wape dakika kadhaa waurudishe,wakizingua kama vipi waunganishie babu wa Z'bar afanye yake!..
 
Nilikua hata sijui kama Uzi umehamishwa jukwaa duuuh kwa hyo story yetu ndo imeisha.
 
Wadau jambo la kushangaza sana leo asubuhi yule dada amenipigia simu. Ni miaka zaidi ya 8 sikuwahi wasiliana naye.leo amepiga simu asubuhi hii kunisalimia. Anasema amenikumbuka sana. Namuuliza upo wapi hajataka kujibu.

nimeshangaa sababu tulipotezana kitambo sana kwa mawasiliano.mimi namba ninayotumia sikuwahi badilisha kwa zaidi ya miaka 15 yeye alipotea tu hewani akawa hapatikani.leo ndo amenipigia. Sikumtambua mpaka alipokutambulisha. Nmeshindwa elewa imekuaje.
Mh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom