Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Pole kwa msiba,Hiki sikukiona sweetheart. Jana nilikuwa msibani my dear
Ngoja ninunue na wine kabisa[emoji4]
Sasa hakikisha wine ni sweet maana dry nayo huwa ni ngumu sana kumeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa msiba,Hiki sikukiona sweetheart. Jana nilikuwa msibani my dear
Ngoja ninunue na wine kabisa[emoji4]
Pamoja sanaAsante aise. Acha niupitie mdogo mdogo
Sawa, nije na chupa mbili au moja inatutosha?Pole kwa msiba,
Sasa hakikisha wine ni sweet maana dry nayo huwa ni ngumu sana kumeza
Kaenda jalalani mara moja, anarudi muda si mrefu.Chizi mbona kapotea? Au jini teyar keshapita nae
Chupa mbili tafadhali, moja sio kweli kabisa, itaishia tu kwenye meno kumbuka hii stori inaonekana ndefu sanaSawa, nije na chupa mbili au moja inatutosha?
Ww yanakuusu...acha shobo na nyuzi za watuHayakuhusu..mxiuuuu
Yananihusu Ndiyo..Ukome kuquote visivyokuhusu.Ww yanakuusu...acha shobo na nyuzi za watu
Lita tatu zitatutosha. Muda wa lunch nitaendeleza kidogo ule mkasa wetu kule kwa KitoabuChupa mbili tafadhali, moja sio kweli kabisa, itaishia tu kwenye meno kumbuka hii stori inaonekana ndefu sana
Au box dogo lile la lita 3 ili twende nayo polepole tu
Pamoja sana
Uzuri msimuliaji ni mwandishi mzuri, uzi unavutia kusoma
🙀🙀😿 chizi ukuje basi .
Popcorn zimeisha kitaani story ndio kwanza ipo kati dah [emoji36]
Ww yanakuusu...acha shobo na nyuzi za watu
Daah ama kweli duniani kuna mambo magumu na mazito mno!
Hatari sana
Yananihusu Ndiyo..Ukome kuquote visivyokuhusu.
Jamaa kaenda wap tena? Kwan hajui kama kvifurushi vina expire aisee
Yupo jalalani anatafuta msosiJamaa kaenda wap tena? Kwan hajui kama kvifurushi vina expire aisee
😂😂😂😂😂Yananihusu Ndiyo..Ukome kuquote visivyokuhusu.
Ini gwajiboyi voisi [emoji119][emoji119][emoji119]Mkubwa usisikilize mbwa Wanavyobweka we endelea na safar
Kwani shida nini mkuu? Wewe si endeleza tu huku mkuu? Kwani kuna utofauti gani huko habari mchanganyiko na MMU au kwenye ndude nyingine? Si zote ziko hapa hapa JF?. Kwako wewe kuna kitu gani unapoteza au unaongezewa?.Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea. Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.
Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi.
Kwahiyo wewe mleta message tayari hukoMi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
Dah rudi mkuu utupe mchongo huo uliishajeNikaingia naye room. Pale chini pana bar pia na kwa kuwa mimi nlikuwa nmepita kwa washkaji tukala ugali na kitimoto asubuhi tu ile nikawa sina sababu ya kula sana. Nakumbuka nliagiza mchemsho wa kuku na chapati naye hivyo nikaagiza na grand malt mbili tukala tukanywa tukawa tumejilaza kitandani tunaangalia movie kwenye laptop.
Ktk mashine ilikuwa imesimama vizuri kabisa. Bila shida na demu ni kama alishangaa kwa mashine kusimama kama kawaida.tofauti na siku ile ya kwanza hakuonesha kushtuka.nikamla.tofauti na nlivyotegemea. Alikuwa hana utamu. Alikuwa wa baridi tu.
Nlichukua muda sana kumaliza.yeye wala hana hisia za kitendo. Nlihangaika sana kumweka sawa.sikufanikiwa. akawa tu amepoa. Tulifanya mara tatu tu tena kwa shingo upande maana last time was like nambaka. She wasnt ready kabisa.mkavu analalamika kuumia. Pamoja na kumwandaa kote hamna kitu.
Baadaye tukawa tunatoka nikamrudisha mpaka kwake. Dukani nikarudi zangu home.
Mida ya saa 2 nlianza sikia baridi kali sana ila natokwa jasho.sikuelewa mpaka saa nne nakumbuka baada ya kuangalia tamthiliya flani (kama sikosei ilikuwa days of our lives au the young and the restless ) nikaenda kulala.
Saa saba usiku nikiwa kama nipo usingizini kama nipo macho. Nikaona nageuzwa kitandani.but ni kama naota au naona live. Nlichapwa viboko sana.sana huku damu ikitoka mgongoni.nlilia sana lakini kila napojaribu kuamka nashindwa.nikijaribu kupiga kelele sauti haitoki.ila nalia sana bila kutoa sauti.
Kesho nliamka mwili unaniuma sana na mgongoni ni kama nina majeraha yanayopona.maumivu nayasikia.sikuweza mwambia mtu ni nini kilitokea.
Nikampigia simu yule dada kumsalimu.hakupokea. nliendelea kupiga simi kila baada ya muda haikupokelewa. Mpaka usiku simu haipokelewi.
Keshokutwa yake nikaenda tabata dukani.nikamkuta yule dada msaidizi kumuuliza boss wake yu wapi akajibu toka amerudi juzi alikuwa anajisikia vibaya amepumzika.sikuoneshwa nyumbani kwa yule dada. So sikuweza enda.
Siku ya tatu napiga simu haipokelewi.nikaacha. siku ya 5 nikapiga simu kwa namba ya mdogo wangu. Akapokea nikamwambia ni mimi akakata simu.
Baada ya week na nusu toka tumefanya mapenzi akanipigia simu kuwa nipange tuonane sehemu ambayo ni ya wazi isiyo bar. Nlihangaika sana nikaja pata sehemu moja hapa Sinza.akasema atakuja mwenyewe.
Nlimtajia muda then nikawahi nikaenda subiri sehemu ili nimwone anakuja na nani. Kweli hiyo mida akapiga simu nikamwelekeza akafika.mimi nmepark gari mbali kidogo namcheck. Alikuja na gari peke yake. Akaingia nami baada ya muda akanifuata.
Ndani tumekaa mdada hakuwa na furaha.amevaa nguo ndefu sana na miwani mikubwa myeusi.tukaongea mambo kadhaa.kisha ndo tukarudi kwenye jambo la msingi.nilimweleza kilichonipata hakushtuka.nlishindwa mwelewa.mimi nlimweleza nikijua ni ushirikina maana kuna mama mmoja kitaa walikuwa wanasema ni mchawi.mtu wa kigoma.but nlishangaa why that night.na home sikumwambia mtu yeyote.
Bi dada akaanza nisimulia maisha yake yalivyo.katika hali ambayo alikuwa anaonesha ameachoka na hana furaha kabisa. Akaamua sasa aniweke wazi ni nini hasa ambacho kinaendelea katika maisha yake. This day hakuwa mwenye nuru.weupe wake ulikuwa umepungua, usoni ni kama mtu aliyechoka pengine hakulala week nzima.
Anasema shida ilianzia Zanzibar...
Ntaendelea na kisa wadau naingia barabarani kurudi home.