afisakipenyo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2020
- 445
- 777
yote kwasababu ya uchumi wa katiMbona mambo ya majini yamekuwa rahisi sana, mara watu wanaoa majini mara wanagombana na majini mara wanapendwa na majini mara dah..... aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yote kwasababu ya uchumi wa katiMbona mambo ya majini yamekuwa rahisi sana, mara watu wanaoa majini mara wanagombana na majini mara wanapendwa na majini mara dah..... aisee
Ilete wakati tunamsubiriJamani hii sio chai. Hayo Mambo yapo yalishawahi kunikuta Kama anavyosimulia huyu jamaaa. Nasema yapo
Kazi Unayo Chalii, Ngoja ni UNSUBSCRIBE fasta huu uzi nisije nikaamka asubuhi nimebon'goa na nishindwe kwenda haja siku nzima[emoji16]Wadau jambo la kushangaza sana leo asubuhi yule dada amenipigia simu. Ni miaka zaidi ya 8 sikuwahi wasiliana naye.leo amepiga simu asubuhi hii kunisalimia. Anasema amenikumbuka sana. Namuuliza upo wapi hajataka kujibu.
nimeshangaa sababu tulipotezana kitambo sana kwa mawasiliano.mimi namba ninayotumia sikuwahi badilisha kwa zaidi ya miaka 15 yeye alipotea tu hewani akawa hapatikani.leo ndo amenipigia. Sikumtambua mpaka alipokutambulisha. Nmeshindwa elewa imekuaje.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kazi Unayo Chalii, Ngoja ni UNSUBSCRIBE fasta huu uzi nisije nikaamka asubuhi nimebon'goa na nishindwe kwenda haja siku nzima[emoji16]
Endelea sasa kutusimulia huku tukisubiri chakula cha usiku kiiveKisa kizur na haya mmb yapo sana,nakumbuka demu wangu alikuaga na mashetani na Mara nyingi alikua akiota ndoto zenye ukweli...anaota kuna jamaaa huwa anakuja usiku anabonge la mb***,
Huwa anakuja na sura yangu au mtu yoyote HB anafanya mapenzi nae na asubuhi lazim ahisi maumivu na ute ute katika sehem zake za siri (inauma sana aloo [emoji856][emoji856][emoji856])....migogoro ilikua haishiii na nadhani hayo majini mahaba ndo yana mchango mkubwa mp@ka mie kuachana nae,...
yeye mwenyewe alikua akipenda na anasema yalikua yanamsaidia kumuepusha na shari za kidunia!!! Nilikua nachukia saaana aloo mpaka nikafanya mpango akasomewe ila yeye binafsi alikua hataki kusomewa..!!!
basi alikua akipandisha yale madude yake yanampandiza chuki kuwa tuachane na mie nitamsumbua maishani mwake kwakua nina nyota ya kupendwa na wadada wengi,
japo sikuwahi kuwaza kumcheat mpk pale nilipoona sina changu tena hapa!!!
Anyway nilimpenda sana sema haikua rizki!!
Ila hizi mambo zipo sana jamani kama haijakukuta usiombe!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]umakini huo nawewe unatakiwa kuwa nao mkuu.Mi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
Eti unaamka umebong'oa na maumivu kwenye tunu,[emoji2][emoji2][emoji2],dah,*****Mi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
Bwana jini kasema anaanza na wewe!Mi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
".....Sura yangu au mtu yoyote HB...."Kisa kizur na haya mmb yapo sana,nakumbuka demu wangu alikuaga na mashetani na Mara nyingi alikua akiota ndoto zenye ukweli...anaota kuna jamaaa huwa anakuja usiku anabonge la mb***,
Huwa anakuja na sura yangu au mtu yoyote HB anafanya mapenzi nae na asubuhi lazim ahisi maumivu na ute ute katika sehem zake za siri (inauma sana aloo [emoji856][emoji856][emoji856])....migogoro ilikua haishiii na nadhani hayo majini mahaba ndo yana mchango mkubwa mp@ka mie kuachana nae,...
yeye mwenyewe alikua akipenda na anasema yalikua yanamsaidia kumuepusha na shari za kidunia!!! Nilikua nachukia saaana aloo mpaka nikafanya mpango akasomewe ila yeye binafsi alikua hataki kusomewa..!!!
basi alikua akipandisha yale madude yake yanampandiza chuki kuwa tuachane na mie nitamsumbua maishani mwake kwakua nina nyota ya kupendwa na wadada wengi,
japo sikuwahi kuwaza kumcheat mpk pale nilipoona sina changu tena hapa!!!
Anyway nilimpenda sana sema haikua rizki!!
Ila hizi mambo zipo sana jamani kama haijakukuta usiombe!!!
sabusklaibudi,[emoji4]
Game gumu bro!Hivi wale mapacha wamepotelea wapi siku hizi hawasikiki
Kwamba atapita kuingiza kichwa kama mzee onyango ahaaaaa asee nmecheka kbwegeMi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
[emoji4][emoji4][emoji4]noma sana".....Sura yangu au mtu yoyote HB...."
Mkuu inaonekana wewe ni HB sana...
Mpaka majini hukuibia sura, ili yakagongee madem.
Shukrani sana, ndio nimefika sasa naanza kuupitia post baada ya post