mliverpool
JF-Expert Member
- Jan 6, 2015
- 1,565
- 2,944
Alitumia dukani kununua mazagazaga,mbona mnashindwa kuelewa vitu rahisi tuuu???Jamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitumia dukani kununua mazagazaga,mbona mnashindwa kuelewa vitu rahisi tuuu???Jamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Alifanya matumizi ya kiasi hcho kwenye ofisi ya bi dada sio alimtumia pesa tasilimu.Nimeomba kueleweshwa walikuwa wanatumaje?
Uwe unasoma vizur kabla hujauliza, jamaa kasema alitumia 170,000 kwa manunuzi sio kumtumia huyo mwanamkeJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Mkuu malizia kabla hajakukataza....Wadau jambo la kushangaza sana leo asubuhi yule dada amenipigia simu. Ni miaka zaidi ya 8 sikuwahi wasiliana naye.leo amepiga simu asubuhi hii kunisalimia. Anasema amenikumbuka sana. Namuuliza upo wapi hajataka kujibu.
nimeshangaa sababu tulipotezana kitambo sana kwa mawasiliano.mimi namba ninayotumia sikuwahi badilisha kwa zaidi ya miaka 15 yeye alipotea tu hewani akawa hapatikani.leo ndo amenipigia. Sikumtambua mpaka alipokutambulisha. Nmeshindwa elewa imekuaje.
Hapa naona stor inaishia hapa...umepiga stor zake kakutafta na leo usiku lazima aje usiku kukuonya uishie hapahapa hahahahhaWadau jambo la kushangaza sana leo asubuhi yule dada amenipigia simu. Ni miaka zaidi ya 8 sikuwahi wasiliana naye.leo amepiga simu asubuhi hii kunisalimia. Anasema amenikumbuka sana. Namuuliza upo wapi hajataka kujibu.
nimeshangaa sababu tulipotezana kitambo sana kwa mawasiliano.mimi namba ninayotumia sikuwahi badilisha kwa zaidi ya miaka 15 yeye alipotea tu hewani akawa hapatikani.leo ndo amenipigia. Sikumtambua mpaka alipokutambulisha. Nmeshindwa elewa imekuaje.
Hapa naona stor inaishia hapa...umepiga stor zake kakutafta na leo usiku lazima aje usiku kukuonya uishie hapahapa hahahahha
Ipua Chai... Ishachemka sanaWadau jambo la kushangaza sana leo asubuhi yule dada amenipigia simu. Ni miaka zaidi ya 8 sikuwahi wasiliana naye.leo amepiga simu asubuhi hii kunisalimia. Anasema amenikumbuka sana. Namuuliza upo wapi hajataka kujibu.
nimeshangaa sababu tulipotezana kitambo sana kwa mawasiliano.mimi namba ninayotumia sikuwahi badilisha kwa zaidi ya miaka 15 yeye alipotea tu hewani akawa hapatikani.leo ndo amenipigia. Sikumtambua mpaka alipokutambulisha. Nmeshindwa elewa imekuaje.
Hata 2009 ni 2000sJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Hamna, hii chaiJamani hii sio chai. Hayo Mambo yapo yalishawahi kunikuta Kama anavyosimulia huyu jamaaa. Nasema yapo
Hamna, hii chai
Kivulini kaishi Rama D,Mapacha pasu kwa pasu,pia kulikua na mzee mmoja Shogholo alikua BASATA kama sikosei
kwani nina papara au?Tulia kwanza