IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Mhm mzee kaanza kutafuta tope yote kumkomoa bi Dada sheeenz uko aliko alaaniwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sometimes tunakusanywa mzeeJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Kwaiyo undhani Miaka hiyo hakukua na njia yoyote yakutuma pesa...Kuzaliwa kwako 2000 haimaanishi watu waliokua wanaishi Miaka hiyo ...hawakuweza kufanya miamalaJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Nimeomba kueleweshwa walikuwa wanatumaje?Kwaiyo undhani Miaka hiyo hakukua na njia yoyote yakutuma pesa...Kuzaliwa kwako 2000 haimaanishi watu waliokua wanaishi Miaka hiyo ...hawakuweza kufanya miamala
Jamaa hajasema alimtumia kasema alitumia 170kJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Ttzo unakurupuka karudie kusoma halfu ujione ulivo mchiziJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Alitumia kufanya manunuzi alipoenda dukani sio alimtumiaJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Alitumia hiyo pesa dukani kwa demuJamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Alinunua vitu vya thamani hiyo,Jamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.