Kisa cha mzee Yusuph

Kisa cha mzee Yusuph

Tatizo lingine ambalo anafanya kurejea kwake Kwa dini sio maonyesho....!! Anachofanya Ni kosa
 
Pesa alizochuma kupitia muziki wa 'kishetani' kaziweka wapi?
 
Siku zooote hakuwa anajua anamkosea Muumba wake au ndio ile ngoja niibe nitaenda kutubu?
 
basi nikwambie tu kua katika uislam mziki wowote ni kharam sio kwamba sijui taarab zamani sijui bongo freva sijui kaswida hazi pigwi msikitini wala kwenye QURAN hapana penye mtume ameimba au yesu ameimba
Hata kaswida?!!!!!
 
Kilichomfanya aache huu music sio taarab as taarab tunayoijua sisi...taarab ile ambayo ilipamba sherehe zenye adabu na staha, taarab zile zinazoalikwa kwenye dhifa za kitaifa kutumbuiza kwa hekima na hekima
Huyu kaamua kuachana na taarab hii ya kisasa na matendo yake mabaya huko kwenye hizo taarab za kileo na yale matusi aliyokuwa anaimba...mwisho wa siku nafsi yake imani yake vimemsuta amejikuta anakinzana navyo
kwahiyo katangaza kuacha nini taarabu asil,ya kisasa au nini

na kama ya kisasa kwahiyo yupo tayar kuimba taarab asili

USITUMIE UELEWA WAKO KUTUPAMBANULI HILI MKUU
 
Hazikuwa habari njema sana siku mzee Yusuph gwiji wa taarab za kileo pale alipotangaza rasmi kuachana na mziki huu na kumrudia Mola wake...
Habari zilienea kwa kasi na mijadala ilikuwa mingi..! Wengi wakimpongeza kwa hatua yake hiyo
Mimi napingana naye...kilichomfanya aachane na huo muziki(kwa tafsiri yake ni dhambi kwa imani yake)hili ni tusi na dhikaha kwa mziki huu adhimu...lakini yametokea haya kulingana na mahitaji ya nyakati na kile alichokuwa anafanya
Kiuhalisia mziki wa mwambao(taarab) ni mziki wa asili wenye kuheshimika mno ambao kiasili ulitumika kuelimisha kuonya kufundisha kuburudisha na kufurahisha, haukuwa na matusi vijembe dhihaka wala mambo ya kishetani
Miaka ile ya 1987 ndio taarab ilianza kubadilika na kupoteza mwelekeo...ujio wa Khadija Kopa (malkia wa mipasho) na Nasma Khamis Kidogo RIP kulibadilisha mwelekeo mzima wa taarab
Leo hii taarab ni mziki wa kusutana na mambo yote mabaya..ikuwemo ushoga umalaya bifu kusemana wazi wazi nk...
Mzee Yusuph ajiuzulu tu kwa matendo yake na nyimbo zake za kishetani lakini asihusishe na mziki huu adhimu wa taarab sio haki
Anaenda kuwa mnadhimu wa nyota?
 
hapa ninachoona kuwa mshana hajapendezwa na taarab kuitwa usheta lakini ndo hiko hivyo ndgu
 
Back
Top Bottom