Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha

Mkuu kwa hali ilivyo na watu namna gani wameelimika, hakuna hata mmoja wa kumlaghai na hizi siasa za kitoto ambazo zilikuwa zinafaa kipindi cha mzee Mkapa na sio zama hizi. Yaani hapa ni mwendo wa spana tu kama wajumbe vile. Wadouble mishahara, waweke marupurupu hata katika nafasi ambazo hazina lkn 28 Oct spana zipo pale pale tu... Potelea mbali
 
Anakutesa vipi kwa kitokuwepo ajira wakati wewe tayari ni mfanyakazi? Huna lolote na JPM ni mitano tena
 
Mkuu Mhere Mwita , kama wewe ndio sampuli ya viongozi wa Chadema, then kiukweli Chadema ina safari ndefu mbele ya safari kufikia hatua ya kuwa mature enough kukabidhiwa nchi!.
  1. "ninalaani kitendo cha vijana wa ccm kuandaliwa na baadhi ya viongozi wa Serikali ili wamfanyie fujo mgombea wetu wa urais Mhe Tundu Lissu" Jee una ushahidi hao vijana ni wa CCM?. Don't assume!.
  2. Una ushahidi vijana hao wa CCM waliandaliwa na baadhi ya viongozi wa serikali?. Viongozi hao wa serikali ni kina nani?. Don't assume!.
  3. Taarifa kuwa RPC na OCD wa Geita wamehamishwa, umeipata wapi?. Kwa vile wewe sio Msemaji wa jeshi la polisi, unawezaje kutoa taarifa kama hii wakati wewe sio Msemaji wa polisi?.
  4. Ikitokea Jeshi la polisi kukanusha taarifa hii, utaiweka wapi sura yako?.
  5. Na kama ni kweli polisi hao wamehamishwa, Jee hii ndio mara ya kwanza kwa polisi kuhamishwa vituo, polisi wanapohamishwaga, jeshi la polisi huwa linatoa maelezo sababu za kuhamishwa?, don't assume!.
Unapokuwa ni kiongozi wa chama kikubwa kama Chadema, usiwe na haraka ya kukimbilia social media kila unachosikia. Kama hoja kama hizi wewe ndio Mwenyekiti wa Chadema Geita, basi Chadema bado ina safari ndefu mbele.

Imetokea mimi mwenyewe saa hizi niko Geita, na nimetokea kumsikiliza Upendo Peneza, kiukweli huyu binti ni mahiri kujenga hoja, nashauri jiuzulu uenyekiti wa Chadema Geita, mpeni Upendo Peneza.

P
 
Joseph musukuma ni mtu mjinga duniani na ni darasa la saba.nfiye mshauri mkuu wa mambo ya chama na serikali wa John magufuli . Na nfipo walikoipeleka nchi na chama sasa.yajayo..
mimi nadhani mpumbavu ni yule anayepokea ushauri wa Msukuma Joseph
 
Hongereni sana Wakuu,hakika mmetumia akili na busara ya hali juu sana.
 
Yaani ungejua unavyojidhalilisha bora ungejikalia kimya kama mwenzako Mzee Mwanakijiji.
 
Utashangaa na hutaamini macho yako kwa kitakachotokea...
P
 
Mungu ni mkuu kuliko wezi wanaotuibia siku zote.
Wewe ni adui wa mateso yetu, hueleweki una ndimi mbili, unapigania tumbo lako.
Siku inakuja utajutia unafiki wako.
Unatuvunja moyo kila wakati
No siwavunji moyo, bali mimi ndio nawasaidia kwa kuwaeleza ukweli bayana uliopo.
Nyinyi na ndoto zenu za mchana kuamini mtu wenu atashinda, hivyo mmekuwa na kitu kinachoitwa "too great expectations" hivyo akishindwa mtapata ugonjwa wa depression. Kitendo cha mimi kuwaambia ukweli , kunawaandaa kisaikolojia, hivyo atakaposhindwa, mtaumia tuu, ila hamtapata depression.
P
 
Wewe ni sawa na Sanbalati, aliwavunja Israel moyo wakati wanaujenga upya ukuta wa Yerusalemu uliobomolewa, aliwaambia kwa lejeli mnajenga ukuta gani huu hata Mbweha akipanda juu unabomoka?
Kwa maneno yako unawafanya wengine wasiende kupiga kura wakiamini hatutashinda.
Wewe ni adui wa HAKI, hufai kabisa
 
Mayala nimekushusha sana brooo sanaaa sikujua wewe ni light kiasi hiki.
 
Ungekuwa jinsi ulivyo poteza credibility kama journalists ungejitahidi kuficha angalao kipindi hiki njaa yako
 
Kamanda Mwabulambo Mponjoli amehamishwa???? CCM Geita hata wafanye nini hawawezi kushinda hili Jimbo Kwanza kuwalaumu polisi na kuwahamisha ndio wanaharibu kabsa
Na kanyasu ndioo kwanza hana hata habariiii
 
Rushwa si ndio mkuu.... Unaloliwaza halipo nakwambia tena halipo naona umekua kama kuku aliekatwa kichwa UNATAPATAPA MAYALA
 
Wewe ni kigeugeu....hata wana CCM a.k.a chama dume wanalijua hilo....wewe haupo CCM wenye akili wanajua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…