Kisa cha rafiki yangu wa Mafia

Kisa cha rafiki yangu wa Mafia

Sawa ndugu Yohana Frank. Nitaongea na Askofu Gwajima, rafiki yangu Mwamposa! Ili tuone namna ya kuja kufungua kanisa huko Mafia na tuwakombea hao Kondoo wote walio potea.
mbona mafia kuna parokia ya kanisa katoliki na lina wafuasi wengi tu. Huyu wa simulizi hii atakuwa hakuwahi kufika mjini mafia. Anatokea vijiji vya ndani ndani kabisa. Wakristu ni wengi tu. pia si ajabu. kijijini kwetu hatujawahi kuwa na muumini wa kiislamu. wote wakristo na hata waalimu wakristu.Ila tulikuwa tunafundishwa kuwa kuna dini ya kiislamu. Je huyu walipokuwa hawendi shule kwa sikukuu kama krsmas au pasaka alikuwa anajua ni za dini ipi? Namshangaa
 
Nimejisikia vizuri sana aliposema ameanza kufikiria ikiwa kweli Mungu yupo?

Bila shaka hivi karibuni atatambua Mungu wa imani yake hayupo, wala Miungu wa imani nyingine tofauti na imani yake hawapo.
Namtakia kila la kheri.
Mungu ni Imani.
Ubaguzi wa kidini ni janga
 
Wale mapadri waliouawa zenji kwa risasi na kumwagiwa tindikali ndio wema wenu huo..vipi hao wakristo wanaonyimwa kumiliki kioande cha ardhi huko zenji ndio wema wenu huo mnao utangaza.?

#MaendeleoHayanaChama
General conclusion
 
Back
Top Bottom