Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

Robidinyo,
Mbona ujajibu swali nimekuuliza ngoma ya mwisho ya mavoko before ya kujiunga WCB inaitwaje? Mbona swali ni rahisi tu
 
Unaanzaje kubishana na Mwalimu aliyekupa kazi? Nimekupa kazi ya kufanya nasubili mrejesho usio na unafiki wala Uteam

Sent using Jamii Forums mobile app
Me na wewe Nani mwenye utimu sasa nimekuuliza swali rahisi tu umeshindwa kujibu zaidi ya kuzungukazunguka je ningekuuliza swali gumu ingekuaje? yaani unatetea kitu alafu point huna.
 
WANASEMA BORA KIDOGO CHA UHAKIKA KULIKO KIKUBWA AMBACHO HUKIJUI.
Tumshirikishe Mungu kwenye kila ushauri tunaopewa na tuishirikishe sana akili zetu. Hisia ukifata utapotea.
Pole Mavoko. Kutake risk ni vyema but kwakutumia Akili. [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] blindspot, Mimi ni die fan wa Mavoko naumia kipindi anachopitia... Alishauriwa vibaya akashaurika... Lakini hajaanguka kabisa. Ameteleza bado ana nafasi ya kujirudi na kuwa bora zaidi... Mkali zaidi

Jr[emoji769]
 
Tumshirikishe Mungu kwenye kila ushauri tunaopewa na tuishirikishe sana akili zetu. Hisia ukifata utapotea. Kutake risk ni vyema but kwa kutumia Akili. ”Umeongea pointi sana zote mkuu. Ni kama vile unaniambia na mimi vile,mwaka jana nimepoteza kufanya biashara yangu ya kila siku,ksbb ya kukimbilia mambo ya ”kishamba“biashara nisiyoijua”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
afu demu nilimchana akaniambia jamaa anamsumbua..sasa nikaona demu siyo..kumbe mwana kaoa kabsa
Umechelewa mwenyewe mkuu. Kabla jamaa hajatupia ndani ilitakiwa usome mchezo fasta ungepindua meza kibabe,ungetupa ndani kabisa. Tena wewe ulikuwa una nafasi kubwa kuliko huyo jamaa yako,ksbb tayari ulikuwa na kete ya demu kukuelewa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ningekuwa mimi siwezi kumrudisha kundini mkuu. Mwenye apambane na madanga akina lulu div

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…