Kisa cha Rich Mavoko na ushauri wa kuuza Ruby

Tisha sana mkuu kwa upembuzi yakinifu 😅
 
Asisahau pia ukimuona kakopi, Africa beauty kakopy, Nana kakopy, Nasema nae kakopi, number one kakopi, nataka kulewa kakopi, Mawazo kakopi,Mdogodogo kakopi, Je utanipenda kakopi sijui ngoma ipi hajakopi
Hv hao aliocopy nyimbo zao walishindwa vip kumfungulia mashitaka , na nyimbo zimesikika worldwide? Loosers mind
 
Ila mavoko mbona hajitokezi kusema ukweli ? Tatizo ni nini , inaonekana yy mwenyewe ni mvivu , lakini alitakiwa hawajue watz kwani wengi ni wanafiki na wachonganishi , Yuko wapi dokii na hao wengine waliompa ushauri wamsaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…