Wewe unaongea utumbo gani?. Kama ni hivyo baada ya kusainiwa na mond ndio akashuka. Ametoka sasa kwa nini asi-hit sasa ili kudhihirisha? Mtasema analogwaWCB ndo waliompoteza baada ya kua tishio sana kwa kijana Nasib mtumia ndumba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa ni bure kabisa achana nae unapoteza muda wako bure tangu lini mshabiki wa Alikiba akawa ana akili.Wewe unaongea utumbo gani?. Kama ni hivyo baada ya kusainiwa na mond ndio akashuka. Ametoka sasa kwa nini asi-hit sasa ili kudhihirisha? Mtasema analogwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa I see,Alikiba mwenyewe yuko wapi? Anashabikia kitu sawa na hewaHuyo jamaa ni bure kabisa achana nae unapoteza muda wako bure tangu lini mshabiki wa Alikiba akawa ana akili.
Vp watu wanaokuzunguka huwa wanacomment Vp kuhusu uwezo wako wa kili.WCB ndo waliompoteza baada ya kua tishio sana kwa kijana Nasib mtumia ndumba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Tisha sana mkuu kwa upembuzi yakinifu 😅Ndio mkuu,maana aliupanga huo mkakati kabambe,baada mkakati kukamilika akahamia kwenye ujasusi sasa. Hapo kwenye ujasusi haijalishi unaemfanyia ni ndugu,rafiki,jamaa. Ndio kama hivyo jamaa “ujasusi wa kimkakati”
Sent using Jamii Forums mobile app
Binadamu hawafai kakaa.
Binadamu hawafai kakaa.😅😅
Hv hao aliocopy nyimbo zao walishindwa vip kumfungulia mashitaka , na nyimbo zimesikika worldwide? Loosers mindAsisahau pia ukimuona kakopi, Africa beauty kakopy, Nana kakopy, Nasema nae kakopi, number one kakopi, nataka kulewa kakopi, Mawazo kakopi,Mdogodogo kakopi, Je utanipenda kakopi sijui ngoma ipi hajakopi
Naona ujanielewa.Hv hao aliocopy nyimbo zao walishindwa vip kumfungulia mashitaka , na nyimbo zimesikika worldwide? Loosers mind
Kwa hiyo baada ya kuondoka , sasahivi hawamchapi ?watu walimchapia mpaka demu wake ..Mondi mnoko sana
Uko sahihi sana , sikio la kufa halisikii dawaWatu wengine wameumbwa ili wawe mfano kwa wengine.
Ila mavoko mbona hajitokezi kusema ukweli ? Tatizo ni nini , inaonekana yy mwenyewe ni mvivu , lakini alitakiwa hawajue watz kwani wengi ni wanafiki na wachonganishi , Yuko wapi dokii na hao wengine waliompa ushauri wamsaidie
Yule mtoto wa Hadija na banza stone Nasikia wamechuliwa paleUnakisia tu huna uhakika...punguza kuwananga waliofanikiwa hata kama hawapo kwenye ubora wao
Hahahaaa akili za kuambiwa changanya na zako, hii imekuta pia Qjay msafi sasahivi analia na kuomba msamaha, lakini is too lateTatzo siyo Dokii ..wako wapi wakina B12.mchomvu