Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Jaman mi naomben connection ya hao mnaoita wazee!!!

Hiv vibint vinasumbua sana[emoji6]
 
Haha...kwa kweli humu mjengoni kutengeneza ukaribu na mtu na kuamua kufikia hatua ya kuonana ni kama kubeti tu.

Ukibeti halafu matokeo yakatoka tofauti na ulivyotarajia(mkeka kuchanika)wewe kubaliana na hali

Ila wewe Depal huwa ninajawa na shauku na hamu ya kukutana/kuonana na wewe mkuu[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…