Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😬😬😬Mambo mrembo [emoji16][emoji39]
Hapana..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hazard hivi hearly sio i'd yako ya pili kweli
Lol[emoji51][emoji51][emoji51]
Haya ndo majibu ya mature kama sisi huwa hatucheki cheki hahahhaahha
Mna kamfanano mfanano etiHapana..
Sidhani...Mna kamfanano mfanano eti
Nakuja PM kikongwe tuyajengeNi kweli ni vikongwe jamani mkitufata mjue mnakutana na bibi zenu pisi kali mkazifate insta uko au facebook kwenu
Mambo beef
ama kweli: Mbuzi mzee hapigi chafya bure.Kuna umuhimu wa kufufua lile shindano la wanyange wa JF ili vijana waone utajiri wa pisi na pini kali
Haha...kwa kweli humu mjengoni kutengeneza ukaribu na mtu na kuamua kufikia hatua ya kuonana ni kama kubeti tu.[emoji38][emoji38][emoji38] nini maana ya anonymity mzee baba kama tukianza kuweka Avatar za dizain hiyo!! Ni usumbufu upi huo unauzungumzia? Usumbufu wa kuona avatar ya Depal ya mdoli then kwa live event unakuta ni mama wa 40s!! Haina ubaya mbona, endeleeni tu ku'bet
Hebu mtupumzishe sisi vikongwe [emoji41]
mama DXawa[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]