Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Sentensi ya mwisho imebeba kila kitu mkuu!
 
Wasukuma ndiyo ukarimu ulikozaliwa. mgeni anapewa heshima kama mfalme.

Atachinjiwa mnyama ambaye huwa anachinjwa kwa wageni wa heshima tu.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nisije andika gazeti hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…