Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Brod darling nitake radhi, mimi wa kuwa na umri huo unaoufikiria kweli?Unazidi kuleta habari zako, eti nyie watu wazima...haya bwana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brod darling nitake radhi, mimi wa kuwa na umri huo unaoufikiria kweli?Unazidi kuleta habari zako, eti nyie watu wazima...haya bwana!
Sentensi ya mwisho imebeba kila kitu mkuu!Mshana Jr bwana!.
Binafsi nilikutana na mdada wa JF mmoja I can confess siku yangu ilienda vizuri sana, imaginations zangu zilikuwa confirmed 100%.
Mdada mzuri, mcheshi,mpole mpole n very smart.
Tuliongea sana, tulicheka sana, tulikula sana na tulifurahi sana. Yalikuwa masaa matatu ya stori lakini it was like a heaven on earth.
Nimepanga siku moja nimkaribishe kwangu nimkirimu ukarimu wa kisukuma.
Jf kuna wanawake wazuri aisee.
Haya yaishe mama!Brod darling nitake radhi, mimi wa kuwa na umri huo unaoufikiria kweli?
Ooooh hapo sawa.By the way nimejisemea mimi ilivyokuwa.
Weka mkuuSijui niweke mifano hai?
Usiweke!Sijui niweke mifano hai?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa.Wasukuma ndiyo ukarimu ulikozaliwa. mgeni anapewa heshima kama mfalme.
Atachinjiwa mnyama ambaye huwa anachinjwa kwa wageni wa heshima tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nisije andika gazeti hapa.
Muache aweke.. [emoji2]Usiweke!
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Nakazia.Weka mkuu
Angel NylonWeka mkuu
Huyo kiumbe sisi hatufugi.Kama huyu?View attachment 1719457
Kura hazijaibiwa kweli?Kura za ndio ni tatu....hapana ni moja...mshindi ameshajulikana ...