Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Umeandika ya sawa kabisa.

Ila umezidi kuwaondolea hali ya kujiamini wanawake wa jf, subiri utaona kitakacho fata humu katika hui uzi, utaona mabinti vigoli au wadada wa makamo watajiita wao ni vibibi wakati si kweli.

Hawa viumbe sijui kwanini hawajiamini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Back
Top Bottom