Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Uzee ni baraka sana aisee, na ni kwa neema tu ya Mungu tumeweza kufikia uzee Wengi wamekufa wakiwa bado vijana wadogo kabisa, sisi tuliofika huku tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu. Sasa kumcheka mtu kwa sababu ana umri mkubwa ni upungufu wa akili, kwa sababu wengi wetu tunaomba na kutamani tuendelee kuwa hai, ikimaanisha tunatamani tuishi hadi tuwe vikongwe, so as long as mtu anaendelea kuishi uzee utamkuta tu.

Ukiwa interested na mtu mfuate tu PM, muulize umri wake, tumianeni na picha then ndiyo muanze kufikiria na mengine. Sio hadi vikongwe eti tutumie ID na avatars za wazee jamani, msitunyime raha tafadhali
Ukweli ni kwamba hatuwezi fikia hatua ya pili kabla ya hatua ya kwanza.

For you to agree to send me your picture you have to be convinced with what you read from what I write, be it on a certain thread or PM.

Inatokea sasa naenda deep sana kukuaminisha kwamba I am that guy ili unitumie hiyo picha. Unaponitumia hiyo picha I come to realize you are not my standards and I am too good for you, remember your beauty matters.

Ndio hapo sasa inabidi nitembee kimya kimya na inafika kipindi ndio vijana wanauliza, hivi hakuna wari humu wote ni vibibi tu???

Am just saying..........................
 
Ukweli ni kwamba hatuwezi fikia hatua ya pili kabla ya hatua ya kwanza.

For you to agree to send me your picture you have to be convinced with what you read from what I write, be it on a certain thread or PM.

Inatokea sasa naenda deep sana kukuaminisha kwamba I am that guy ili unitumie hiyo picha. Unaponitumia hiyo picha I come to realize you are not my standards and I am too good for you, remember your beauty matters.

Ndio hapo sasa inabidi nitembee kimya kimya na inafika kipindi ndio vijana wanauliza, hivi hakuna wari humu wote ni vibibi tu???

Am just saying..........................
Nakuona mzee baba
 
Ni kwasababu ya ukikongwe/ubibi wangu, sawa bwana..yote maisha, na wewe ubabu utakufikia tu soon
Na huku nafanya reflection ya siku ile! 😀 😀 😀 😀 😀 😀

Damn it....................
 
Pia ni vibonge na wana vitambi halafu wote ni wavaa mawigi. Bila kusahau asilimia kubwa nina uhakika wamezalia nyumbani, hivyo wako desperate sana na ndoa.

Wanatamani hata waolewe mke wa tano na bambo. Kiukweli wanatia sana huruma hawa madada vibonge vitambi wa jf. Ila uwakute wanavyojinadi sasa.... unaweza sema unachati na Nina Roti au Mia Khalifa au Ayana Angel.
Kwahiyo kwa akili yako fupi hao wacheza porn akina Mia Khalifa unaona ndiyo wana afadhali kuliko wanawake wenye Tabia ulizoziainisha hapo juu
 
Kuwa na utambuzi bandia , kuna faida nyingi lakini vile vile kuna ficha mengi na kutatiza mengi pia.. Utambuzi bandia huleta hali ya kujiona wote tuko sawa kiumri, kiufahamu, kielimu, maono hata uzoefu
Ni mpaka pale kupitia maandishi yetu kwenye majukwaa mbalimbali ndio mtu anaanza kuona utofauti wa hayo yote...iwe kwenye mada kuu michango ya wasomaji ama aina ya jukwaa

Kiasili kati ya jinsia mbili hizi mwanamke na mwanaume, maumbile na sometimes akili ya mwanamke hukua na kukomaa haraka kuliko mwanaume..hili halina ubishi wa kubishaniwa ndio maana ni rahisi kwa mwanaume wa miaka 50 kulala na binti wa nusu ya umri wake ...lakini hali hiyo ni tofauti kabisa kwa wanawake

JamiiForums Ni mtandao uliojipambanua kwenye maono ya kuwa na usiri kwenye utambuzi ili kulinda privacy na maudhui ya wahusika...lakini ndio hapa wasiojitambua wamekitumia kipengele hiki vibaya
Tunaishi dunia ya mitandao na hili halikwepeki...lakini huko kwingine watu wanajiachia kwa picha na majina yao halisi hivyo ni rahisi kutambulika... Na huko mitandao maarufu mingi wateja wake kwa asilimia 85 hivi ni vijana chini ya miaka 30...

Unapokuja JF mambo ni tofauti kidogo wateja wake wa tangu mwanzo tayari wameshavuka miaka 30, na hata waliojiunga hapo katikati na baadae kidogo.....! JF inazidi kukua na kupata umaarufu huku ikivutia vijana wengi chini ya miaka 30, wake kwa waume..kundi ambalo damu inachemka hasa huku nafasi ya tafakuri na umakini vikiwa finyu sana

Ni kundi hili hasa la vijana wa kiume lililozoea kuchat na vibinti huko kwenye mitandao mingine , likiingia huku na kukutana na ID zenye majina ya kuvutia na picha pia, basi wao tayari hujenga picha fulani mawazoni mwao na kuchukulia huo ndio uhalisia
Na mama na dada zetu bila kuwaza sana ama kwa sababu zozote zile hujikuta wanaanza mazoea na hawa vijana hapa upenuni lakini baadae mambo hunoga na kuhamia PM...huko hubadilishana namba na kujenga ukaribu hadi kuonana

Kasheshe huja siku ya live event....dogo anataraji kukutana na pisi kinda kali kinyama,..... Mdada naye anataraji kukutana na mkaka fulani hivi decent mambo safi
Wengi hushangaana kimyakimya na kumalizana kimya kimya pia na hiyo ikiwa ndio date ya kwanza na ya mwisho...! Wadada kwa sehemu kubwa hukaa kimya na kusimuliana wenyewe kwa wenyewe...wadogo zangu wa kiume hawaweki kitu rohoni, kama hutalikuta kwenye post utalikuta kwenye reply.,..yote yakikandia uzee na utu uzima wa wanawake wa JF...

Ni vigumu kumchagulia mtu ID au avatar lakini kuepusha usumbufu ni vema watu wakawa na ID na avatar vinavyoendana na umri wao...Na kwa wadogo zangu wote JF ina watu wote humu ndani
Tuna mabibi na mababu zetu humu ndani
Tuna wajomba na mashangazi humu ndani
Tuna wadada na wakaka zetu, mawifi na mashemeji na wakwe
Tuna watoto wa mama, tuna vibaka matapeli.. Na wauza nyama pia
Tuna viongozi mbalimbali wakubwa na wadogo
Tuna matajiri na watu wenye biashara na connection mbalimbali
Wote hawa kwa ujumla wake TUNAKUTANISHWA NA UTAMBULISHO BANDIA....

Jifunze kuheshimu kila mtu....!!!!
Umesema yote Mkuu
JF imegeuka fesibuku ya uswahilini
Inapoteza uhalisia
Utoto mwingi so wengi wetu tumeamua kuwa wasomaji mada za maana kwa mbaliiiiiii

Za Uzima Mkuu!
 
Umesema yote Mkuu
JF imegeuka fesibuku ya uswahilini
Inapoteza uhalisia
Utoto mwingi so wengi wetu tumeamua kuwa wasomaji mada za maana kwa mbaliiiiiii

Za Uzima Mkuu!
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mungu anazidi kutupigania... Usipotee sana inabidi tuwabalance tu hakuna namna
 
Ni nzuri kabisa, sijui wewe. Naona umeamua kututia moyo wazee
Mimi niko poa/salama kabisa mkuu

Kwa kweli wacha niwatie moyo tu ila unaweza kuta kiuharisia hata siyo wazee bhasi mmejitengenezea mazingira rafiki ya kukwepa mishale ya mitongozo/usumbufu.

Unaweza kuta wewe Heaven Sent ni binti mmoja bado mbichi kabisa mwenye saa sita zake[emoji1][emoji1] ila kwa kuwa tayari tulishaga jiaminisha kuwa nyinyi(baadhi yenu)ni wazee kumbe hata siyo.
 
Back
Top Bottom