Jd Yuko vizuri hata kama humpendi, ni mfano wa waimbaji wa kikeKaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.
Ray c jeshi la mtu mmoja wewe ,ngoma zake zimehit jay dee kazi kutafuna maneno.
Enzi hizo wazee wa viuno alikuwa Ray c na best wa Marlaw huyo jay dee wako kazi kuimba kama mwanaume
Hakuwahi kumzidi kwa kuimbe Ray c .Jd Yuko vizuri hata kama humpendi, ni mfano wa waimbaji wa kike
Ndio inakuwaga hivyo, wazee tunakua na hasira na kila mtu. Jide aimbe gospo kwa umri wake wote uliobakia.Umbea mpya mjini, sema komando ana hasira , mwandiko tu unaonesha
Kwanza pale nyumbani lounge kwenye mgahawa wake , achukui order za kiboya boya ,ni corporate restaurant unakula una enjoy ..huku story na music kwa mbaliJide mwanamke wa shoka,na mwenye heshima nchini,kazungumza kishujaa,ukipata changamoto kwny maisha sio ubwie maunga thn uje kulaum watu,..badala ujipambanie utoke..yy ni shujaa coz Mungu alimsaidia aka overcome depression..na leo bado yupo juu anang'ara huyo mwngine TRAUMA ya madawa inamtesa mno
Sio sura tu, hata kuimba hajui.nje ya mada: aisee jaydee ni mbovu wa suraa mkurya yulee!
[emoji23]Sio sura tu, hata kuimba hajui.
Mkuu naheshimu mawazo yako, ila hapo kwenye Jide ana talent ya kawaida, unamkosea.Jide ni mshenzi kama washenzi wengine......
Alisema amemzidi Chidi Umri? Kile kijamaa cha Naija alichodate nacho wapo umri sawa?
Na kuanza kukejeli watu mitandaoni kunaonesha alivyo.
Talent ya kawaida, ila longetivity amefanikiwa.
Ray C talent kubwa Upumbavu wake umempoteza.
Wanajidhalilisha tuWazee Wanagombania Nini Tena Jamani Maisha Magumu
Hii ni miezi mitatu nyuma!Kaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.
Ray c jeshi la mtu mmoja wewe ,ngoma zake zimehit jay dee kazi kutafuna maneno.
Enzi hizo wazee wa viuno alikuwa Ray c na best wa Marlaw huyo jay dee wako kazi kuimba kama mwanaume
Na wala halijanitoka bahati mbaya.....Mkuu naheshimu mawazo yako, ila hapo kwenye Jide ana talent ya kawaida, unamkosea.
Vipi Mungu hakumsaidia akampa mtoto, amewapa anaowaita "mateja".Jide mwanamke wa shoka,na mwenye heshima nchini,kazungumza kishujaa,ukipata changamoto kwny maisha sio ubwie maunga thn uje kulaum watu,..badala ujipambanie utoke..yy ni shujaa coz Mungu alimsaidia aka overcome depression..na leo bado yupo juu anang'ara huyo mwngine TRAUMA ya madawa inamtesa mno
Tatizo kuongea bila fact hakuna tofauti na kuropoka, sasa unaongelea kucheza au kuimba?? Jide kuanzia collabo, solo songs hata za kushirikisha wengine kamuacha mbali sana Ray C sababu ana consistencyKaa pembeni jay dee hakuwahi kumuacha Ray c ,jay dee han hit sema ni mtu ambaye kapta sapot nzuri kwa wasanii wa kiume kaimba nyimbo kibao na Mwana Fa ,professor j na wengine kibao.
Ray c jeshi la mtu mmoja wewe ,ngoma zake zimehit jay dee kazi kutafuna maneno.
Enzi hizo wazee wa viuno alikuwa Ray c na best wa Marlaw huyo jay dee wako kazi kuimba kama mwanaume